Wasichana 3,333 warejeshwa shule, ni waliokataliwa na serikali ya hayati Magufuli

HONGERA AWAMU YA SITA, UNANYIMA HAKI ZA KIMSINGI WATOTO 3,333 HUU ULIKUWA NI UFASHISTI NA UKATILI WA HALI YA KIWANGO CHA JUU KABISA NA UKANDAMIZAJI ULIOPITILIZA.
Alivyokua anaitafuta mimba hakujua mbele kuna kikwazo cha kuendelea kusoma? Magufuli alikuwa sahihi kabisa.
 
Hauwezi kuwachanganya wazazi na watoto wakae wasome pamoja,mtatuharibia watoto wetu ilitakiwa mjengewe madarasa yenu
Kwahiyo unaona kua na taifa la wajinga ni bora kuliko kua na wanafunzi wazazi.Nchi lazima liende na yote kwa pamoja.kuelimisha jamii yake na kulea watoto wanaozaliwa kwenye taifa husika.Tusijifanye tuna misimamo sana wakati mambo mengine tu ya kawaida yametushinda.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ujinga ni huu yakuona kuzaa ni kosa ila kukosa elimu sio kosa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Asante mama samia kwa kuwapatia haki yao y kikatiba.
 
Kuna watu wanaotetea legasi watanuna sana kwa hili
 
Team haki meno nje ! Mkimalza hapo nendeni mkalitazame na lile la kuwafunga baba wa hao watoto! Hamuoni ni kumnyima mtoto haki ya kumjua babaake? Halafu tuanze kuangalia series yetu.
 

Miaka yote tangu Uhuru 1961 msichana wa shule au chuo cha elimu akipata ujauzito ilikuwa ndio mwisho wa yeye kusoma. Kama mwaka huu au mwaka jana wanaruhusiwa kuendelea na masomo ni jambo jipya labda zuri. Cha ajabu hapa anasemwa Maghufuli ndiye aliyekataa wasiendelee na masomo. Kwa vyovyote vile kama wanafikia 3,000 watakuwepo na wa awamu za kabla ya Maghufuli. Je shule za madhehebu ya dini nao wameanza kuruhusu wanafunzi waliopata ujauzito shuleni kuendelea na masomo? Sidhani kama wataruhusu. Na kama hawaruhusu unaonaje serikali kujifanya kuwa na huruma kwa raia kuliko dini zenye lengo la kuwaongoza watu kumwona Mungu?
 
Watasoma wenyewe au watasoma na hao ambao bado kujifungua ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…