Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo hayana mvuto kabisa, One ya Point 3 imekuwa ya kawaidaSiku hizi watoto wote wanafaulu sio ajabu tena
Wenu unyago unatoshaHivi sisi watu wa Ntwara nnatuchukuliaje?
Mimi sipendi kabisa PCB hata siruhusu, wadogo zangu wooote PCM tuuu.Ishu ni kwamba saiv kuna wimbi kubwa la wanafunzi bora kukimbilia PCB wengi wakiamin ndo kombi yenye fursa which is viceversa
Ohoooooo !!!Afu wote wakrsto
dah waislamu tunaonewa sana tunabaniwa
Ushuzi mmoja alisikikaKesho riziwani akiwa rais best school itatoka msoga kweli magufuli alitufikisha pabaya Sana.
Usaniinilizoea miaka ya nyuma wanaoongoza ni Hgk,hgl ila sasaivi Pcb,Pcm wanatusua balaa mpaka naogopa baada ya miaka 15 mbele hawa madocta watatutibu vizuri kweli
Mwijaku, baba level,na chawa wengineWanaume wenyewe sahv kila mtoto anataka kuwa mkt mauno msanii
Ova
Siasa uchara imeingia kwenye elimuHata wakati ule Geita na Chato zilitoa wanafunzi bora na shule bora
Kila zama na kitabu chake, japo wanaharibu maisha ya wengi, tunakuwa na wasomi wa kufaulu tu
Kaushaachana na hilo la wadada kuongoza,swala ni nini siri ya St Mary's kutoa top 10 karibia wote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huoni siku hizi wanasiasa wanapewa PhD??Wazee elimu siku hz inarahisishwa sana zaman mtu aliyekua anapata one alkua yuko competent kila idara.. ckuhz mtoto anapata one uwezo still mdogo..
Serikali itoe siasa kwenye elimu tunazalisha wataalam wa ovyo miaka ijayo
Inferioritykina muddy mmeshaanza kulalamika
Yule mzee alilea upumbavu wa watu fulan sasa wanaendeleza ule ujinga na utaota mizizi tuuKesho riziwani akiwa rais best school itatoka msoga kweli magufuli alitufikisha pabaya Sana.
Siasa imeingia kwenye elimuMatokeo hayana mvuto kabisa, One ya Point 3 imekuwa ya kawaida
Missing youMwanamke akipata shule bora anakuwa kisu hatari kuliko wanaume wanaoendeshwa na juhudi binafsi zaidi.
Ni rahisi kukuta wanawake wachache wanapasua sana ila overall performance ya nchi nzima imeshikiliwa na wanaume.
Huko tunakokwenda kuna hatari kubwa sana duniani. Wanawake wanapigiwa debe sana kupitia kiasi,Orodha hiiya matokeo ya leo kuna wavulana watatu pekee
𝐖𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐢 𝟏𝟎 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐤𝐢𝐭𝐚𝐢𝐟𝐚 𝟐𝟎𝟐𝟐 𝐤𝐢𝐝𝐚𝐭𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐬𝐢𝐭𝐚
1. Catherine Alphonse Mwakasege (PCB) – St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.
2. Lucy Magashi (PCB) Shule ya St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.
3. Mhewa Charles Kamando (PCB) – Tabora Boys
4. Minaeli Simon Mgonja (PCB) St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.
5. Norah Eliaza Kidijoiti (PCB) – Shule ya St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.
6. Jennifer Martin Chuwa (PCB) St. Mary’s Mazinde Juu Tanga
7. Paulina Aldephonce Mabamba (PCM) St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.
8. Rachel Joachim Moshi (PCM) St. Mary’s Mazinde Juu Tanga
9. Kurwa Mbizo Elias (PCB) Tabora Boys
10. Oscar Eliakimu Marabe (PCB) Tabora boys
Bro uozo haupo tuu shule za kata ata baadh ya shule za private graduates wake ni waovyo sana tena afdhali graduate wa kata kuliko hao wa private ambao ni spoon feedersWatoto gani unaowazungumzia? Isijekuwa unawaongelea hao ^magrajueti^ wa shule za kata.