Wasichana kuwaburuza kaka zao ktk 10 bora za matokeo ya NECTA ni uwezo wao, wanawezeshwa kijinsia au wavulana wamepunguza bidii

Wasichana kuwaburuza kaka zao ktk 10 bora za matokeo ya NECTA ni uwezo wao, wanawezeshwa kijinsia au wavulana wamepunguza bidii

Mimi sipendi kabisa PCB hata siruhusu, wadogo zangu wooote PCM tuuu.
Bomu lililolipuka saiv kwenye kada ya ualimu ndo linakwenda kutokea mbelen kwenye kada ya afya.. serikali inabd iliangalie hili la sivyo tunaenda kuzalisha wataalam weng wa afya ambao watakosa ajira
 
Nafikiri hao Mazinde wangetusanua tu pepa zinavujishwaje hapo!?
Siku hzi private hawaibi pepa, kinachofanyika ni kuruhusu interaction baina ya wanafunz kwny chumba cha mtian[emoji23]
 
Wanauwezo mkubwa wa kukariri, tofauti na wanaume. Girls read btn the lines but boys compose it.
Nyeto,porn, kamali na usela vinawaharbu sana akili vijana wetu wa kiume...
 
Huoni siku hizi wanasiasa wanapewa PhD??
Zimekua nyingi
Hahah miaka ya nyuma ukikuta mwamba kapiga one ujue moto unawaka cheti kimenyooka saiv ni rahc kukuta div one yeny F ata mbili
 
Huwajui NECTA Wewe

Siku ukiwajua ,utacheka 🤣🤣


Mfumo wa Elimu unatakiwa tuuondoe kwenye SIASA.


Yaan sahizi elim inatumiwa kwenye Siasa
 
Wasichana wakiwekwa shule za girls tupu wakiwa wadogo kabla kuvunja ungo wanakuwa na akili nyingi mno
Wasichana akili zao hukomaa mapema kuliko wavulana

Ukitaka mtoto wa kike afanye vizuri muwaishe shule mapema sana kuvunja ungo kumkute sekondari ya wasichana sio mixed za boys na girls utashangaa akili zake
Lakini akivunjia ungo kwenye mixed school shida

Wazazi wengi mtu usione wanajinyima kupeleka watoto wa kike girls only schools tena za porini kama Mazinde juu nk
Wanaelewa kuwa wa kike muwahi mapema kama unataka matokeo mazuri
Watoto wa kiume akili wengi wao.kadoro wachache inachelewa kukua na kuamka wengine inaamkia chuo kikuu huku nyuma kavurunda au kapata pass za chini sekondari wanakumbuka shuka kukiwa kumekucha
 
Ukiona vijana wa kiume wamepasua ujue hao ni vichwa hatari, maana watoto wa kike wana utulivu mkubwa na wapo focused linapokuja swala la kusoma kuliko vijana wa kiume ambao wanakuwa na mambo mengi na misele ya hapa na pale. Hata kutulia nyumbani tu watoto wa kiume ni shughuli, kula hadi wakatafutwe kwenye vijiwe.
 
We have a president who is inclined towards a feminist ideology, so we would expect the same in all socio-economic aspects.
 
Wasichana wakiwekwa shule za girls tupu wakiwa wadogo kabla kuvunja ungo wanakuwa na akili nyingi mno
Wasichana akili zao hukomaa mapema kuliko wavulana

Ukitaka mtoto wa kike afanye vizuri muwaishe shule mapema sana kuvunja ungo kumkute sekondari ya wasichana sio mixed za boys na girls utashangaa akili zake
Lakini akivunjia ungo kwenye mixed school shida

Wazazi wengi mtu usione wanajinyima kupeleka watoto wa kike girls only schools tena za porini kama Mazinde juu nk
Wanaelewa kuwa wa kike muwahi mapema kama unataka matokeo mazuri
Watoto wa kiume akili wengi wao.kadoro wachache inachelewa kukua na kuamka wengine inaamkia chuo kikuu huku nyuma kavurunda au kapata pass za chini sekondari wanakumbuka shuka kukiwa kumekucha
Umeongea ukweli mtupu kk[emoji122]
 
Orodha hiiya matokeo ya leo kuna wavulana watatu pekee

𝐖𝐚𝐧𝐚𝐟𝐮𝐧𝐳𝐢 𝟏𝟎 𝐛𝐨𝐫𝐚 𝐤𝐢𝐭𝐚𝐢𝐟𝐚 𝟐𝟎𝟐𝟐 𝐤𝐢𝐝𝐚𝐭𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐬𝐢𝐭𝐚

1. Catherine Alphonse Mwakasege (PCB) – St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.

2. Lucy Magashi (PCB) Shule ya St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.

3. Mhewa Charles Kamando (PCB) – Tabora Boys

4. Minaeli Simon Mgonja (PCB) St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.

5. Norah Eliaza Kidijoiti (PCB) – Shule ya St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.

6. Jennifer Martin Chuwa (PCB) St. Mary’s Mazinde Juu Tanga

7. Paulina Aldephonce Mabamba (PCM) St. Mary’s Mazinde Juu Tanga.

8. Rachel Joachim Moshi (PCM) St. Mary’s Mazinde Juu Tanga

9. Kurwa Mbizo Elias (PCB) Tabora Boys

10. Oscar Eliakimu Marabe (PCB) Tabora boys
Orodha nzima ya wanafunzi kumi bora imejaa shule mbili tu, St. Mary Mazinde juu (wanafunzi 6) na Tabora boys (wanafunzi 4) na wote wametokea kwenye Combinations mbili tu yaani PCB (wanafunzi 8) na PCM (wanafunzi 2).

Kwa jicho la udadisi unaweza kuhisi huenda hiyo mitihani ulitungwa na walimu wa hiyo shule ama ilivuja katika hizo shule.
 
Siku hzi private hawaibi pepa, kinachofanyika ni kuruhusu interaction baina ya wanafunz kwny chumba cha mtian[emoji23]
Alafu wasimamizi wenyewe walimu wa primary... !!??
 
Wanauwezo mkubwa wa kukariri, tofauti na wanaume. Girls read btn the lines but boys compose it.
Hesabu ,physics na biology na chemistry unaweza kukariri?

Wasichana asilimia kubwa walioongoza ni wa masomo ya sayansi wengi sio ya Historia ya Nyerere alizaliwa mwaka gani na wapi

Rudia kuangalia matokeo best performers wamesoma nini?

Hao wakariri historia wenye somo la historia kwenye combination ni asilimia chini ya 10.

Best performance zimetoka kwa wasoma combination za sayansi za kuelewa sio hao wenu wa Arts wa kukariri

Arts wakariri notice wametupwa mbali
 
Back
Top Bottom