Bomu lililolipuka saiv kwenye kada ya ualimu ndo linakwenda kutokea mbelen kwenye kada ya afya.. serikali inabd iliangalie hili la sivyo tunaenda kuzalisha wataalam weng wa afya ambao watakosa ajiraMimi sipendi kabisa PCB hata siruhusu, wadogo zangu wooote PCM tuuu.
Siku hzi private hawaibi pepa, kinachofanyika ni kuruhusu interaction baina ya wanafunz kwny chumba cha mtian[emoji23]Nafikiri hao Mazinde wangetusanua tu pepa zinavujishwaje hapo!?
Private biashara, serikalini siasa... elimu ishakufa hiiUsanii
Elimu imeingia siasa
Nyeto,porn, kamali na usela vinawaharbu sana akili vijana wetu wa kiume...Wanauwezo mkubwa wa kukariri, tofauti na wanaume. Girls read btn the lines but boys compose it.
Hahah miaka ya nyuma ukikuta mwamba kapiga one ujue moto unawaka cheti kimenyooka saiv ni rahc kukuta div one yeny F ata mbiliHuoni siku hizi wanasiasa wanapewa PhD??
Zimekua nyingi
Mpumbavu tu huyu... Anataka kutuchafua tu...Afu wote wakrsto
dah waislamu tunaonewa sana tunabaniwa
Umeongea ukweli mtupu kk[emoji122]Wasichana wakiwekwa shule za girls tupu wakiwa wadogo kabla kuvunja ungo wanakuwa na akili nyingi mno
Wasichana akili zao hukomaa mapema kuliko wavulana
Ukitaka mtoto wa kike afanye vizuri muwaishe shule mapema sana kuvunja ungo kumkute sekondari ya wasichana sio mixed za boys na girls utashangaa akili zake
Lakini akivunjia ungo kwenye mixed school shida
Wazazi wengi mtu usione wanajinyima kupeleka watoto wa kike girls only schools tena za porini kama Mazinde juu nk
Wanaelewa kuwa wa kike muwahi mapema kama unataka matokeo mazuri
Watoto wa kiume akili wengi wao.kadoro wachache inachelewa kukua na kuamka wengine inaamkia chuo kikuu huku nyuma kavurunda au kapata pass za chini sekondari wanakumbuka shuka kukiwa kumekucha
Orodha nzima ya wanafunzi kumi bora imejaa shule mbili tu, St. Mary Mazinde juu (wanafunzi 6) na Tabora boys (wanafunzi 4) na wote wametokea kwenye Combinations mbili tu yaani PCB (wanafunzi 8) na PCM (wanafunzi 2).Orodha hiiya matokeo ya leo kuna wavulana watatu pekee
๐๐๐ง๐๐๐ฎ๐ง๐ณ๐ข ๐๐ ๐๐จ๐ซ๐ ๐ค๐ข๐ญ๐๐ข๐๐ ๐๐๐๐ ๐ค๐ข๐๐๐ญ๐จ ๐๐ก๐ ๐ฌ๐ข๐ญ๐
1. Catherine Alphonse Mwakasege (PCB) โ St. Maryโs Mazinde Juu Tanga.
2. Lucy Magashi (PCB) Shule ya St. Maryโs Mazinde Juu Tanga.
3. Mhewa Charles Kamando (PCB) โ Tabora Boys
4. Minaeli Simon Mgonja (PCB) St. Maryโs Mazinde Juu Tanga.
5. Norah Eliaza Kidijoiti (PCB) โ Shule ya St. Maryโs Mazinde Juu Tanga.
6. Jennifer Martin Chuwa (PCB) St. Maryโs Mazinde Juu Tanga
7. Paulina Aldephonce Mabamba (PCM) St. Maryโs Mazinde Juu Tanga.
8. Rachel Joachim Moshi (PCM) St. Maryโs Mazinde Juu Tanga
9. Kurwa Mbizo Elias (PCB) Tabora Boys
10. Oscar Eliakimu Marabe (PCB) Tabora boys
Alafu wasimamizi wenyewe walimu wa primary... !!??Siku hzi private hawaibi pepa, kinachofanyika ni kuruhusu interaction baina ya wanafunz kwny chumba cha mtian[emoji23]
Pigia mstariama ilivuja katika hizo shule.
Hesabu ,physics na biology na chemistry unaweza kukariri?Wanauwezo mkubwa wa kukariri, tofauti na wanaume. Girls read btn the lines but boys compose it.