Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Umenena vyemaKwani wengine wasio danga wanafanya kazi gani?... akili ukiiset kwenye ujinga utakuwa mjinga na ujinga utaona ndio suluhu ya matatizo yako..
Ni sawa na jambazi, mwizi au mchawi - hizi ni tabia za kipumbavu ambazo chanzo chake ni upuuzi kichwani na uvivu wa kufikiri...eti nisipoiba nitafanya kazi gani? kwani ambao hawaibi wanafanya kazi gani?
Huo sio uvivu mkuu ni fursa zinatumika hapoukiona mtu yuko tayari kudhalilisha utu wake ili aishi au apate hela...huyo ni mvivu wa kufanya kazi, huyo ni mvivu wa kufikiri, huyo ni kiumbe muoga na mjinga...
Hakikisha umevaa bullet proof na helmet ya kivita! Wanakuja na silaha za maangamizi ikiwemo nyuklia bombs😂😂😅Wasichana wa siku hizi hawana future yeyote kwenye Maisha zaidi ya Kuwaza good life kupitia kudanga Dahhh inasikitisha Ongezeko la wasichana kudanga limeshamiri kwa kasi sana Wameona kudanga ndo deal [emoji53] Wasichana wa kuanzia Age ya 18-28 iseeee wamechachuka kwenye kudanga yaani ni balaaa baada ya Miaka mitatu Naona ongezeko kubwaa sana la Ukimwi (HIV) kwa Wasichana wa kuanzia 18-28 [emoji2319]
Wadada punguzeni tamaa ya Maisha Mazuri ya slope
Yani ni taharuki huko mtaani.Mbaya zaidi haya malalamiko hawayapati maana huku jf hawapo.Ndo ugumu unapatikana hapa pa kupata mke.Wacha wapelekewe moto,inasikitisha sana hadi kwa mpalange wanakupeleka[emoji4]CHUMA YAO KWA WADANGAJI[emoji38]
Walime mchicha badala ya kuuchumaWape na suluhu sasa waache kudanga wafanye nini!!!
Wamesikia mdogo angu...Walime mchicha badala ya kuuchuma
Kwani Wanadanga wenyewe? Wanaofanikisha Udangaji nao walaumiwe.
Sawa dadaWamesikia mdogo angu...
Ajira hamna... alisikika mdangaji mmoja akiongea peke ake.
division of labour kakaduniani kote kila mahala kuna tatizo la ajira...basi kila mwanamke kila mahala akajiuze..?.....hapana aisee huu ni uvivu wa kufikiri na mwisho wake ni kujilaani mwenyewe na unakufa bila maendeleo yeyote zaidi ya kuwa na CV mbovu...
Piga vudude mkuu,piga gameDunia ina kasi sana, siku hizi ukimsalimia du tu tayar ushaitwa mume na viutani utani vya kujilengesha.... Ukilegeza kidog vibomu na vilunch vya ovyoovyo vitakuhusu..... Kiukweli siku hizi wamekuwa ombaomba sanaaaaa....
Mimi Nina watu,Nina watuuKudanga hoyeeee... ni natural...
Ukimwi siku hizi umezeekahiyo HIV wanapata kwa kunywa au kugusishana vikojoleo vya me na ke?
Alafu tambua kuna ongezeko la madada kudanga maanake pia kuna ongezeko la wanaume kudangwa
Papuchi nyingi licha ya mileage kutembea sana ...nyingi zimeshafanyiwa overallWaowaji tutateseka sana miaka inayokuja..papuchi nyingi dashboard zitakuwa zinasoma 380,000Km..tutapata wa kuoa kweli?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Walime mchicha badala ya kuuchuma
Hivi kuna mabinti wa kiume?Watapelekewa moto pia,si umesema una binti wa kike[emoji849]Mungu amuepushe