Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

Kwa nini uliachana na mumeo??
Je mlifunga ndoa za mikataba mfano miaka mitano mitano

Je unampango wa kuja bongoland??

Naomba nijibu maswali yangu then tuendelee

Samahan lkn nakufanyia screening hapa
Inaonesha wewe ni wife material



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa kweli lakini nitajibu tu 🤦🏽‍♀️🤦🏽‍♀️

Mimi sikufunga ndoa ya mkataba.

Naweza sema sababu ya kuachana alikuwa anataka niishi kama niko Saudi Arabia na niko London.

Sheria za kule kuwa ni mzaliwa wa kule, nilijaribu nikashindwa.

Kwa mfano wanawake wanavyotakiwa kuwa kule, usiendeshe gari na kathalika.

Lakini pia mama wangu alipenda mnooo niwe na Mtanzania mwezangu kwa hiyo hii ilikuwa ni ngumu pia.

Nakuja Bongo kutembea tu sio kushi.

Ni screening ya kutosha mnooo, kwa kweli.

Na wewe ni Mtanzania mbona naona picha ya mzungu hapo juu, umesoma profile yangu vizuri. Ahsante saaana
 
Kwa kweli lakini nitajibu tu [emoji2362][emoji2362]

Mimi sikufunga ndoa ya mkataba.

Naweza sema sababu ya kuachana alikuwa anataka niishi kama niko Saudi Arabia na niko London.

Sheria za kule kuwa ni mzaliwa wa kule, nilijaribu nikashindwa.

Kwa mfano wanawake wanavyotakiwa kuwa kule, usiendeshe gari na kathalika.

Lakini pia mama wangu alipenda mnooo niwe na Mtanzania mwezangu kwa hiyo hii ilikuwa ni ngumu pia.

Nakuja Bongo kutembea tu sio kushi.

Ni screening ya kutosha mnooo, kwa kweli.

Na wewe ni Mtanzania mbona naona picha ya mzungu hapo juu, umesoma profile yangu vizuri. Ahsante saaana
Nashukuru kujibu maswali yangu

Mimi ni mtanzania kabsaaa

Hiyo picha ni ya rais Vladimir Putin
Napenda misimamo yake ndiyo maana nimeweka

Je unampango wa kuja Tz siku za karibun??

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umekosea.

Dini ya kiislamu inaruhusu mwanaume wa kiislam kuoa mwanamke wa dini zingine zilizoletewa Kitabu... yaani (wakristo na wayahudi..)

Waislamu wengi madrasa mnafundishwa kukariri kiarabu.. huku hampewi maana sahihi ya hicho kiarab mnachokikariri

Mfano Kassim majaliwa ambaye ni muislamu kamuoa mkristo marry majaliwa. Hapo kwa dini ya kiislam ni ndoa halali kabisaa



inaruhusiwa kwa mwanaume wa Kiislamu kuoa mwanamke asiye Muislamu maadam awe Mkristo au Myahudi. Lakini hairuhusiwi kwake kumuoa mwanamke asiyekuwa Muislamu ambaye si mfuasi wa dini ya Ukristo au Uyahudi. Dalili ya jambo hili ni aya ya Qur’an ambapo Mwenyezi Mungu anasema:

“Leo mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri. Na chakula cha wale waliopewa Kitabu ni halali kwenu, na chakula chenu ni halali kwao. Na mmehalalishiwa (kuwaoa) wanawake wema wa Kiislamu na wanawake wema katika wale waliopewa Kitabu kabla yenu. (NI halali kwenu kuwao) mtakapowapa mahari yao, mkafunga ndoa, biloa kufanya uzinzi wala kuwaweka kinyumba.” (5:5)

Katika kusherehesha aya hii, Imam Tabari anasema:

“Wanawake wema miongoni mwa waumini na wanawake wema miongoni mwa wale waliopewa”, maana yake ni wanawake walio huru miongoni mwa wale waliopewa Kitabu nao ni Wayahudi na Wakristo wanaoamini yaliyomo katika Taurati na Injili. Mnaruhusiwa kuwaoa mnapokuwa mmewapa mahari yao (Tafseer al-Qurtubi, 6/104)
Na kwa taarifa yako hata kwenye Quran hakuna sehemu wanawake wamekatazwa kuolewa na watu wa kitabu . Ndio maana kuna nchi kama Tunisia wanaruhusu wanawake wa kiislamu kuolewa na wakristo au wayahudi.
 
Kwa mila na tamaduni zetu sisi utaratibu huo haupo.

Mwanaume ni mtawala awe na hela za kuzidi au za kubadilishia mboga nafasi yake inakuwa pale pale.

Kwetu mwanamke kuwa submissive ni lazima sio hisani wala ombi.

Kuosha vyombo wakati mke yupo ni vichekesho.
 
Umeona ee ndo maana haitawezekana kamwe mume jobless kuvumiliwa kwa muda mrefu maana hatakubali kugeuka housiboi
Kwahio unahisi mume akijifanya houseboy ndio atavumilika?

Huo mtihani tunauweza sisi wanaume tu sababu tuna roho za upendo usio na kipengele. We can live with a woman for years akiwa anakula kunywa na kuvaa under our umbrella ila mwanamke hawezi fanya the same.

Mama zenu pia waliweza ila kizazi cha wanawake wavivu ndio hakiwezi kuvumilia dhiki. Kila mmoja anataka kwenye hela na sisi tunawavua kweri kweri kwa sababu hamna namna ingine.
 
Yeah mkuu mkukikubali kuchukua nafasi ya mwanamke ndani ya nyumba mambo yataweza badilika huko mbeleni. Ila sio ile pesa huna na bado unaanza kuleta ubabe haivumiliki ati
Kwahio unahisi mume akijifanya houseboy ndio atavumilika?...
 
Yeah mkuu mkukikubali kuchukua nafasi ya mwanamke ndani ya nyumba mambo yataweza badilika huko mbeleni. Ila sio ile pesa huna na bado unaanza kuleta ubabe haivumiliki ati
Acha kuota hio ndoto sababu haiwezi kuja kuwa kweli.

Unless umejiandaa kuzalishwa na kuachiwa watoto ulee mwenyewe sababu ya kiburi cha hicho kibarua hapo NMB
 
Naona unaelekea kupanic sababu ya ukweli unaouchukia.

Asubuhi njema mkuu. Kuzaa sio laana ni jambo jema sana kwa mwanamke na superwoman wengi wanapenda sana wawe na hela za kuwawezesha kusomesha watoto bila masimango kwa wenza wao.

Pole mkuu kwa kutendwa na huyo mwanamke wa NMB
Acha kuota hio ndoto sababu haiwezi kuja kuwa kweli. Unless umejiandaa kuzalishwa na kuachiwa watoto ulee mwenyewe sababu ya kiburi cha hicho kibarua hapo NMB
 
Huu uzi natamani fulani ausome, sijui kashausoma???
 
Back
Top Bottom