Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

Zanzibar2014 take it easy dada yangu japo una kiu ya ndoa hutakiwi kuionyesha sana ,utapata wazushi watakuumiza ukaona bora ulivyokuwa single zamani.
 
Kusema la ukweli ulizemi mujibiwe. Sio sawa kabisa kunijaji au kunitukana pia.
Acheni kujaji watu na kutukana watu, ulizeni mtajibiwa. Sio tabia njema hiyo kabisa.
Mimi sitaki kijana pia, vile vile acheni kutukana na kuhukumu sio sawa kabisa.

Nani ana muda wa kukuongelea wewe.
Hili bandiko liko general halijamlenga mtu.
Madhumuni ya thread hii ni kutaka kujua kwa nini mnatafuta mtu mwenye kazi na si mwanaume au mume.

Kumbuka kazi inaweza kupotea au kufika mwsho kwa hyo na mapenzi yenu yataishia hapo?.
 
Nani ana muda wa kukuongelea wewe.
Hili bandiko liko general halijamlenga mtu.
Madhumuni ya thread hii ni kutaka kujua kwa nini mnatafuta mtu mwenye kazi na si mwanaume au mume.

Kumbuka kazi inaweza kupotea au kufika mwsho kwa hyo na mapenzi yenu yataishia hapo?.
Nimekusikia Sawa
 
Nani ana muda wa kukuongelea wewe.
Hili bandiko liko general halijamlenga mtu.
Madhumuni ya thread hii ni kutaka kujua kwa nini mnatafuta mtu mwenye kazi na si mwanaume au mume.

Kumbuka kazi inaweza kupotea au kufika mwsho kwa hyo na mapenzi yenu yataishia hapo?.
Halafu kitu kimoja nimekuwa najibu thread sio zangu, nimeomba radhi kwa sababu hapa ni mgeni kama zilikuwa hazinihusu mimi.
 
Back
Top Bottom