Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

Wanawake wa ckuiz Wana vigezo vya ajabu Sana kwa wanaume wanaotaka wawaoe.

Utasikia limwanamke likisema Mimi nataka mwanaume tall,black, handsome & rich.Eti kwa vigezo hivi ukikosa tu kimoja Basi imekula kwako.

Ndio maana wengi wao bado wanaishi kwao na wazazi wait eti kisa hawajapata mwanaume anayekidhi vigezo vyao.Unakuta dada wa watu Ana miaka 26+ na bado anaishi kwao.

Ladies,learn not to be too much " selective"
Nimekusikia ahsante saaana
 
Upo sahihi mkuu. Mwanaume akiwa jobless atateseka sana ndani ya nyumba. Ila teso kubwa ni ile kuanza zamu ya kuosha vyombo,kudeki,kupika,etc ni bora tu mwanaume abaki kubeba na na sio kubebwa

Tukiwa jobless mnatubeba sababu tunachakalika ndani ya nyumba. Mkuu utafurahi mkeo awe na ajira halafu wewe uwe baba wa nyumbani na kufanya zile kazi zote za ndani?
Hilo neno
 
Tumeshawasoma ....ni mwendo wa kufunua tu na kufunika kwa hawa wenye akili za kushikizwaa...yaan mtu anakuuliza unafanya kazi.gani wkt yy nI housegirl mtaa wa pili...na ukimwambia kazi yako anaanza idharau as if yey anafanyia UN
Sio sawa kabisa
 
Sikusema hivyo soma vigezo vyangu vyote.
Upendo ni nyongeza, ahsante saaana
Hao ndo mademu wa kileo, ukimwambia tu we ni machinga ujue utakwama na zoezi la mahusiano linaishia hapo hata kama lengo ni kupewa mbunye hutapewa 😂😂😂!

Ila we sema ni manager masoko wa sigara au serengeti breweries. Utaona jinsi anavyozidisha bashasha juu yako.
Sio sahihi kazi ni kazi tu
 
Yuko mwngine jana nlichapa saundi....ila nkaona anaelekea sema sasa tulikuwa tunachat tu na yuko active kureply....akaanza na maswali yake ya kichoko"unafanya kazi gani",?nlijifanya sijaona.hyo msg nkaskip na kujibu nyingine tu cz sipend kabxa kuulizwa hayo maswali.:.ila nliona anakazia tu kwmba kwa nini sitaki kumwambia kazi nnayofanya......nliamua kumdanganya tu kuwa nasukuma tu toroli hapo stand na kujipatia chochote kitu....cha ajabu alianza nambia kwa nini nafanya kazi za hivyo?mara ananambia sifananii kufanya kazi kusukuma toroli na baada ya hapo akawa hajibu tena msg...nikajua tu wanaweka wengi wa ss hivi wanapenda mwanaume ambaye tayar anajiweza...nlimshangaa sanaa cz hata maisha yake ni.ya kuunga na anaish kwa dada yake ila anadharau kazi wanazofanya wanaaume na kuwaingizia kipato.....ki ujumla tu wanawake wa ss iv ni rahic kujua hili dish ni zuku au continental cz wana expose ujinga wao mapena sanaa hata kabla haujaingia nao kweny mahusiano
Nimekuelewa vizuri
 
Ni bora ukutane na kijana kuliko muhuni aliyezeeka
Muhuni aliyezeeka anakuwa "experienced muhuni"[emoji3][emoji3][emoji3]

See the attached below

Screenshot_20221115-161413_Chrome.jpg
 
Kwa upande wa dini yangu ya Kiislamu hakuna ndoa ya watu wa dini tofauti.
So,Dini ni muhimu bila hivyo itakua ndoa ya Wazinifu.

Mkuu umekosea.

Dini ya kiislamu inaruhusu mwanaume wa kiislam kuoa mwanamke wa dini zingine zilizoletewa Kitabu... yaani (wakristo na wayahudi..)

Waislamu wengi madrasa mnafundishwa kukariri kiarabu.. huku hampewi maana sahihi ya hicho kiarab mnachokikariri

Mfano Kassim majaliwa ambaye ni muislamu kamuoa mkristo marry majaliwa. Hapo kwa dini ya kiislam ni ndoa halali kabisaa



inaruhusiwa kwa mwanaume wa Kiislamu kuoa mwanamke asiye Muislamu maadam awe Mkristo au Myahudi. Lakini hairuhusiwi kwake kumuoa mwanamke asiyekuwa Muislamu ambaye si mfuasi wa dini ya Ukristo au Uyahudi. Dalili ya jambo hili ni aya ya Qur’an ambapo Mwenyezi Mungu anasema:

“Leo mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri. Na chakula cha wale waliopewa Kitabu ni halali kwenu, na chakula chenu ni halali kwao. Na mmehalalishiwa (kuwaoa) wanawake wema wa Kiislamu na wanawake wema katika wale waliopewa Kitabu kabla yenu. (NI halali kwenu kuwao) mtakapowapa mahari yao, mkafunga ndoa, biloa kufanya uzinzi wala kuwaweka kinyumba.” (5:5)

Katika kusherehesha aya hii, Imam Tabari anasema:

“Wanawake wema miongoni mwa waumini na wanawake wema miongoni mwa wale waliopewa”, maana yake ni wanawake walio huru miongoni mwa wale waliopewa Kitabu nao ni Wayahudi na Wakristo wanaoamini yaliyomo katika Taurati na Injili. Mnaruhusiwa kuwaoa mnapokuwa mmewapa mahari yao (Tafseer al-Qurtubi, 6/104)
 
Back
Top Bottom