Wasichana na wanawake tafuteni waume siyo wafanyakazi

Mwanamke akitoa mawazo mnakimbilia neno feminism. Mwanaume akitoa wazo mnakimbilia kusema ukidume duh
Feminism inawaharibu sana pia mna ubinafsi sana.

Hv kama mnataka haki sawa, kwanini msipange matumizi ya mishahara yenu na waume zenu. Mishahara yenu inawanufaisha ninyi peke yenu lakini mnalilia haki sawa
 
Tatizo linaanzia kwenu mkuu hamna misimamo dhabiti. mkianza kufukuzia penzi mnagawa sana pesa bila kuweka mipango sawa na mkiingia kwenye ndoa bado mnalambisha asali kisha mbeleni ndo ghafla mnaanza taka kubadili gia hapo ndipo mnapoanza kuzitambua rangi halisi za wake zenu
Nikwasababu mawazo ya wanawake wa kisasa yamejaa ubinafsi
 
Hapa sitii neno maana umesema ukweli.

Tatizo pia la wanawake wa kileo, bila pesa utasugua sana benchi na wanaume tumeanza kutumia hisia katika maamuzi badala ya akili
 
Hhhhhhmmmmm πŸ™πŸ™
 
Umeongea neno. Wanawake wanajionaga wazuri sana na wakiona una date na mtu kapuku wataku simanga hadi ujute. Wakute kwenye thirties sasa
Sio tabia njema kusimanga kazi kuwa kazi ni kazi tu, muhimu ni ya halali na mwenzako asiwe mvivu. πŸ™
 
Mapenzi ni fumbo, utakapopata shikilia hapohapo. Wanaume wenyewe siku hizi wanaoa sura na makalio, wale tuliambia mke tabia tuko palee Ila msituite nyau.
 
Umeongea neno. Wanawake wanajionaga wazuri sana na wakiona una date na mtu kapuku wataku simanga hadi ujute. Wakute kwenye thirties sasa
Poleni kaka zangu nasema kaka zangu wengine humu ni waume za watu.

Najua sio sawa kuwa mnasimangwa, ndio maana mimi kwenye profile yangu nimesema mume wangu awe anafanya kazi au biashara.

Sikusema kazi gani kuwa nathamini kazi zote, muhimu ni ya halali lakini sitaki mume mvivu kuwa mimi sio mvivu na nafanya kazi pia.
 
Mapenzi ni fumbo, utakapopata shikilia hapohapo. Wanaume wenyewe siku hizi wanaoa sura na makalio, wale tuliambia mke tabia tuko palee Ila msituite nyau.
Kweli dada yangu, uko sawa kabisa.
Mimi niko makini mnooo, ahsante saaana πŸ™πŸ™
 
Sio tabia njema kusimanga kazi kuwa kazi ni kazi tu, muhimu ni ya halali na mwenzako asiwe mvivu. πŸ™
We dada sijui mama una matatizo ya akili? Nimesimanga kazi ya mtu? Hivi mods kuna uwezo wa kublock mtu asiwe ana reply post zako. We mama tafuta wachumba huko uk mimi niache eboo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…