Feminism inawaharibu sana pia mna ubinafsi sana.
Hv kama mnataka haki sawa, kwanini msipange matumizi ya mishahara yenu na waume zenu. Mishahara yenu inawanufaisha ninyi peke yenu lakini mnalilia haki sawa
Nikwasababu mawazo ya wanawake wa kisasa yamejaa ubinafsiMwanamke akitoa mawazo mnakimbilia neno feminism. Mwanaume akitoa wazo mnakimbilia kusema ukidume duh
Nikwasababu mawazo ya wanawake wa kisasa yamejaa ubinafsi
Hapa sitii neno maana umesema ukweli.Tatizo linaanzia kwenu mkuu hamna misimamo dhabiti. mkianza kufukuzia penzi mnagawa sana pesa bila kuweka mipango sawa na mkiingia kwenye ndoa bado mnalambisha asali kisha mbeleni ndo ghafla mnaanza taka kubadili gia hapo ndipo mnapoanza kuzitambua rangi halisi za wake zenu
Mpunguze mashati na tamaa za kijingaMe kama hapa kwetu ni hamnaaaa π€£ na mtaani sionekani snaa jamani
Lazima tuje kusaka jf π
Sawa mjombaMpunguze mashati na tamaa za kijinga
Kubadili bulb, na kufuta madirishaMwingine kasema anamtaka tolu, nadhani anataka kumtumia kupaka rangi nyumba.
Hhhhhhmmmmm ππKatika vitu vinanishangaza ni wanawake wa kileo kutafuta wafanyakazi na wafanyabiashara baada ya kutafuta wanaume wa kuwaoa.
Inakuwaje mwanamke unaweka sharti la dini kwenye ndoa na sharti la mume au mke kuwa na kazi?
Dini sio ndoa Kama dini ni ndoa mngetongozwa uko msikitini na Makanisani kwanini hampati waume uko msikitini na Makanisani?
Au kwanini hampati waume uko makazini kwenu wakati mkija mitandaoni mnaanza kusumbua watu kwa vigezo kibao?
Natoa ushuhuda, mimi baba yangu na mama yangu wameoana mwaka 1985 na baba yangu hakuwa na kazi alikuwa kamaliza kidato cha nne lakini waliishi mpaka baba akaja kuwa mwandisi baadaye mwaka 1995 wakati huo tulishazaliwa sisi watoto wake.
Pia natoa mfano wangu mimi wakati namaliza chuo nilikuwa sina kazi mwaka, nilikuwa napanga chumba kimoja kinondoni lakini nilioa na baada ya kuoa nikaanza biashara na kupiga pesa mpaka leo nina familia na nyumba yangu ya kuishi na ndoa yangu ina amani sana.
Kama mke wangu angetaka mtu mwenye kazi na masharti kibao leo angekuwa hajaolewa.
Nawashauri wanawake waache kuweka masharti mengi kwa wanaume, kwenye ndoa hakuitaji masharti muhimu upendo hayo mambo ya dini, sijui kazi, kama unataka wa dini yako kamtafute msikitini au kanisani.
Na kama unataka mtu mwenye kazi mpate hapo hapo unapofanya kazi!
ππWanawake, mabinti wa sasa hawataki ugumu wa maisha, wanaogopa kuteseka.
Sasa wewe unataka azowe yoyote tu. Kama wewe utafanya hivyo pia?? ππMwingine kasema anamtaka tolu, nadhani anataka kumtumia kupaka rangi nyumba.
Sio tabia njema kusimanga kazi kuwa kazi ni kazi tu, muhimu ni ya halali na mwenzako asiwe mvivu. πUmeongea neno. Wanawake wanajionaga wazuri sana na wakiona una date na mtu kapuku wataku simanga hadi ujute. Wakute kwenye thirties sasa
Ungumu uko wapi hapo, jifunzeni kuvumilia. πLove with no string attached, sijui kwanini mnapenda kuweka ugumu kwenye kila jambo
Unakazia nini ?? Au hii sio yangu mimi, kama sio yangu nisamehe. ππNakazia
Uko sahihi kabisa. ππKama hawataki ugumu wa maisha, wanaogopa kuteseke wanatakiwa kuongeza bidii katika kufanya kazi ili maisha yawe rahisi.
Nakazia kuwa waache tamaa ya kutazama karibu.Unakazia nini ?? Au hii sio yangu mimi, kama sio yangu nisamehe. ππ
Poleni kaka zangu nasema kaka zangu wengine humu ni waume za watu.Umeongea neno. Wanawake wanajionaga wazuri sana na wakiona una date na mtu kapuku wataku simanga hadi ujute. Wakute kwenye thirties sasa
Kweli dada yangu, uko sawa kabisa.Mapenzi ni fumbo, utakapopata shikilia hapohapo. Wanaume wenyewe siku hizi wanaoa sura na makalio, wale tuliambia mke tabia tuko palee Ila msituite nyau.
We dada sijui mama una matatizo ya akili? Nimesimanga kazi ya mtu? Hivi mods kuna uwezo wa kublock mtu asiwe ana reply post zako. We mama tafuta wachumba huko uk mimi niache ebooSio tabia njema kusimanga kazi kuwa kazi ni kazi tu, muhimu ni ya halali na mwenzako asiwe mvivu. π