Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Habari wakuu.
Hii imenikuta juzi tu hapa.
Mara kwa mara siku za weekend napenda kwenda club huku South Africa sasa bana kuna kidemu fulani hivi nishakipitiaga miezi iliyopita mara moja tu. Sasa nikiwa nakutana nae club hataki ananikazie ile mbaya na kuniita Malaya kila demu nataka kula mimi nikaona ananizingua nikamzimia data.
Kuna siku nikaenda club nyingine hivi nikatongoza muhudumu daah mtoto mkali sana mweupe halafu kidogo dogo 😂..siku ya kwanza akanipatia namba nikasema fresh.
Ilikuwa katikati ya wiki siku ya J5 nikampigia muhudumu siku hiyo hakuwa anafanya kazi tukaenda kupata dinner na kunywa pombe kidogo baada ya hapo tukaenda club ambayo wanakesha hadi asubuhi 5:30am..
Siku hiyo nilikunywa mbaya sasa bana nikamuona yule demu asee pombe hizi nilimuona bonge la demu akaniambia (babe Today I need u) nikamjibu okay I'm here we gonna go together to my hood.
Sasa bana muda umefika wa kuondoka yule muhudumu namwambia tuondoke akaniambia ngoja kuna kitu naongea na rafki yangu nikamwambia utanikuta kwenye gari nje...Imepita dakika 5 tu yule demu wakunikazia huyo katokea maana gari anaijua. Akaniambia babe letz go.
Asee bana kumbe yule demu muhudumu aliona mchezo wote mule ndani ya club. Sasa tukapitia sheli kuweka mafuta na kununua vitu vya kula kimtindo...kumbe yule demu kachukuwa tax kawahi nyumbani akawa ameekaa reception na mlinzi wa usiku...
Mimi nikangia sehemu ya parking nikapak gari tukashuka na yule demu sasa bana naenda kuchukuwa funguo kwa mlinzi maana niliacha kwajili ya usalama nisije kupoteza. Nikamkuta yule demu muhudumu nikajifanya kama simuoni asee akaanza kuniita halafu na yule demu wa kunikazia yupo nae. Sasa huwezi kungia ndani bila password kwahiyo mlinzi aliniuliza nimfungulie? Siunajua pombe noma nikamwambia fungua ndemu akazama ndani.
Tukapanda lift pamoja hadi geto sasa balaa likanza mizozo mimi nikapanda kitandani nikaacha wenyewe wazozane nishavurugwa..sasa bana yule wa kunikazia akaniuliza are u gonna sleep with me or this chick? Asee majibu ya pombe noma don't ask me fu....k question like that.
Yule demu muhudumu akachukuwa vitu vyake akaondoka....
Tukabaki na yule demu ambaye alinikazia nikala mzigo fresh tu...
Sasa bana kesho yake mida ya mchana nikampigia mhudumu kumuomba msamaha ili nile mzigo tu...kweli siku za mbeleni nimekula fresh tu na jana nimetoka kumpa R600 😂😂😂
Yule wakunikazia aliniomba nimuongezee kodi na mimi nikamkazia 😂💪
Hii ni true story wakuu.
Ni ndefu sana ila nimefupisha tu.
Pia soma kisa kilichofuata: Mrejesho kuhusu mwanamke muuza bar South Africa 🇿🇦
Hii imenikuta juzi tu hapa.
Mara kwa mara siku za weekend napenda kwenda club huku South Africa sasa bana kuna kidemu fulani hivi nishakipitiaga miezi iliyopita mara moja tu. Sasa nikiwa nakutana nae club hataki ananikazie ile mbaya na kuniita Malaya kila demu nataka kula mimi nikaona ananizingua nikamzimia data.
Kuna siku nikaenda club nyingine hivi nikatongoza muhudumu daah mtoto mkali sana mweupe halafu kidogo dogo 😂..siku ya kwanza akanipatia namba nikasema fresh.
Ilikuwa katikati ya wiki siku ya J5 nikampigia muhudumu siku hiyo hakuwa anafanya kazi tukaenda kupata dinner na kunywa pombe kidogo baada ya hapo tukaenda club ambayo wanakesha hadi asubuhi 5:30am..
Siku hiyo nilikunywa mbaya sasa bana nikamuona yule demu asee pombe hizi nilimuona bonge la demu akaniambia (babe Today I need u) nikamjibu okay I'm here we gonna go together to my hood.
Sasa bana muda umefika wa kuondoka yule muhudumu namwambia tuondoke akaniambia ngoja kuna kitu naongea na rafki yangu nikamwambia utanikuta kwenye gari nje...Imepita dakika 5 tu yule demu wakunikazia huyo katokea maana gari anaijua. Akaniambia babe letz go.
Asee bana kumbe yule demu muhudumu aliona mchezo wote mule ndani ya club. Sasa tukapitia sheli kuweka mafuta na kununua vitu vya kula kimtindo...kumbe yule demu kachukuwa tax kawahi nyumbani akawa ameekaa reception na mlinzi wa usiku...
Mimi nikangia sehemu ya parking nikapak gari tukashuka na yule demu sasa bana naenda kuchukuwa funguo kwa mlinzi maana niliacha kwajili ya usalama nisije kupoteza. Nikamkuta yule demu muhudumu nikajifanya kama simuoni asee akaanza kuniita halafu na yule demu wa kunikazia yupo nae. Sasa huwezi kungia ndani bila password kwahiyo mlinzi aliniuliza nimfungulie? Siunajua pombe noma nikamwambia fungua ndemu akazama ndani.
Tukapanda lift pamoja hadi geto sasa balaa likanza mizozo mimi nikapanda kitandani nikaacha wenyewe wazozane nishavurugwa..sasa bana yule wa kunikazia akaniuliza are u gonna sleep with me or this chick? Asee majibu ya pombe noma don't ask me fu....k question like that.
Yule demu muhudumu akachukuwa vitu vyake akaondoka....
Tukabaki na yule demu ambaye alinikazia nikala mzigo fresh tu...
Sasa bana kesho yake mida ya mchana nikampigia mhudumu kumuomba msamaha ili nile mzigo tu...kweli siku za mbeleni nimekula fresh tu na jana nimetoka kumpa R600 😂😂😂
Yule wakunikazia aliniomba nimuongezee kodi na mimi nikamkazia 😂💪
Hii ni true story wakuu.
Ni ndefu sana ila nimefupisha tu.
Pia soma kisa kilichofuata: Mrejesho kuhusu mwanamke muuza bar South Africa 🇿🇦