mkwawa masawe
JF-Expert Member
- Nov 19, 2018
- 225
- 346
Vipi wee Rick Blair.Sasa kama mimi ninayefanya kazi serikalini,Umeshasema ninalipwa sh 200,000 kwa mwezi.Sasa nikimlipa housegirl 150,000 kwa mwezi,Ina maana umeme,maji, nauli,Chakula,Nitalipia na Nini.Tuiombe Serikali ifanye minimum salary serikalini na kwingine kuwa 500,000 ili wazo lako lifanye kazi