Wasichana wa kazi wa ndani

Wasichana wa kazi wa ndani

Nikishaona mtu anachanganya kingereza na kiswahili, uandishi flan wa kupalilia penzi na dogo wa kidato Cha pili hua inanikata vibe ya kusoma

Ila kwa mada Yako ni ngumu sana kukomboa jamii yenye umaskini wa kutisha ni ngumu sana
 
Jamani nafikiri muda wa kubadilisha sheria au ku enforce vizuri na vikali sawa; wasichana wa kazi iwe marufuku kulipwa at the very most minimum ya 200k kwa mwezi na wale wa kwenda na kurudi at least 150k and I thk minimum salary is around iyo kwa serikali; which means hata km ukiwaongeza Poa tu na kodi walipe. But hii tabia ya kuchukua watoto wa watu below 18 uko kijijini kuja kumlipa 50k per month bado matusi, unyanyasaji( mostly wanawake ndo wanaongoza; coz wanaume the worst case ni Akita or kingono au akubake but asipotaka most men hawatokusumbua km wanawake) so iwe illegal to hire anyone under 18 coz anatakiwa awe shule; pia msichana uyo apitishwe at least basic haki zake na ajue pa kulalamika in case akinyanyaswa Au hata kupigwa na awe na simu hata tochi na kuwe na Union ya hawa watu ili wafuatiliane km kuna mmoja hajatucheki wiki nzima na km yupo hai au mzima. Lakini hii tabia ya kulipa wadada wa watu 50k na akivunja glass cjui tunakata kw salary cjui nn ni uhuni. Hawa wadada wanavumilia mengi sana na wanafanya kazi sana kuliko hata hao wabunge na matumbo yao. Wanastahili heshima na utu; pia km una hela nyingi unaweza kumsaidia kidogo kidogo ajiendeleze kw maisha sio abaki kwako permanently tu.
Kuna mijitu itaanza oh analala kwangu, anakula kwangu cjui nn??? Nyooo jaribu kwenda kufanya Kaz kwa mtu uone raha yake of seeing your life stuck and others are flying tu; pia km Wewe mtu wa maisha ya Kati basi you can't afford domestic worker kaa chini do your own work coz wanyanyasaji wakubwa ni hawa middle incomers wao wenyewe watu wa laki laki watataka two house girls( manina) fanya kazi mwenyewe tu waache hao wanaoingiza 40m achukue two house girls and walipwe at least 500k; hawa hata wakifoka utaona kweli hela anatoa. Lakini bado kwa urafi na uchoyo wa waTZ wanaojiita wa jamaa mtu anaweza akawa anaingiza 50m na bado msichana wa kazi anapata 50k or 60k hawa watu cjui wanalalaje usiku?😳
Oh cjui hana adabu cjui nn basi mpe hela yake na nauli kwaheri sio kumpiga au kumtukana unaweza kuongea naye vizuri tu yakaisha km mjeuri kweli mwache aende. Pia ana haki ya kuwa na boyfriend hata kufanya ngono chumbani kwake akiwa ameheshimu muda na hajasababisha wizi wowote Au hata akikuaga anaenda kwa malavidavi ana haki iyo; hajaja hapo kuwa bikira maria Achezewe na watoto wenu wa kiume tu then abwagwe wakienda kudate akina Lulu Diva uko when yeye afue nguo zote hadi chupi na anaambulia 50k. This is evil inanikumbusha Filamu ya "A cry for Help" ya Nigeria kuhusu unyanyasaji wa Yule Yatima Ble Ble. Most of our families are guilty and pia sisi tusimame kukana awe mama yetu, dada zetu kw kunyanyasa wasichana wa kazi. Ivi mtu anasaidia kulea watoto wako, anapika, anafua unapata wapi ujasiri wa kumnyanyasa? Akiwawekea sumu wanao na kusepa au kuwatelekeza uko? Na tunawaonea wadada coz tunajua wakaka au houseboys sio popular uku km West Africa pia changamoto za wanaume na ubabe sio rahisi kumtesatesa all the time bila kupokea ngumi; pia we know risk ya wanaume in terms of sexual abuse; most men sio wabakaji wa watoto au wanawake but most rapists ni wanaume so that's why tunakimbilia safer option which is female domestic workers basi tuwatreat kwa heshima na tuwalipe minimum to have decent life km huwezi Acha. Yaani so far wazungu tu ndo wanalipwa wasichana vizuri
Dah... Umeandika lugha gani!??
 
Watu wenyewe tunaowaajiri hao wadada unga unga mwana , huo mshahara wa laki mbili tunatoa wapi. Cha msingi wasiteswe tuishi nao kama sehemu ya familia zetu.
Dah huu Uzi ni mzuri lkn nimesoma mpk nmechoka wahindi umewai fanya kazi nao ww utaomba uondoke
 
Watu wengine bwana; kweli shule haiondoi Ujinga. First nimelelewa na housewife mom who did most of the work and tuvokua tukawa tunamsaidia while baba was the breadwinner so hatukujishaua kuleta mdada wa kazi ili umlipe iyo 15k that's why I said km we maskini pia acha kuajiri watu fanya kazi mwenyewe
Mbona vingereza sasa ni kwamba ueleweke na wachache au nini lengo lako,simamia lugha moja kasuku wewe
 
Mawazo chanya lakini boss wake mwenyewe mwisho wa mwezi anachukua laki tatu ... Alafu yeye anakaa na kulala bure achukue laki mbili kwenye tatu ya boss wake ??
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Jf nakupenda kwa moyo wote maan nikiingia humu napata raha [emoji23][emoji23]
Jamaa mpuuzi sana maisha yenyewe magumu yeye anatuandikia vingereza vyake na kiswahili mara Dad mara nini kanikera sana
 
Jamani nafikiri muda wa kubadilisha sheria au ku enforce vizuri na vikali sawa; wasichana wa kazi iwe marufuku kulipwa at the very most minimum ya 200k kwa mwezi na wale wa kwenda na kurudi at least 150k and I thk minimum salary is around iyo kwa serikali; which means hata km ukiwaongeza Poa tu na kodi walipe. But hii tabia ya kuchukua watoto wa watu below 18 uko kijijini kuja kumlipa 50k per month bado matusi, unyanyasaji( mostly wanawake ndo wanaongoza; coz wanaume the worst case ni Akita or kingono au akubake but asipotaka most men hawatokusumbua km wanawake) so iwe illegal to hire anyone under 18 coz anatakiwa awe shule; pia msichana uyo apitishwe at least basic haki zake na ajue pa kulalamika in case akinyanyaswa Au hata kupigwa na awe na simu hata tochi na kuwe na Union ya hawa watu ili wafuatiliane km kuna mmoja hajatucheki wiki nzima na km yupo hai au mzima. Lakini hii tabia ya kulipa wadada wa watu 50k na akivunja glass cjui tunakata kw salary cjui nn ni uhuni. Hawa wadada wanavumilia mengi sana na wanafanya kazi sana kuliko hata hao wabunge na matumbo yao. Wanastahili heshima na utu; pia km una hela nyingi unaweza kumsaidia kidogo kidogo ajiendeleze kw maisha sio abaki kwako permanently tu.
Kuna mijitu itaanza oh analala kwangu, anakula kwangu cjui nn??? Nyooo jaribu kwenda kufanya Kaz kwa mtu uone raha yake of seeing your life stuck and others are flying tu; pia km Wewe mtu wa maisha ya Kati basi you can't afford domestic worker kaa chini do your own work coz wanyanyasaji wakubwa ni hawa middle incomers wao wenyewe watu wa laki laki watataka two house girls( manina) fanya kazi mwenyewe tu waache hao wanaoingiza 40m achukue two house girls and walipwe at least 500k; hawa hata wakifoka utaona kweli hela anatoa. Lakini bado kwa urafi na uchoyo wa waTZ wanaojiita wa jamaa mtu anaweza akawa anaingiza 50m na bado msichana wa kazi anapata 50k or 60k hawa watu cjui wanalalaje usiku?😳
Oh cjui hana adabu cjui nn basi mpe hela yake na nauli kwaheri sio kumpiga au kumtukana unaweza kuongea naye vizuri tu yakaisha km mjeuri kweli mwache aende. Pia ana haki ya kuwa na boyfriend hata kufanya ngono chumbani kwake akiwa ameheshimu muda na hajasababisha wizi wowote Au hata akikuaga anaenda kwa malavidavi ana haki iyo; hajaja hapo kuwa bikira maria Achezewe na watoto wenu wa kiume tu then abwagwe wakienda kudate akina Lulu Diva uko when yeye afue nguo zote hadi chupi na anaambulia 50k. This is evil inanikumbusha Filamu ya "A cry for Help" ya Nigeria kuhusu unyanyasaji wa Yule Yatima Ble Ble. Most of our families are guilty and pia sisi tusimame kukana awe mama yetu, dada zetu kw kunyanyasa wasichana wa kazi. Ivi mtu anasaidia kulea watoto wako, anapika, anafua unapata wapi ujasiri wa kumnyanyasa? Akiwawekea sumu wanao na kusepa au kuwatelekeza uko? Na tunawaonea wadada coz tunajua wakaka au houseboys sio popular uku km West Africa pia changamoto za wanaume na ubabe sio rahisi kumtesatesa all the time bila kupokea ngumi; pia we know risk ya wanaume in terms of sexual abuse; most men sio wabakaji wa watoto au wanawake but most rapists ni wanaume so that's why tunakimbilia safer option which is female domestic workers basi tuwatreat kwa heshima na tuwalipe minimum to have decent life km huwezi Acha. Yaani so far wazungu tu ndo wanalipwa wasichana vizuri
Mbona huko huko umeenda mbali sana.Kwanini usiwaangazie maisha ya walinzi wa usiku,wale wanaolinda ATMs imejaa hela lafu mshahara wake anatake home ya 150k(all inclusive).wale wanaolinda magodown ili akija jambazi kuiba ama amue au auliwe yeye.

Huyu msaidizi wa Nyumbani mshahara ukichelewa ana uhakika wa kula,kulala.Ila siyo huyu wa day.unajua mtu analipwa sh.150k halafu akitoa nauli ya kwenda kazini na kurudi,kula,kodi ababaki na negative salary inayokuwa financed na duka la mangi

point yako kubwa hapo ni kwamba kama una nafasi muwezeshe.Pili tuwaheshimu hawa watu kama watoto wetu kwa sababu msaada wao ni mkubwa sana

Unajua take
 
Jamani nafikiri muda wa kubadilisha sheria au ku enforce vizuri na vikali sawa; wasichana wa kazi iwe marufuku kulipwa at the very most minimum ya 200k kwa mwezi na wale wa kwenda na kurudi at least 150k and I thk minimum salary is around iyo kwa serikali; which means hata km ukiwaongeza Poa tu na kodi walipe. But hii tabia ya kuchukua watoto wa watu below 18 uko kijijini kuja kumlipa 50k per month bado matusi, unyanyasaji( mostly wanawake ndo wanaongoza; coz wanaume the worst case ni Akita or kingono au akubake but asipotaka most men hawatokusumbua km wanawake) so iwe illegal to hire anyone under 18 coz anatakiwa awe shule; pia msichana uyo apitishwe at least basic haki zake na ajue pa kulalamika in case akinyanyaswa Au hata kupigwa na awe na simu hata tochi na kuwe na Union ya hawa watu ili wafuatiliane km kuna mmoja hajatucheki wiki nzima na km yupo hai au mzima. Lakini hii tabia ya kulipa wadada wa watu 50k na akivunja glass cjui tunakata kw salary cjui nn ni uhuni. Hawa wadada wanavumilia mengi sana na wanafanya kazi sana kuliko hata hao wabunge na matumbo yao. Wanastahili heshima na utu; pia km una hela nyingi unaweza kumsaidia kidogo kidogo ajiendeleze kw maisha sio abaki kwako permanently tu.
Kuna mijitu itaanza oh analala kwangu, anakula kwangu cjui nn??? Nyooo jaribu kwenda kufanya Kaz kwa mtu uone raha yake of seeing your life stuck and others are flying tu; pia km Wewe mtu wa maisha ya Kati basi you can't afford domestic worker kaa chini do your own work coz wanyanyasaji wakubwa ni hawa middle incomers wao wenyewe watu wa laki laki watataka two house girls( manina) fanya kazi mwenyewe tu waache hao wanaoingiza 40m achukue two house girls and walipwe at least 500k; hawa hata wakifoka utaona kweli hela anatoa. Lakini bado kwa urafi na uchoyo wa waTZ wanaojiita wa jamaa mtu anaweza akawa anaingiza 50m na bado msichana wa kazi anapata 50k or 60k hawa watu cjui wanalalaje usiku?[emoji15]
Oh cjui hana adabu cjui nn basi mpe hela yake na nauli kwaheri sio kumpiga au kumtukana unaweza kuongea naye vizuri tu yakaisha km mjeuri kweli mwache aende. Pia ana haki ya kuwa na boyfriend hata kufanya ngono chumbani kwake akiwa ameheshimu muda na hajasababisha wizi wowote Au hata akikuaga anaenda kwa malavidavi ana haki iyo; hajaja hapo kuwa bikira maria Achezewe na watoto wenu wa kiume tu then abwagwe wakienda kudate akina Lulu Diva uko when yeye afue nguo zote hadi chupi na anaambulia 50k. This is evil inanikumbusha Filamu ya "A cry for Help" ya Nigeria kuhusu unyanyasaji wa Yule Yatima Ble Ble. Most of our families are guilty and pia sisi tusimame kukana awe mama yetu, dada zetu kw kunyanyasa wasichana wa kazi. Ivi mtu anasaidia kulea watoto wako, anapika, anafua unapata wapi ujasiri wa kumnyanyasa? Akiwawekea sumu wanao na kusepa au kuwatelekeza uko? Na tunawaonea wadada coz tunajua wakaka au houseboys sio popular uku km West Africa pia changamoto za wanaume na ubabe sio rahisi kumtesatesa all the time bila kupokea ngumi; pia we know risk ya wanaume in terms of sexual abuse; most men sio wabakaji wa watoto au wanawake but most rapists ni wanaume so that's why tunakimbilia safer option which is female domestic workers basi tuwatreat kwa heshima na tuwalipe minimum to have decent life km huwezi Acha. Yaani so far wazungu tu ndo wanalipwa wasichana vizuri
Mwandiko mbaya .....
Point hakuna .....
 
Wewe utafanya wakose hata hizo 50k sababu hakuna Mtanzania mwenye uwezo wa kumpa mtu anayepika, kufua, kufagia na kuosha vyombo 200k kwa mwezi ukichangia anakula na kupata huduma nyingine hapohapo.

Well, unless kuna kazi nyingine ambayo haijaorodheshwa. Otherwise sahau.
 
Una mawazo mazuri, lakini hivi vitu haviji hivi hivi, serikali iboreshe hali ya maisha tanzania, unakuta huyo boss mshahara wake ni 500k tu kwa mwezi.
Yote 9,10 sasa hali ngumu binti(mtu) ndio anatafuta kazi huo mshahara wa elfu 50 kula kulala juu yako anaona ni lulu.

Kikubwa tu, tuishi nao vema, tuwatendee wema, una cha kumsaidia msaidie. Vikozi vikozi hivi unampeleka, ni vema zaidi, sote hatuijui kesho yetu.
Mshahara elfu 50 ,kula kulala kwa tajiri .Hapo hatujahebu milo yake mitatu kwa siku,sabani ya kuoga na kufulia,matibabu akiugua gharama zote tajiri.
Elfu 50 +gharama zote inazidi huo mshahara.
Mtoa mada umengalia mshahara tu hukufikiria gharama nyingine anazotoa tajiri.
 
Watanzania bwana na akili zao; so nipochanganya ngeli hapo hujaelewa Au ndo kuwashwa tu? Basi ungekuwa hujaelewa usingekuwa unapiga kelele ungepita pembeni tu km umeona kichina🤣🤣🤣
Mbona vingereza sasa ni kwamba ueleweke na wachache au nini lengo lako,simamia lugha moja kasuku wewe
 
Narudia basi fanya kazi mwenyewe km huna uwezo wa kulipa watu mbona simple
Mshahara elfu 50 ,kula kulala kwa tajiri .Hapo hatujahebu milo yake mitatu kwa siku,sabani ya kuoga na kufulia,matibabu akiugua gharama zote tajiri.
Elfu 50 +gharama zote inazidi huo mshahara.
Mtoa mada umengalia mshahara tu hukufikiria gharama nyingine anazotoa tajiri.
 
Back
Top Bottom