Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
- Thread starter
-
- #61
Narudia; fanya kazi mwenyewe tu hata iyo 50k yako iokoeSawa boss mshaara tsh 200000/= namkata tsh 30000 kulala kwangu kama kodi,.elfu 3 kila siku kwa kula milo 3=120000/=,inabaki 50 haki yake,.bado sokoni anaenda yeye so chances za kujikuna buku buku zipo
пошел на хуй ты, тупая сукаDah... Umeandika lugha gani!??
Yaani ungejua hiyo elfu 50 na wazazi wao wanaitegemea.Narudia basi fanya kazi mwenyewe km huna uwezo wa kulipa watu mbona simple
Mtu anakula bure, analala bure, halipii maji ,halipii umeme ,matibabu pia wakati mwingine huwa ni kwa bosi aliyemuajiri , sasa kwa nini alipwe pesa yote hiyo?
Haya makelele yote unayotupigia hapa Bora urudi shule ukafundishwe kuandika.
60kHvi kima cha chini cha mshahara ni ngapi?
Uwezo wako wa kufikiria ndio umeishia hapa au. Jitahidi kdg kujiongezaNarudia; fanya kazi mwenyewe tu hata iyo 50k yako iokoe
Soma kima cha chini cha serikali wafanyakazi za ndani kwa watu local ni 60,000/- Ila kwa watu kutoka nje ubalozini mpaka ikulu na wapi huko anakunja zaidi ya 600k mfanyakazi wa ndani, wale unaowaona ikulu pale wanapangapanga maji mezaniwasichana wa kazi iwe marufuku kulipwa at the very most minimum ya 200k kwa mwezi na wale wa kwenda na kurudi at least 150k and I thk minimum salary is around iyo kwa serikali;
Madogo kwa minajili gani?Serikali ni watu , na watu kama mimi na wewe, changamoto ni kuwa wanachoamua sasa kinaweza hata chukua miaka 10+ kisibadilishwe ilhali hali imebadilika sana
60k ni chache sana ila ndio uhalisia huo, maana hata wale wanaofanya kazi kwenye migahawa maeneo ya mijini malipo huwa kidogo sana
Nadhani wakati anaandika hakufikiria kwa mañana zaidi kwa nn asiwee dalali wa kuwakuwadia wadada wa kazi huko Arabuni na India walipwe pesa anayoitakaWatu wa usafi kwenye makampuni,walinzi kampuni za kibongo wanalipwa laki moja hadi na elf 30 Kila kitu juu yako nauli, chakula,kodi Tena baada ya siku 40 au wanakopwa mwezi mmoja.
Ndo housemaid alipwe laki 2 kula kulala kila kitu kwa boss si Kila mtu atatamani awe housegirl