Wasichana wa siku hizi..na kutafuta elimu..........

Its true. Manake hata kama ni kazi za ujomba na kupeana at least mtu a-perform basi, kha!
Yaani kuna mtu unakutana nae kwenye kazi unajiuliza alipataje hii position. Japo the boss ameongelea wanawake tu, na wanaume sijui wanazungukaje but they do these tricks too!
Na ndiyo maana Tanzania ni full ubabaishaji kwenye kila sekta.
 

Hapa umenigusa sana ndugu yangu,

Unajua baadhi ya walimu wa college siku hizi ni kama wale wa UPE ya miaka ya 70!!

Ni hatari sana. Ndiyo maana ni kasema hili suala siyo simple linear equation (y=bx+c)....Kwamba ukimalizana na b, bas ume-solve...No way...It is multi factorial equation!!

Babu DC!!
 

Dada yangu,

Inakera sana kukutana na kijana wa kiume ambaye ni mweupe kiasi kwamba anaishia kujilegeza legeza....

Khaaaaaaaaaaaaaaaaaa,

Wajukuu zangu wasijeniona natoa machozi bure!!

Babu DC!!

NB...Naoma wajukuu wa kike wasinielewe vibaya!!
 
Actually nilikuwa nataka nizungumze kwa jamii nzima as whole
but nimejikuta najibu post za watu zaidi....
labda nikuulize EMT kuna viwango vya makosa?vya dhambi?
kujiuza na kununua mithani unaweza sema ipi ni dhambi zaidi?

Yote ni makosa but whether yanalingana inategemea na circumstances. Ndio maana unakuta watu wawili wameua lakini mmoja anakutwa guilty with murder and the other with manslaughter. But point yangu sio hiyo. Point yangu pia tujaribu kuangalia na hao wanaouza mitihani na kufanya ngono na hao wasichana.

Kama hakuna muuzaji wa mitihani, hutaweza kununua mitihani. Kama hakuna walimu wanaotumia nafasi zao za ualimu ili kufanya ngono na wanafunzi, then hakuna mwanafunzi ambaye atafanya ngono na mwalimu ili afaulu. Kama ukimwajiri a top class teacher and mwenye wito wa ualimu, s/he likely to follow the teaching ethics kwa sababu akiharibu ndio anaharibu profession yake. Lakini ukiajiri ambaye qualifications zake ni poor and ualimu ulikuwa ni last resorst, s/he has got nothing to loose. Atafanya apendanvyo.
 
Mwali weye, u can be the change u wanna see in the world. Ofcoz morals nazo zina gharama but u loose some u win some! At least unajiweka kwenye less problems emotionally, Morally, and economically (imagine u ar 50 yrs old ndo unagundua it doesn't work anymore!)
Your tomorrow is built up slowly by your today
 
Bora umekuja! Si unajua ninavo shindwaga kujitetea? Ila ulicho sema hapo ndio nilitaka kusema hata mimi, nikakosa maneno. lol
 
It is true kwamba hali inasikitisha. On the other hand utafanya nini zaidi ya ku coment tu. Dialema waliokuwa nayo mabinti wanaosoma siku hizi ni stagering.

Ni kweli wanataka kusoma ajili wapate kazi nzuri. Lakini njia wanayofikia malengo haifai. Lakini wafanye nini? Maprof watamfelisha msichana hata kama anamudu masomo. Na huyo anatengenezewa mazingira ili ajitoe muhanga.

Wengine ndiyo kabisa ni lost cases. Kusoma wanapenda na wanamudu. Uwezo wa kulipa ada hana. Circunstance inaelekeza kwenye short cut ya kuwa hawara wa Col. mwenye vinoti ili amkidhie huduma za shule hadi atakapomaliza.

I am sure that they DO NOT DO THESE DIRTY THINGS because the like it bt rather because they have fallen victims of the present circumstances. Tuchukuwe initiative tuwaelimishe lakini je tuko tayari kuwasidia bila ya kutegemea malipo kwa ngono?

Mtanisamehe sana lakini binafsi nasikitishwa na present education system ya TZ.
 
Babu,
Nasikitika kukiri kuwa qualities za jinsi ya kiume zinazidi kujongomea kila uchao! Hata sioni pa kuanzia, but I miss the traditional men wa enzi za ujana wetu!
 

Kuna sehemu mimi nimezungumzia hilo la viongozi kuwa na questionable academic credentials...something which is an open secret!
 
Babu,
Nasikitika kukiri kuwa qualities za jinsi ya kiume zinazidi kujongomea kila uchao! Hata sioni pa kuanzia, but I miss the traditional men wa enzi za ujana wetu!

Yaani we acha tu dada,

Ndo maana nimehisi machozi kunitoka. Unakutana na kijana wa kiume...ni mdebwedo kama mrenda...Hajui hata kuandika barua ya kiofisi....tena kwa Kiswahili......Wengine wanajirahisi hadi unaona wanautumia invitation card u-Cameron!

Ngoja tu niishie hapa...Kama mzazi, watoto wetu wanatia huruma!!

Babu DC!!
 
TM, Maadili pekee hayatoshi. Ingekua maadili yanatosha basi tungeendelea kua in the same world kila siku sababu wazazi wangetransmit maadili yao kwa watoto. Shida ni kwamba kuna factors nyingi zaidi ya maadili katika tatizo hili.
So long as hakuna punishment, so long as tunategemea 'morals', hakuna mabadiliko yatakayo tokea.
Haitoshi kusema sio halali, tunatakiwa kusema pia sio legal, na hatua zichukuliwe dhidi ya pande zote mbili, utaona kama rushwa haita punguka.
 

Big fact,

Yaani kwa watanzania waliowengi...imekuwa kama kanuni kwamba huwezi kumsaidia mtu wa jinsia tofauti usipate malipo ya ngoni!!

Inasikitisha sana!!

Babu DC!!
 

Ni kweli. Kuna baadhi yetu tulibahatika kusoma kipindi ambacho hawa walimu wapya walikuwa wanaingia kwenye soko na wale wa zamani wakikaribia kustaafu. You can openly tell their differences sio tuu kwenye kufundisha bali pia jinsi wanavyo interact socially na wanafunzi. Wale wa zamani, mpaka sasa nakumbuka walichonifundisha. I still remember the topics. I still remember how they addressed the topic. Na mazingira ya class and how I received their teachings bado nayakumbuka. Kwao sikuhitaji tuition and I performed well in my final exams.

Lakini hawa wapya story nyingi. Na wasichana wanaelewa weaknesses zao, so wanajilenegesha kiulaini. To make it easy wanaanzisha na tuition ili kuwapata wasichana kirahisi. Kama umeshindwa kumfundisha mwanafunzi darasani na akaelewa utawezaje kumfundisha tutition na kuelewa? Hapo sio kujitengenezea mazingira ya wanafunzi kujilengesha? Halafu kwa nini walimu wengi wa tuition ni wanaume?

Don't get me wrong. Wapo ambao ni walimu wazuri sana. Japokuwa qualification ni ndogo na ualimu haikuwa their first option, wanafundisha vizuri na wanafuata ethics za uliamu. Kudos to them. Pia wapo wengine ambao wangependa kuwa walimu lakini kutokana na hali halisi ilivyo kwenye hii sekta wamesepea kwenye sekta nyingine au wamejiupgrade huko huko na kuwa maafisa elimu.
 
Big fact,

Yaani kwa watanzania waliowengi...imekuwa kama kanuni kwamba huwezi kumsaidia mtu wa jinsia tofauti usipate malipo ya ngoni!!

Inasikitisha sana!!

Babu DC!!

Babu DC
Hivi unajua kunawasichana wana liwa while wazazi wao wanalipa
pesa kwenye private college pesa nyiingi tu
na wazazi wanafikiri kwa kuwapeleka private schools wamewalinda na walimu mafataki...
 

Very true and painful in deed.
 
Babu DC
Hivi unajua kunawasichana wana liwa while wazazi wao wanalipa
pesa kwenye private college pesa nyiingi tu
na wazazi wanafikiri kwa kuwapeleka private schools wamewalinda na walimu mafataki...

The Boss,

Sijui kama kuna mahali nimesema kuwa wanaotoa rushwa ya ngono ni watoto wanaotoka kwenye familia masikini...La hasha...

Nimejaribu kuonesha kuwa hili tatizo ni kubwa sana...kama alivyosema mbeba box mmoja, ni multifaceted

Babu DC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…