King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,855
- 24,925
Its true. Manake hata kama ni kazi za ujomba na kupeana at least mtu a-perform basi, kha!
Yaani kuna mtu unakutana nae kwenye kazi unajiuliza alipataje hii position. Japo the boss ameongelea wanawake tu, na wanaume sijui wanazungukaje but they do these tricks too!
Yaani kuna mtu unakutana nae kwenye kazi unajiuliza alipataje hii position. Japo the boss ameongelea wanawake tu, na wanaume sijui wanazungukaje but they do these tricks too!
Na ndiyo maana Tanzania ni full ubabaishaji kwenye kila sekta.