Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
-China-India border war.China alishinda.China amewahi kupigana vita ipi tukajua nguvu ya jeshi lake
hata huku ni tufupi kama kombe la kagame.Nenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.
Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.
Mbegu zinaharibika, tatizo nini?
Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.
Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.
Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
π€£π€£π€£bora umeuliza sijamwelewa kabisa mtoa madaIvi kuwa mrefu au mfupi ni maamuzi ya mtu binafsi?
Nimekusoma mkuu ila huo ukanda ufupi ni asili yao tu,sasa sisi huku miaka inavyozidi kwenda dada zetu wanazidi kuwa wafupi tofauti na zamani,hoja yangu imelalia hapo-China-India border war.China alishinda.
-Jangsari war/Korea war 1959 North Korea alishinda kwa msaada wa jeshi la China.
Tena China ni jeshi linaloweza ground battle kuliko udhaniavyo wewe.
Na Asia Pacific mataifa mengi yamepokea mafunzo China na hadi sasa wanapokea mafunzo.
Oeni Wamasai,wakurya,wanyaturu,wamburu na wamang'ati kwa wingi muongeze mbegu ndefu.Nimekusoma mkuu ila huo ukanda ufupi ni asili yao tu,sasa sisi huku miaka inavyozidi kwenda dada zetu wanazidi kuwa wafupi tofauti na zamani,hoja yangu imelalia hapo
Bora mwanamke awe mfupi kuliko mwanaume akiwa mfupi, hata akikutaza kitu unaona km mnataniana πΉπΉπΉmbona ni kawaida kwa mammals, majike kuwa madogo kimaumbile kuliko madume?
hainihusuuuuuu ππ siko chini ya 5 mie
Ridhiwan Kikwete hana Lishe bora? Unakijua kimo chake?
Yule kakulia ushuwani tena ikulu na kuna wadogo zake ni wafupi nawafahamu.
Suala la lishe halina ukweli wowote. Mimi kama ni lishe umejichanganya manake mimi mwenyewe sijakulia maisha ya uswazi na nilikula chochote nilichohitaji lakini sina urefu wowote.
Tatizo bei ya mkaaNenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.
Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.
Mbegu zinaharibika, tatizo nini?
Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.
Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.
Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
Unapata wapi muda wakuwaza haya kiongozi,Nenda vyuoni IFM, CBE, TIA ukikuta binti ana futi 6 niite nikupe milioni. UDSM ukikuta futi sita ujue ni foreign student toka Rwanda, Uganda au Sudan.
Uko uswazi, Buguruni, Temeke, Tandale ndio funga kazi, futi 5 kamili mwisho.
Mbegu zinaharibika, tatizo nini?
Asili ya mtanzania sio ufupi, kama ni viporo nama zetu wamevila mimi nahisi ni ukosefu wa lishe, dawa za kuzuia mimba, uzazi wa mpango, zinadumaza hawa mabinti, serikali ifanye utafiti.
Kwa sisi wanaume mbona hali sio mbaya.
Tunapoelekea majeshi yetu yatakosa wanawake, huwezi kuwa na askari futi nne.
MiMi sins njaa hspa niko na bakuli la uji na mihogo saafiUnapata wapi muda wakuwaza haya kiongozi,
Mbona kama umewaza na kuyaandika haya ukiwa na njaa!?
Pambana mkuu, maisha ya Sasa hivi hayahitaji urefu au fupi.
Kila kitu kimerahisishwa na Hali ya uchumi, jitahidi uwe vizuri kwenye uchumi kasoro zako zote zinafichwa hapo.
Unawaza jeshi litakosa watu, hivi Kwa mawazo yako unahisi huko tuendako vyombo vya ulinzi vitahitaji zaid rasilimali watu??
Hao uliowaona huko IFM, CBE sijui TIA ndo utakaoenda kuwalilia kesho wakuvushie siku yako Kwa kukuokoa na njaa, wakati huo hutaangalia urefu Wala ufupi utakuwa unaangalia tumbo tu.
Unachelewa mkuu, amka na uwaze ya maana.
sasa tatizo Nini mkuu??MiMi sins njaa hspa niko na bakuli la uji na mihogo saafi