Wasichana wapiga mizinga, Mnajiaibisha mbele ya wanaume

Wasichana wapiga mizinga, Mnajiaibisha mbele ya wanaume

Nyie mnavyotongozatongoza hamjiaibishi? Unakuta mtu anatongoza mtaa mzima kuanzia watoto, wadada, wamama hadi wabibi. Au kunya anye kuku akinya bata mchafu kaharisha? NA NYIE MTULIZE MIDUSHE YENU MTU ANAMKE LAKINI UTASEMA KATIWA NDIMU
 
Wa hivyo huwa mnawatoa au mnakutana nao wapi nyie watu?

Au ni nyie wenyewe ndo huwa mna exude vibes za kupigwa mizinga?

Maana sie wengine ukituangalia tu unaona kabisa huyu hapigiki mizinga kirahisi rahisi!

Kwanza sijui ataanzia wapi tu kunipiga huo mzinga nadhani usoni tayari ntakuwa na expressive look flani hivi....

hahahaaaa sura ya pinda au sio
 
Nyie mnavyotongozatongoza hamjiaibishi? Unakuta mtu anatongoza mtaa mzima kuanzia watoto, wadada, wamama hadi wabibi. Au kunya anye kuku akinya bata mchafu kaharisha? NA NYIE MTULIZE MIDUSHE YENU MTU ANAMKE LAKINI UTASEMA KATIWA NDIMU

kwa hivyo mnatukomesha kwa kutupiga mizinga? sio vizuri
 
kweli kabisa baadhi ya wanawake wanapenda ankara sana ushauri wangu tafuta wa aina yako hao waachie wenyenazo au kama unampenda sana jaribu kumuelesha juu ya hali yako halisi

Bora kila mtu abak na type yake na ufwate wa type yako.Sio kupend viZuri huku hujui uzuri ule nini kimesababisha mpk ukauona wewe
 
Determinats of price
DEMAND IKO JUU
SUPPLY IKO CHINI
LUXURY GOODS
QUALITY
ETC

HALAZIMISHWI WALA KUBEMBEKEZWA MTU NI LAWS OF NATURE TU,!

Ukiapply laws zako za kiuchumi na kumlinganisha mwanamke na bidhaa huoni kama unamdharilisha? Mwanamke kama bidhaa kwa tafsiri yangu ni kwamba mwanamke akijitambua kuwa hadhi yake ipo sawa sawa na bidhaa anajiuza, je wewe unajiuza?
 
Nyie mnavyotongozatongoza hamjiaibishi? Unakuta mtu anatongoza mtaa mzima kuanzia watoto, wadada, wamama hadi wabibi. Au kunya anye kuku akinya bata mchafu kaharisha? NA NYIE MTULIZE MIDUSHE YENU MTU ANAMKE LAKINI UTASEMA KATIWA NDIMU

Anakimbia garama anajua matumizi unapata kwa mumeo
 
Unakutana na msichana mrembo anavutia kwa muonekano na angalau mnaendana mfano dini etc. Unaamua kuanzisha uhusiano nae kwa malengo ya kuwa mwenzio wa maisha (Mke).

Sasa kidogo anaanza kukuambia naomba uninunulie simu yenye whatsapp, mara naomba hela ya mchango wa kitchen party, mara naomba kod ya nyumba, mdogo wangu kafukuzwa shule hana ada, twende Zanzibar holiday.

Zote hizi ni hela daah! hapo hamna hata wiki mbili. Kwa style hii aisee mtatukosa. Sikatai kukusadia lakin isiwe too much jamani kumbuka na mimi nina dhiki na ndugu kama wewe!
Vijischana vya skuizi!!bora kuwa Marioo tuu,.....kudadadek!!!
 
Unakutana na msichana mrembo anavutia kwa muonekano na angalau mnaendana mfano dini etc. Unaamua kuanzisha uhusiano nae kwa malengo ya kuwa mwenzio wa maisha (Mke).

Sasa kidogo anaanza kukuambia naomba uninunulie simu yenye whatsapp, mara naomba hela ya mchango wa kitchen party, mara naomba kod ya nyumba, mdogo wangu kafukuzwa shule hana ada, twende Zanzibar holiday.

Zote hizi ni hela daah! hapo hamna hata wiki mbili. Kwa style hii aisee mtatukosa. Sikatai kukusadia lakin isiwe too much jamani kumbuka na mimi nina dhiki na ndugu kama wewe!

an economic theory suggests that 'there is no such a thing as a free lunch'
 
mi kama mwanaume simtaki nitampa bill ambayo hajawahi kuiona sijali tuna masaa mangapi toka tumefahamiana, na siyo kama sina hela nina hela na nina uwezo wa kuishi vyovyote nitakavyokuanzia january mosi mpaka december 31 bila kumtegemea mtu, ila ukiona tuu nakupiga mizinga jua sina njia ya kukufukuza ndiyo hiyo
 
mi kama mwanaume simtaki nitampa bill ambayo hajawahi kuiona sijali tuna masaa mangapi toka tumefahamiana, na siyo kama sina hela nina hela na nina uwezo wa kuishi vyovyote nitakavyokuanzia january mosi mpaka december 31 bila kumtegemea mtu, ila ukiona tuu nakupiga mizinga jua sina njia ya kukufukuza ndiyo hiyo

But why not just keep it one hundred instead of pussyfooting?
 
Back
Top Bottom