King Octavian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 403
- 353
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba yako ni ile ile nikutumie hata msimbazi kwa Mpesa!
Umeongea point saana.
nyie ndio mnasikia utamu zaidi ndio maana huwa mnausaka kwa hali na mali.
Wanaume tunaanzisha mgomo wa mbunye, nyie mtakuwa mwendo wa finger tu
ahahahahahaaaa afu nyie ndio mtapata shida sasa sisi walaaaa hatudhuriki
Wanaume tunaanzisha mgomo wa mbunye, nyie mtakuwa mwendo wa finger tu
Kupiga mizinga lazima nisipokuomba ww nimuombe nan?ndo hyo njia ya kuanza kuchepuka kwasbb hunitimizii mahitaj yangu..achen ubahil mkono mfup haulambwi.
thubutu sie twaweza lakini nyie mmmh!!!
Toa tu Mkuu maana hakuna namba. Lasivo jiandae na puchu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Unakutana na msichana mrembo anavutia kwa muonekano na angalau mnaendana mfano dini etc. Unaamua kuanzisha uhusiano nae kwa malengo ya kuwa mwenzio wa maisha (Mke).
Sasa kidogo anaanza kukuambia naomba uninunulie simu yenye whatsapp, mara naomba hela ya mchango wa kitchen party, mara naomba kod ya nyumba, mdogo wangu kafukuzwa shule hana ada, twende Zanzibar holiday.
Zote hizi ni hela daah! hapo hamna hata wiki mbili. Kwa style hii aisee mtatukosa. Sikatai kukusadia lakin isiwe too much jamani kumbuka na mimi nina dhiki na ndugu kama wewe!