Si muache kutongoza kwani wanawafuata majumbani kwenu nyie vipi.[emoji44] unapeleka mwenyewe nani zenu kisha mnalia lia kama huna pesa za kuhonga si piga sijui nini hiyo kuliko kudhalilisha dada zetu kama wewe huna ni wewe wenzenu wana nunua mpaka magari nyumba zinajengwa sasa wewe 15000 mpaka mkojo aibu tu ukiingia city hiyo 15 unatoka na nini [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Yeye atafute wa hali yake buku buku sio kulia lia humu anatia aibuUmeombwa elfu 15,000 unatangaza jf, ukiombwa laki 5 si utaomba airtime redioni au kwenye luninga ujieleze
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha bonge ya mbinu na huwa haturudi kamwe
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
[emoji28] [emoji28] [emoji28] nimekumiss dogo, nichek watsap no yako sijui imekuaje siioni
Na mume ukaitwa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] walivyo wajinga wanaishia kuvaa tu vizuri
Yaani hapo kuchat nae tu kanipiga mzinga. Na wapo wengi sana kwenye Badoo. Kama kila siku akiomba wanaume watano elfu 10 kila.mmoja manake ana kipato kikubwa kuliko mwalimu mkuu!
Majibu yangu mwenyewe alikubali akapotea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huyo mwanaume akiwa na genye aende kwa mama ake sio kulialia mitandaon
Kapinda kweli lakini kuna ukweli wake jamaniHahaha watu mmepinda kweli
Ukiona mwanaume analalamika lalamika kuombwa hela ujue lengo lake la kwanza si zuriwe huna hela wenzio wakiombwa wanatoa double
Yaani kuna Wanaume wa ajabu sana.Umeombwa elfu 15,000 unatangaza jf, ukiombwa laki 5 si utaomba airtime redioni au kwenye luninga ujieleze
Sent using Jamii Forums mobile app
Mliitwa kuwafuata??,jamani mbona nyie wakaka hamjielewi.Ngoja niwafungulie Thread!niwaseme mana this is too much to handleNa mume ukaitwa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] walivyo wajinga wanaishia kuvaa tu vizuri
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
Fungua tuMliitwa kuwafuata??,jamani mbona nyie wakaka hamjielewi.Ngoja niwafungulie Thread!niwaseme mana this is too much to handle
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Kwa usawa huu wa hapa kazi tu.
Asilimia kubwa ya wanawake wa jf ni wajasiriamali wa ngono mkuu,wametega fursaDuh mil
Basi sawa .............inaonekana jamii forum wengi mpo vizuri eeh
Sent using Jamii Forums mobile app
unaomba ili akuache aua unaomba ukiwa unamaanisha? mbona akikupa na papuchi unatoa?The best way to chase a man you hate. Omba hela kubwa asiyoiweza.
Vivyo hivyo ukiona na mwanamke anakimbilia kukuomba pesa kwanzaUkiona mwanaume analalamika lalamika kuombwa hela ujue lengo lake la kwanza si zuri
Sent using Jamii Forums mobile app