Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Endelea kula vya watu siku yako yajaSi bora huyo 15000
Mimi niligundua mwanaume wa mtandaoni ukitaka umkatae kijanja mpe jiwe
huwa sikukatai ila ukisogea tu naanza na iphone [emoji23]
Wengi huishia matusi tu....mie roho yangu burudanii
Akufukuzae hakwambii toka! JIongeze dogo
Nikija PM naomba nionee huruma my dear,usinipige mizinga ya nyuklia please![emoji29][emoji29][emoji29]
Zinafika wewe jongea kwa waongeza vyuraHaya nipe sasa
Uko vizuri sanaIla Jamani mjue baadhi ya wanawake wanatuponza wanawake wote tunaonekana ovyo sana kiukweli tusitetee ujinga mpaka sasa ndoa zimekuwa mtihani mwanaume anashindwa kujua yupi kitabia anamfaa mwanaume anakutongoza Jamani hamjuani hamjaonana unakimbilia kuomba pesa kabla ya kukutongoza ulikuwa unaishije sometimes hatakama mwanaume alikuwa anania yakweli anakudharau Mimi siku zote nipo upande Wa wanawake wenzangu nikweli wanaume nimatapeli ila hii mwanaume kakufwata mambo poa unaomba hela anaweza akakupa akakuita akakutafuna ndoimetoka mwaname mvutie kasi kidogo nasio unamuomba direct unaji Fanya kuingizia kitu chako kimekwama unawaza utakisove vip yeye mwenyewe atajiongeza mpaka unamuomba mwanaume pesa mshakaa ata miez 3 au unajua mwanaume Wa kibongo wengi hawajui kutenga bajeti kila mwezi kumpa mwenzi wake mpaka waombwe Mimi kiukweli Jamani wanawake tubadilikeni sometimes tunajitakia kuzalauliwa Jamani mwanamke unambembesha mzigo mwanaume kama mzazi wako Mimi mwanaume kunihonga kila siku sitaki bwana ela unayonipa yamatumizi nifungulie genge ela izunguuke matumiz yatatoka hapa kiukweli mwanaume atakuona una akili sana kama anauwezo anakufumgulia kila siku vibomu mtu hatakukujulia hali inafika hatua anaogopa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa, Mimi binafsi mwanamke akianza mambo ya luku,sijui simu imeingia maji sitampa hiyo pesa na huo utakuwa ndiyo mwisho wa kumtafuta...hayo ni mambo ya kitoto kabisa!
[emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji46] [emoji32] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Kabisa, Mimi binafsi mwanamke akianza mambo ya luku,sijui simu imeingia maji sitampa hiyo pesa na huo utakuwa ndiyo mwisho wa kumtafuta...hayo ni mambo ya kitoto kabisa!
Alafu unakuta mtu huyo anakuja humu anaaza ooh! natafuta mume,mume utampataje kwa tabia mbaya kama hiyo,.... msipojiongeza mtaishia kukaa nyumbani mpaka muote mizizi hamtaolewa.
Inasikitisha sana...
Kuweni makini sana na hao mnaochat nao kwenye hizo nanii zenu...
Mwanamke wa kweli anakuwa na haiba, anakuvutia timing kwanza...
Kama wewe ni mwanaume, ukawa ukaanza ku-chat na unayehisi ni mwanamke kwa profile yake...
Ukiona baada ya maneno mawili akakuomba pesa, au anaomba msaada haraka haraka, shtuka, unachat na dume mwenzako...
Cc: mahondaw
Wanaume wa JF most of them ni vishuka sana!Jamaa anataka free p...
Haaaa haaaa...eti yatimaKwakweli mwanamke anaejiona yeye ni yatima anipitie mbali kabisa
Sasa tusemeje,mtu umetongozwa asubuhi jioni unalialia luku imeisha unataka pesa... kwahiyo nisingekutongoza ungelala giza.
Unakosea, walioko jf ndio haohao mtaani kwako, mpenzi, mchumba, mmeo, baba au kaka zako. Tuombe radhiWanaume wa JF most ni vishuka sana!
Hivi elfu kumi na tano ya kukuleta kulalama huku?...
Wanaume wengi wa humu wana umama umama sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umpanic au kuna ulompiga kibom hukuWanaume wa JF most of them ni vishuka sana!
Hivi elfu kumi na tano ya kukuleta kulalama huku?...
Wanaume wengi wa humu wana umama umama sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda anadhani sisi humu tumetokea kwenye sayari ya JupiterUnakosea, walioko jf ndio haohao mtaani kwako, mpenzi, mchumba, mmeo, baba au kaka zako. Tuombe radhi