Wasichokijua wengi kuhusu Israel

Wasichokijua wengi kuhusu Israel

ficha ujinga wako wewe mfia dini. Sir isaac newton sio myahudi na hajawahi kuwa myahudi hata siku moja nakupa historia ya sayansi. Ugiriki(mji mkuu wake athens) ndio kitovu na chimbuko la sayansi na falsafa ya ulimwengu. Wanasayansi na wanafalsafa wote manguli wametokea ugiriki na waliishi na kufanya gunduzi zao hata kabla yesu hajazaliwa huyo newton ndo kabisa mtoto wa juzi. Zamani enzi za kina newton shule nyingi zilikuwa zinafundisha historia ya ugiriki na lugha ya kigiriki(sio historia ya israel na lugha ya kiyahudi) na huyo newton alisoma historia ya ugiriki na lugha ya kigiriki na akawa inspired na wanasayansi wa kigiriki na kitabu chake aliandika kwa lugha ya kigiriki. Unamjua pythagoras wewe? socrates? Plato je? Xenophon? Aristotle je?Hao wote wameishi kabla ya yesu.
Asante kwa elimu. Ila ukitaka kusema ukweli sanyansi au elimu imeanzia Misri hao Wagiriki walipovamia enzi za utawala wa kifalme wakachukua utaalamu na baadaye wakawauwa wataalamu wa Kimisri na kutangaza utaalamu kuwa ni wao wakati ni wa Wamisri. Kumbuka Wamisri walikuwa watu weusi siyo waarabu wa sasa.
 
Asante kwa elimu. Ila ukitaka kusema ukweli sanyansi au elimu imeanzia Misri hao Wagiriki walipovamia enzi za utawala wa kifalme wakachukua utaalamu na baadaye wakawauwa wataalamu wa Kimisri na kutangaza utaalamu kuwa ni wao wakati ni wa Wamisri. Kumbuka Wamisri walikuwa watu weusi siyo waarabu wa sasa.
 
Asante kwa elimu. Ila ukitaka kusema ukweli sanyansi au elimu imeanzia Misri hao Wagiriki walipovamia enzi za utawala wa kifalme wakachukua utaalamu na baadaye wakawauwa wataalamu wa Kimisri na kutangaza utaalamu kuwa ni wao wakati ni wa Wamisri. Kumbuka Wamisri walikuwa watu weusi siyo waarabu wa sasa.
misri ya kale haijawahi kuwa na watu weusi kama wazawa asilia wa misri watu weusi waliokuwa misri walitoka nje ya misri ambapo walikuwa ni wanubi na wakushi, hii hoja ya kwamba misri ya kale ilikaliwa na watu weusi aliibua marcel diop msomi kutoka afrika magharibi juzi tu mwaka 1955. Kabla ya alexander the great kuivamia misri wanasayansi na wanafalsafa wengi wa kigiriki walivutiwa na elimu na maarifa ya kale ya misri na bila kificho walienda walienda kujifunza na walikiri wazi walienda kujifunza kuongeza maarifa. Je kuongeza maarifa ni jambo baya? Alexander the great aliivamia misri baadae sana.
 
Asante kwa elimu. Ila ukitaka kusema ukweli sanyansi au elimu imeanzia Misri hao Wagiriki walipovamia enzi za utawala wa kifalme wakachukua utaalamu na baadaye wakawauwa wataalamu wa Kimisri na kutangaza utaalamu kuwa ni wao wakati ni wa Wamisri. Kumbuka Wamisri walikuwa watu weusi siyo waarabu wa sasa.
kabla ya wagiriki kwenda misri ya kale kujifunza bado walikuwa na elimu ya juu na maarifa na misri walienda hasa kujifunza masuala ya architecture(michoro ya ujenzi) na ujenzi. Kwa kipindi hicho misri alikuwa na maarifa makubwa kuhusiana na ujenzi ndio maana mpaka leo hakuna anayejua ni teknolojia ipi ilitumika kuyajenga yale mapiramidi.utajiri wa historia ya misri umehifadhiwa kwenye mapiramidi kwa njia ya michoro(HYROGLEVES). Na katika hiyo michoro inaonesha watawala na viongozi mbalimbali wa misri sambamba na watumwa wao ambapo kimuonekano hawakuwa watu weusi labda hao watumwa wengi ndio walikuwa weusi.
 
Wapalestina sio wafilisti ishakuwa debunked mara kibao, unaniambia mimi Naongea propaganda, ila nakupa ushahidi wa Kisayansi wa studies mbalimbali zikionesha kwamba Wapalestina na Walebanon wa Sasa ndio OG canaanite,


Angalia hii Ted talks huyo jamaa ni Ashkenazi jew na amefafanua kwa undani study inayo imesha miaka 3700 iliopita walioishi hapo Dna zao ni sawa na wapalestina wa leo

View: https://x.com/expatvibes/status/1796810792832053428/mediaViewer?currentTweet=1796810792832053428&currentTweetUser=expatvibes

Pia Ame Debunk kwamba wapalestina ni waarabu/wafilist.

Pia ukiangalia hizo Tweets za Netanyahu kila siku anabadili Gia mara Wapalestina ni wazungu (Wafilisiti) mara wapalestina ni waarabu wametoka Gulf, huwezi kuwa Mwarabu halafu hapo hapo ukawa mzungu, na hio ni dalili ya propaganda na kusema uongo.

Ukitoa hio video kuna studies kibao zimefanyika hadi Havard na vyuo vikubwa vikubwa zote zina Agree kitu kimoja Wapalestina wa sasa ndio Israelite wa Zamani.

Hii study nyengine ya Dna

View: https://x.com/MiroCyo/status/1712258026881921287

View attachment 3118857
View attachment 3118858View attachment 3118859

Hizi picha Inaelezea kwa laymen makundi mengi ya Huo Ukanda kama Samaritan, Wapalestina Wakristo, Wapalestina waisilamu etc wana Dna kali zaidi ya Israelite wa zamani, at same Time hao Ashkenazi Dna zao za Kuchovya.


Kama mimi nilivyoelezea kwa Ushahidi na wewe leta ushahidi hapa
1. Wapalestina ni wafilisti na Dna zao ni Za kizungu
2. Ashkenazi ndio wayahudi OG

Kama huna ushahidi na una maneno matupu basi wewe ndio mueneza propaganda.

Umeunganisha taarifa mbalimbali za kweli, halafu ukaishia na conclusion isiyo sahihi.

Study ya genetics kuhusiana na wapalestina, ilionesha mchanganyiko wa ancesistors. Wapo walioonekana ni cananiites, wapo walioonekana ni waajemi, wapo walioonekana ni waarabu:

Historical records and later genetic studies indicate that the Palestinian people descend mostly from Ancient Levantines extending back to Bronze Age inhabitants of Levant. They share close religious, linguistic, and cultural practices and heritage with other Levantines (e.g Syrians, Lebanese, and Jordanians).

What is the ancestry DNA of Palestinians?


Genetically Palestinians are a pretty diverse and mixed populations that - unsurprisingly - clusters roughly between Syrians and Lebanese and Saudi Arabians, closer to - again unsurprisingly - Jordanians, also in the South Levant.11 Aug 2023
 
Umeunganisha taarifa mbalimbali za kweli, halafu ukaishia na conclusion isiyo sahihi.

Study ya genetics kuhusiana na wapalestina, ilionesha mchanganyiko wa ancesistors. Wapo walioonekana ni cananiites, wapo walioonekana ni waajemi, wapo walioonekana ni waarabu:

Historical records and later genetic studies indicate that the Palestinian people descend mostly from Ancient Levantines extending back to Bronze Age inhabitants of Levant. They share close religious, linguistic, and cultural practices and heritage with other Levantines (e.g Syrians, Lebanese, and Jordanians).

What is the ancestry DNA of Palestinians?


Genetically Palestinians are a pretty diverse and mixed populations that - unsurprisingly - clusters roughly between Syrians and Lebanese and Saudi Arabians, closer to - again unsurprisingly - Jordanians, also in the South Levant.11 Aug 2023
Kama unataka ku discuss na mimi naomba leta source za vitu vyako hakuna vitu nisivyopenda kama "Trust me bro evidence"

Nioneshe study yoyote ile toka kwa Wanasayansi wanaojulikana kwamba Saudi na Palestina ni watu wa moja. Vyote ulivyosema naamini vina source zake weka hapa, wewe sio mwanasayansi kwamba tuamini tu maneno yako.
 
Asante kwa elimu. Ila ukitaka kusema ukweli sanyansi au elimu imeanzia Misri hao Wagiriki walipovamia enzi za utawala wa kifalme wakachukua utaalamu na baadaye wakawauwa wataalamu wa Kimisri na kutangaza utaalamu kuwa ni wao wakati ni wa Wamisri. Kumbuka Wamisri walikuwa watu weusi siyo waarabu wa sasa.
Boss Misri sio Waarabu, wamisri ni wamisri wanaitwa waarabu sababu wamekuwa arabized "Culturally" ila biologically sio waarabu. Na ukanda wetu wa Africa mashariki hakukuwa na wabantu hebu Soma historia vizuri wabantu wote wamehamia East Africa miaka ya karibuni, watu wa asili eneo hilo wote Ethiopia, Somalia, Eritrea, Djibout, Chad, Sudan etc walio enda North na kuteka Misri hawakuwa wabantu.

Mfano wa Nubia people ni Rais wa Egpty Anwar Saadat
images (44).jpeg

Na mpaka Leo wa Egpty wa Kusini wapo hivyo.

So kama Definition yako mtu kama Anwar saadat ni Black basi yes upo sahihi kulikua na Black Egpty.
 
Boss Misri sio Waarabu, wamisri ni wamisri wanaitwa waarabu sababu wamekuwa arabized "Culturally" ila biologically sio waarabu. Na ukanda wetu wa Africa mashariki hakukuwa na wabantu hebu Soma historia vizuri wabantu wote wamehamia East Africa miaka ya karibuni, watu wa asili eneo hilo wote Ethiopia, Somalia, Eritrea, Djibout, Chad, Sudan etc walio enda North na kuteka Misri hawakuwa wabantu.

Mfano wa Nubia people ni Rais wa Egpty Anwar Saadat
View attachment 3123769
Na mpaka Leo wa Egpty wa Kusini wapo hivyo.

So kama Definition yako mtu kama Anwar saadat ni Black basi yes upo sahihi kulikua na Black Egpty.
Huyu race yake inaweza kuwa Original Egyptian
 
misri ya kale haijawahi kuwa na watu weusi kama wazawa asilia wa misri watu weusi waliokuwa misri walitoka nje ya misri ambapo walikuwa ni wanubi na wakushi, hii hoja ya kwamba misri ya kale ilikaliwa na watu weusi aliibua marcel diop msomi kutoka afrika magharibi juzi tu mwaka 1955. Kabla ya alexander the great kuivamia misri wanasayansi na wanafalsafa wengi wa kigiriki walivutiwa na elimu na maarifa ya kale ya misri na bila kificho walienda walienda kujifunza na walikiri wazi walienda kujifunza kuongeza maarifa. Je kuongeza maarifa ni jambo baya? Alexander the great aliivamia misri baadae sana.
Mwaka 2000 Mmarekani mmoja alitoa siri ya uhalisia wa usomi/elimu wa dunia hii ulivyobadirishwa kwa masilahi ya wazungu hakumaliza miezi miwili aliuawa. Hayo uliyoandika hapo juu ndio hao wakubwa wanataka ibaki hivyo hivyo. Lakini siku moja ukweli utajulikana tu.
 
Back
Top Bottom