Zanzibar 2020 Wasifu: Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais ajaye wa Zanzibar

Zanzibar 2020 Wasifu: Dkt. Hussein Ali Hassan Mwinyi, Rais ajaye wa Zanzibar

Naona mwandishi unaandika bila kushirikisha ubongo. Kwa hivyo CDF wote wanafaa kuwa marais wa Tanzania?

Wazanzibar wanataka kumsikia Mwinyi akizungumzia mustakabali wa Zanzibar katika muungano huu ulioifanya Zanzibar kuwa mkia (mkoa!) wa Tanganyika. Mwinyi toka amekuwa mwanasiasa mpaka leo hii anagombea urais anaogopa kabisa kuwasemea wazanzibar kuhusu muungano unaotutesa wazanzibar. Mzanzibar gani huyu muoga kama Kunguru wa bara?

Wazanzibar hatutaki utani safari hii, tulishaikataa CCM na wagombea wake wote, tumechoka kuburuzwa na muungano wa kihuni. Iwe jua liwe mvua, tutamchagua Maalim Seif.
Kumchagua Seif na Seif kushinda ni vitu viwili tofauti bwashee!
 
Naona mwandishi unaandika bila kushirikisha ubongo. Kwa hivyo CDF wote wanafaa kuwa marais wa Tanzania?

Wazanzibar wanataka kumsikia Mwinyi akizungumzia mustakabali wa Zanzibar katika muungano huu ulioifanya Zanzibar kuwa mkia (mkoa!) wa Tanganyika. Mwinyi toka amekuwa mwanasiasa mpaka leo hii anagombea urais anaogopa kabisa kuwasemea wazanzibar kuhusu muungano unaotutesa wazanzibar. Mzanzibar gani huyu muoga kama Kunguru wa bara?

Wazanzibar hatutaki utani safari hii, tulishaikataa CCM na wagombea wake wote, tumechoka kuburuzwa na muungano wa kihuni. Iwe jua liwe mvua, tutamchagua Maalim Seif.
Mwinyi siyo Mzanzibar
 
Aliyekuambia ata Rais anaweza kulinda nchi ni nani!?
 
Katika hotuba nzima ya Dr Magufuli pale Zanzibar jana swali hili alilowauliza wazanzibar ndio lililonifurahisha.

Dr Hussein Mwinyi ameweza kutulinda na kuhakikisha watanzania milioni 60 tuko salama atashindwaje kuwaongoza wazanzibari 1.5?

Mungu mbariki Rais Magufuli.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Kwahiyo hao Wazanzibari 1.5m siyo Watanzania!?
 
Hayo ni maelezo ya Amiri jeshi mkuu anayemteua CDF!
Ebo! Mbona unatuchanganya sasa!!! Si umesema Dr. Mwinyi ndie alikuwa anatulinda?! Ina maana Dr. Mwinyi ambae ndie Waziri Ulinzi ndie huyo huyo anayefanya kazi kama Amiri Jeshi Mkuu?!

Kumbe ni Dr. Mwinyi ndie anateua CDF?!
 
Anajua hata kushika bunduki huyo? JKT alikwepa kwenda. Nchi nyingine asingepewa kazi yoyote serikalini kwa kukwepa kwenda JKT ambako kwenda ilikuwa ni kwa mujibu wa seria za Tanzania. Sema tu hapa kwetu Magufuli ndiye katiba na sheria na CCM ndio Tume, Polisi, Msajili, TISS, Musiba na Mahakama.
Katika hotuba nzima ya Dr Magufuli pale Zanzibar jana swali hili alilowauliza wazanzibar ndio lililonifurahisha.

Dr Hussein Mwinyi ameweza kutulinda na kuhakikisha watanzania milioni 60 tuko salama atashindwaje kuwaongoza wazanzibari 1.5?

Mungu mbariki Rais Magufuli.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Katika hotuba nzima ya Dr Magufuli pale Zanzibar jana swali hili alilowauliza wazanzibar ndio lililonifurahisha.

Dr Hussein Mwinyi ameweza kutulinda na kuhakikisha watanzania milioni 60 tuko salama atashindwaje kuwaongoza wazanzibari 1.5?

Mungu mbariki Rais Magufuli.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Akwilina na Ben sio watanzania? Wako wapi?
 
Ebo! Mbona unatuchanganya sasa!!! Si umesema Dr. Mwinyi ndie alikuwa anatulinda?! Ina maana Dr. Mwinyi ambae ndie Waziri Ulinzi ndie huyo huyo anayefanya kazi kama Amiri Jeshi Mkuu?!

Kumbe ni Dr. Mwinyi ndie anateua CDF?!
Soma kwa kuelewa bwashee,

Najua mida hii una kisado cha mbege pembeni.
 
Cha kusikitisha ni kwamba hata wanaCCM wenyewe hawampigii kura Mwinyi hapo Zenji.
Wazanzibar wanajitambua sana, hivi ni kweli hakuna wazanzibar wengine wanaoweza kuongoza Zanzibar mpaka wajirudie-rudie haohao watoto wa viongozi? Kibaya zaidi hawachagui au kupanga wao, ni lazima atokee Dodoma?
 
Katika hotuba nzima ya Dr Magufuli pale Zanzibar jana swali hili alilowauliza wazanzibar ndio lililonifurahisha.

Dr. Hussein Mwinyi ameweza kutulinda na kuhakikisha watanzania milioni 60 tuko salama atashindwaje kuwaongoza wazanzibari 1.5?

Mungu mbariki Rais Magufuli.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Wazanzibar ni wapenda mabadiliko,niwapenda haki napia niwapenda Uhuru.Zabzibar tumeamua Tunakwenda na Babu,kwake Kuna hekima,utu na uzalendo wakweli.
 
Katika hotuba nzima ya Dr Magufuli pale Zanzibar jana swali hili alilowauliza wazanzibar ndio lililonifurahisha.

Dr. Hussein Mwinyi ameweza kutulinda na kuhakikisha watanzania milioni 60 tuko salama atashindwaje kuwaongoza wazanzibari 1.5?

Mungu mbariki Rais Magufuli.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!

CCM hoja zenu ni nyepesi sana

Kwan mwinyi alikuwa mkuu wa majeshi?
Au alikuwa amiri jeshi mkuu?
 
Back
Top Bottom