utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,849
- 2,508
- Thread starter
- #21
Huyu ndie mkombozi wa wana rungwe atawasimamia nje na ndani.Muaminini Mwangomango AtawafikishaHuyu hawafai wanarungwe maana amekulia kwenye mfumo wa kukandamiza wananchi .........
Wanarungwe kwa Sasa wanataka mbunge kutoka upinzani mwenye uwezo wa kuwasemea ndani na nje ya bunge.......
Wabunge wote waliopita ni bubu na hawaonekani kwa wananchi. Piga chini huyo wakili