Uchaguzi 2020 Wasifu wa Bw. Goodluck Abinala Mwangomango- Mtia Nia Jimbo la Rungwe

Uchaguzi 2020 Wasifu wa Bw. Goodluck Abinala Mwangomango- Mtia Nia Jimbo la Rungwe

Eti Huyo ndio mwanasheria mkuu wa ccm hebu mlinganishe na mwanasheria mkuu wa chadema,utagundua huyo haingii hata robot kwa lissu
 
Eti Huyo ndio mwanasheria mkuu wa ccm hebu mlinganishe na mwanasheria mkuu wa chadema,utagundua huyo haingii hata robot kwa lissu
Mwanasheria mkuu wa chadema kwa hicho chuma mweupe sana...Wanaomfahamu Advocate Mwangomango watakuambia
 
Mwanasheria mkuu wa chadema kwa hicho chuma mweupe sana...Wanaomfahamu Advocate Mwangomango watakuambia
Hiyo haiwezekani lissu ni next level hadi prof shivji anajua hilo,
Kingine huyo mwanasheria mkuu wa ccm number yake ya uwakili ni 6600s, lissu ni 900s huko okimaanisha kwamba lissu ana uzoefu mkubwa sana kuliko mwanasheria mkuu wa ccm yaani kwa maneno rahisi mwanasheria mkuu wa ccm ni mchanga compared to lissu.
Kesi alizosimamia lissu ni nyingi sana mfano za uchaguzi.
 
Ukishakuwa CCM Mpya sifa zote hizo ni bure kwani tukifanya makosa atakwenda bungeni kugonga meza kuashiria ndiyo pia kuingilia mijadala mizito kwa kuomba mwongozo na kanuni na siyo kuwakilisha hoja zenye matamanio ya wananchi wa jimbo analotoka.

Kwa kifupi hatufai kutuwakilisha wananchi wa Nyanda za Juu Kusini .

Huyo mliye kuwa naye hapo Rungwe kwa sasa amewafanyia nini?
 
Unaposema watu wa ndio huwataki, unatufanya tuanze kuwaza watu wa kupinga kila kitu kama walivyo sasa bungeni. Tunataka watu ambao kisichofaa wanasema na kukataa. na kizuri wanakubali hata kama kinafanywa na wengine. Mimi si Lumumba na nimeacha ushabiki usio na macho wa Chadema. Ninafuata siasa za Maendeleo ya Nchi yangu.
Hayupo mwanaccm anayesema kuna kitu hakifai pale bungeni....
Si unaona hao mbwa wamepitisha na kuruhusu viongozi wa mihimili kuvunja katiba bila kushitakiwa. Watz wote tukiamua kutumia akili zetu vizuri hakuna mtu hata wasaka vyeo wanaweza kutetea mashetani maccm
 
Hayupo mwanaccm anayesema kuna kitu hakifai pale bungeni....
Si unaona hao mbwa wamepitisha na kuruhusu viongozi wa mihimili kuvunja katiba bila kushitakiwa. Watz wote tukiamua kutumia akili zetu vizuri hakuna mtu hata wasaka vyeo wanaweza kutetea mashetani maccm
Viongozi unawaita mbwa?
 
Viongozi unawaita mbwa?
Mtu mwenye tabia za mbwa unamwitaje? Kiongozi mlafi anaitwa mlafi hivo hivo..... Ndio maana wengine wanaitwa mafisadi, wengine mwl Nyerere aliwaita viongozi wenye tabia km za malaya Malaya.......

Au ww umechukuliaje mkuu
 
Hawezi kidudumtu yule......hawa ndo waharibifu wa nchi. Ukijiuliza miaka mitano iliyopita kamtetea mwananchi gani utaona hakuna zaidi ya yy na spika kua mhuri wa kupitisha uchafu wote wa serikali hii ya kishetani
Hapo anafukuzia uteuzi
 
Back
Top Bottom