Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Siasa za kitoto yaani unakuwa mtu mzuri pale unaishi kwa kupinga kila kituu. Ndio maana ukiambiwa bwawa la kuzalisha umeme ni muhimu kwa nchi hii, wewe unakata. Nchi na dunia imebadilika, sasa hivi tunataka matokeo tuu.Huyu hafai hata kidogo maana ni walewale wazee wa ndiooo....