utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,849
- 2,508
- Thread starter
-
- #21
Huyu ndie mkombozi wa wana rungwe atawasimamia nje na ndani.Muaminini Mwangomango AtawafikishaHuyu hawafai wanarungwe maana amekulia kwenye mfumo wa kukandamiza wananchi .........
Wanarungwe kwa Sasa wanataka mbunge kutoka upinzani mwenye uwezo wa kuwasemea ndani na nje ya bunge.......
Wabunge wote waliopita ni bubu na hawaonekani kwa wananchi. Piga chini huyo wakili
Huyu hafai hata kidogo maana ni walewale wazee wa ndiooo....Huyu ndie mkombozi wa wana rungwe atawasimamia nje na ndani.Muaminini Mwangomango Atawafikisha
Anastahili.Afadhali Mbeya sasa hivi ipate wasomi ambao waweza chagulika kuwa mawaziri
Mbeya kulikuwa kumejaa darasa la saba wengi na form four wengi wa akina SUGU wa Mbeya MJINI ,Mwakajoka wa Tunduma nk Sasa hivi zinaingia namba za wasomi tena vijana safi sana kila heri
Kama shida ni hiyo kwanini mliweka vigezo na sifa za kugombea ubunge kuwa elimu ya darasa la saba na mtu anaejua kusoma na kuandika?Anastahili.Afadhali Mbeya sasa hivi ipate wasomi ambao waweza chagulika kuwa mawaziri
Mbeya kulikuwa kumejaa darasa la saba wengi na form four wengi wa akina SUGU wa Mbeya MJINI ,Mwakajoka wa Tunduma nk Sasa hivi zinaingia namba za wasomi tena vijana safi sana kila heri
Hayo ya kwakoHuyu hafai hata kidogo maana ni walewale wazee wa ndiooo....
Muda wa kuwatumikia wananchi waliomfikisha hapo alipo na jimboni wanamuhitajiKwani lazima uwe mbunge jamaa? Mbona wasifu umekaa poa tu kufanya shughuli za kitaasisi huko alafu na kazi ya maana tu unayo humo kwenye taasisi yenu, au unataka tu mpaka uingie mjengoni ndipo uamini kuwa unawatumikia wananchi? Si hata huko kwenye taasisi wapo wananchi haohao tena wenye weredi kwelikweli. Komaa tu humo humo ndugu.
Tutairekebisha 2021Kama shida ni hiyo kwanini mliweka vigezo na sifa za kugombea ubunge kuwa elimu ya darasa la saba na mtu anaejua kusoma na kuandika?
Una uhakika kuwa Elimu inaweza kuwa na impact ktk kuwaletea Wananchi maendeleo???.Anastahili.Afadhali Mbeya sasa hivi ipate wasomi ambao waweza chagulika kuwa mawaziri
Mbeya kulikuwa kumejaa darasa la saba wengi na form four wengi wa akina SUGU wa Mbeya MJINI ,Mwakajoka wa Tunduma nk Sasa hivi zinaingia namba za wasomi tena vijana safi sana kila heri
Ina asilimia 90Una uhakika kuwa Elimu inaweza kuwa na impact ktk kuwaletea Wananchi maendeleo???.
Mbona umemwacha Sauli au kwa sababu yeye ni ccmAnastahili.Afadhali Mbeya sasa hivi ipate wasomi ambao waweza chagulika kuwa mawaziri
Mbeya kulikuwa kumejaa darasa la saba wengi na form four wengi wa akina SUGU wa Mbeya MJINI ,Mwakajoka wa Tunduma nk Sasa hivi zinaingia namba za wasomi tena vijana safi sana kila heri
Umefanya research ya kutosha?Ina asilimia 90
Kwa Sugu atakimbia na pichu mkononi!Tulia anagombea Mbeya mjini
mwongezee wewe mimi nimeweka nk ongeza wote uwajuaoMbona umemwacha Sauli au kwa sababu yeye ni ccm
Wasomi wa vyeti.Anastahili.Afadhali Mbeya sasa hivi ipate wasomi ambao waweza chagulika kuwa mawaziri
Mbeya kulikuwa kumejaa darasa la saba wengi na form four wengi wa akina SUGU wa Mbeya MJINI ,Mwakajoka wa Tunduma nk Sasa hivi zinaingia namba za wasomi tena vijana safi sana kila heri
Hivi ukitumia tafsida si utaeleweka tu mkuu?!!!.Kwa Sugu atakimbia na pichu mkononi!
Kwani hapo hujaelewa nini? Au wewe umetafsiri namna gani?Hivi ukitumia tafsida si utaeleweka tu mkuu?!!!.
Anastahili.Afadhali Mbeya sasa hivi ipate wasomi ambao waweza chagulika kuwa mawaziri
Mbeya kulikuwa kumejaa darasa la saba wengi na form four wengi wa akina SUGU wa Mbeya MJINI ,Mwakajoka wa Tunduma nk Sasa hivi zinaingia namba za wasomi tena vijana safi sana kila heri