Uchaguzi 2020 Wasifu wa Bw. Goodluck Abinala Mwangomango- Mtia Nia Jimbo la Rungwe

13 Julai 2020
Dodoma, Tanzania

Polepole : Mabango au Vipeperushi viwe vya ktk nguzo au mtandaoni haviruhusiwi na CCM Mpya

Watia nia ktk kutaka kuteuliwa kugombea uongozi wa nafasi vyombo vya dola kupitia CCM Mpya wasomewa makatazo ikiwemo vipeperushi ktk mitandao ya kijamii
 
Hao wasomi wameleta maendeleo gani zaidi ya kupiga kelele za ndio,ccm imejaa PHD za wajinga tupu
 
Kwa mujibu wa komredi Polepole huyu keshafeli!
 
Hao wasomi wameifanyia nn mbeya ?? Nenda kyela kwa mwakyembe ni aibu tupu ..nenda kwa Saul ( S . H Amon ) ni bure kbsaa ...nenda Jimbo la Busokelo ni tabu tupu...Nenda Chatto ndo hvyo kbsa...hayo majimbo ni ya wasomi tu ...lkn ni hovyo tu
 
tunduma haiko Mbeya!
 
Bora la saba na f4 ambao wanamchango kwa taifa kuliko wasomi jamii ya akina Kabudi, Mwigulu, Mwakyembe n.k ambao hawana faida kwa taifa.
 
Namtakia kila la kheri, japo najiuliza maswali mengi sipati majibu. Rungwe ina wasomi wengi sana kuliko hata huyu, lakini kwanini wamejitokeza wachache sana kutia nia ???

Huko wanarogana sana ndo maana wasomi ni wachache wanaorudi, ukisoma kule ishia hukohuko kama mnamajirani wenye kijicho fasta utamalizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…