Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Siasa za kitoto yaani unakuwa mtu mzuri pale unaishi kwa kupinga kila kituu. Ndio maana ukiambiwa bwawa la kuzalisha umeme ni muhimu kwa nchi hii, wewe unakata. Nchi na dunia imebadilika, sasa hivi tunataka matokeo tuu.Huyu hafai hata kidogo maana ni walewale wazee wa ndiooo....
Cjui km umeelewa ulichoandika......mimi nimesema hatutaki wale wa ndioooo kila kitu sasa mabwawa yameingiaje mtu wa mtaa wa lumumbaSiasa za kitoto yaani unakuwa mtu mzuri pale unaishi kwa kupinga kila kituu. Ndio maana ukiambiwa bwawa la kuzalisha umeme ni muhimu kwa nchi hii, wewe unakata. Nchi na dunia imebadilika, sasa hivi tunataka matokeo tuu.
Unaposema watu wa ndio huwataki, unatufanya tuanze kuwaza watu wa kupinga kila kitu kama walivyo sasa bungeni. Tunataka watu ambao kisichofaa wanasema na kukataa. na kizuri wanakubali hata kama kinafanywa na wengine. Mimi si Lumumba na nimeacha ushabiki usio na macho wa Chadema. Ninafuata siasa za Maendeleo ya Nchi yangu.Cjui km umeelewa ulichoandika......mimi nimesema hatutaki wale wa ndioooo kila kitu sasa mabwawa yameingiaje mtu wa mtaa wa lumumba
Hivi sugu atapigwa chini kweli ?Anastahili.Afadhali Mbeya sasa hivi ipate wasomi ambao waweza chagulika kuwa mawaziri
Mbeya kulikuwa kumejaa darasa la saba wengi na form four wengi wa akina SUGU wa Mbeya MJINI ,Mwakajoka wa Tunduma nk Sasa hivi zinaingia namba za wasomi tena vijana safi sana kila heri
Mapema asubuhi atapigwa chiniHivi sugu atapigwa chini kweli ?
Haaa sasa hivi Sugu mkia wa mbele umekwisha ingia tumboni, wewe mpe pole tuu, akatuandalie chai na maandazi.Kwa Sugu atakimbia na pichu mkononi!
Comrade kapata nafasi ya ngapiHongera Comrade kwa nafasi uliyofikia View attachment 1513007
Hahahaaa nafasi ya tatu mkuuComrade kapata nafasi ya ngapi
oooh. Ndio mwanzo wa kujijenga.Hahahaaa nafasi ya tatu mkuu
Nafasi ya 3 kura 69Comrade kapata nafasi ya ngapi
Kabisa aisee kakomaa sana Hongera zakeoooh. Ndio mwanzo wa kujijenga.
Hao alikuwa anashindana nao ni Mapapa wakubwa lakini kakomaa nao sana
Angalieni yasije kuwatokea puaniMapema asubuhi atapigwa chini
Yaa ni ndioWakati naingia udsm nilimkuta akiwa speaker wa bunge la daruso
SawaWajumbe hawaangalii usomi. Wamempa S.H. Ammon, darasa la saba aliyeajiri wasomi.