Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Mkuu Ritz, Cambridge International College ni distance learning ambapo kila mtu anamaliza kivyake kutokana na alijiunga lini. Kwa kutusaidia tu kama unaweza tuwekee list uliyonayo isilo na jina la Lema.

Mkuu Samaritan,

Unapinga halafu hapo hapo unaniambia nilete orodha, hata kama ni distance learning hawawezi kujua wanafunzi waliopata diploma 2008?
 
Last edited by a moderator:

Hizo ni fikra zako naomba unipe jibu ebu angalia CV ya Lema, amesoma O level miaka 3, ni kweli?
 

Lema, kamaliza O level kisha kaanza A level mwaka huo huo, teh teh teh.
 
yule mwenye first class degree ya uchumi, analisaidiaje taifa hili katika kukuza uchumi kama sio ndio analiingiza taifa katika machafuko.
 
Katika masuala ya kimaendeleo tunapom'asses mtu hatuangalii 'education signaling' tunaangalia 'perfomance' na mengineyo.......
 
Hizo ni fikra zako naomba unipe jibu ebu angalia CV ya Lema, amesoma O level miaka 3, ni kweli?

...ntakujibu lakini kwanza nijuze nani anaye maintain,kuweka na ku update taarifa za tovuti ya bunge...?!
 
sasa kama ana CV ya Uongo na bado anawahenyesha ccm basi huyu JAMAA ni genius ! kama hajaenda shule ya kutosha alimmwaga DR Batilda na elimu yake yote basi jua huyu mtu ana karama nani kiongozi wa watu, kama Kundi zima la wapiga kelele la ccm lilimshindwa hivi juzi kule Arusha akiwa na elimu yake ndogo basi jua huyu ni mti maalumu.
Kama Lema mwenye elimu ndogo anawabwaga ccm hata mahakamani basi jua ccm ni chama cha watu wasio na weledi wakutosha.

kama Lema mwenye elimu ndogo anaweza kuwakosesha usingizi ccm wote basi HUYU MTU ANABARAKA ZA MUNGU.
 
Yes CV ya Lema ameiandaa mwenyewe linalokuuma ni lipi hapo, kasema ana diploma na anaendelea na masomo :smile-big:
 
Hii nji kweli iko na wavunja mbavu wengi wa kutosha sana. Hizo ndio publications zilizopo kwa tovuti ya serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania! #OIB .
 
Mtoa mada aweke cv yake.
Mkuu unataka umkimbize JF, akiiweka ni aibu tupo ila tunaomfahamu ana certificate yake ya uwalimu kutoa Tutimba mwaka 1983, sasa hi mganga njaa hapa JF
 
Mkuu unataka umkimbize JF, akiiweka ni aibu tupo ila tunaomfahamu ana certificate yake ya uwalimu kutoa Tutimba mwaka 1983, sasa hi mganga njaa hapa JF

Sijawahi kusoma Tutimba wala sikijui hicho chuo cha Tutimba.
 
...ntakujibu lakini kwanza nijuze nani anaye maintain,kuweka na ku update taarifa za tovuti ya bunge...?!

Ofisi ya Bunge, wabunge wote wanapeleka CV zao ofisi ya bunge.
 
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]
Mkuu kuweka CV ya Lema ndiyo kumchafua.

Tunajua hamlali kwasababu ya lema bahati nzuri dunia ya sasa watu wanahakili za kupembua nyie bado mnafikiri mnaweza ku win kwa mtindo huu! pole sana mzee sibirini kimbunga kinakuja.
 
Diploma kaitoa wapi,huyu ni kidato cha pili hana shule zaidi ya hapo zingine sanaa tu na kuchezea watu wenye akiri ndogo kama wewe.
We mbona una akili fupi kama kimba! Ccm wotw wamefyata kwa lema, ni kiboko yao..
 
mkuu hata kawawa hakuoma lakini alikuwa anapiga kazi balaa!
 
Sijawahi kusoma Tutimba wala sikijui hicho chuo cha Tutimba.
Umejuaje kama ni chuo? hapa JF unavyowajua wenzio nawao wanakujua hivyo...Pole sana dogo hata kukanusha hujui, by the way upo kwenye ignore list yangu, waweza endelea tu< eti sikijua chuo, umejuaje Butimba ni chuo
 
Unaleta post alafu ukajijaza nusu nzima haipendezi kila baada ya mistari miwili unapost? Ni umbulula huo Ritz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…