Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Wasifu wa Godbless Jonathan Lema

Nyie Chadema msiwe ndumilakuwili CV ya ovyo hivi ingekuwa ya waheshimiwa wengine ungesikia kashfa zenu. Sasa tunaelewa kwa nini Lema yuko kama alivyo. Ni mtu wa hovyo sana. Lakini wafuasi wa Chadema ni watu wa ajabu. Tunamuongelea Lema katika nafasi ya ubunge sasa matusi ya baba zetu majumbani kwetu yanakujaje hapa? Lakini mbaya zaidi Lema ameifanyia nini Arusha tangu aingie madarakani? Mbona kama Arusha inarudi nyuma kiuchumi? Hiyo ndiyo siasa tunayoitaka sidhani. Let us call a spade a spade not otherwise. Thank you.
Tanzania chini ya dr inapaa sana kiuchumi sana kiuchumi isipokuwa arusha au siyo mkuu!
 
Kuna kitabu kinaitwa MAFISADI WA ELIMU KULE KUNAA....
-LUKUVI
-DIALO
-mbunge wa hanan'g ni mama nani huyu aliyempush lowasa kwny NEC?,ofcourz ni MAGAMBA2 WALIOJAA MULE xo hutusumbui kwa hilo mtu....tafuta jingine.
 
Lema kasoma 0 level miaka 3 teh teh teh, siasa hizi makamanda wanameza tu.
 
Kusikia hausikii hata picha uoni.

Pitia orodha ya wanafunzi waliomaliza Diploma 2008 Cambridge International College kama utalikuta jina la Lema.


Kha ha ha ha haaaaa! Nikimwonaga mjinga kama wewe @Rit lazima nikucheke kwa jinsi unavyojitahidi kuchafua hali ya hewa bila ya mafanikio kijana mtumwa mp.u.mb.a.vu kama wenzako tu!
Nakwambia hata kama hana elimu ila kwa namna yeyote ile hatutamfananisha na Mwigulu Nchemba ama wajinga wengine ndani ya mafisadi a.k.a ccm na hata M/kiti wako wa chama.
Acha kutumika vibaya wewe mtumwa!
Soma alama ya nyakati punguani wewe.
Copy kwa HAMY-D
 
Last edited by a moderator:
Kuanzia Lema atangaze kihama kwa ccm naona magamba wanakuja kasi kumchafua.....
 
wadau kumbukeni siku za nyuma Ritz aliongopa kwakusema Wenje hakusoma SAUT lakini baadaye alithibitishiwa Wenje alisoma SAUT, sijui Ritz alijisikiaje baada ya hapo!
 
Teh teh teh... Lema nae alikuwa CEO? teh teh teh!

mkuu punguza ushamba, kama mtu ni anamiliki kampuni ya kwake hicho cheo kinamuhusu. na si lazima kampuni iwe ya meli za kubeba pembe za ndovu wetu, mtaji wa chini kabisa kusajili kampuni Brella ni 5m,
 
Wewe ni nani mpaka useme CV ya Lema imejaa uongo? Vijana wa CCM akili zenu ni matope kweli kweli.
 
nasikia rais wetu alimaliza kwa taabu sana mlimani,..GPA ya kuvuta na kamba..mkuu Ritz hebu tusaidie kama una taarifa yoyote kuhusu hili.
 
mkuu punguza ushamba, kama mtu ni anamiliki kampuni ya kwake hicho cheo kinamuhusu. na si lazima kampuni iwe ya meli za kubeba pembe za ndovu wetu, mtaji wa chini kabisa kusajili kampuni Brella ni 5m,

Unamfahamu Lema wewe?, au unaleta ushabiki tu?, hiyo kampuni umehakiki kama imesajiliwa na BRELA kwenye hicho kipindi?
 
hivi hicho chama bila kuhusisha biblia bado hujakuwa kundini? mara mchungaji nani mbunge wa ..... mwingine mbunge...... padri mgombea ura... ntafatlia cv ya zito na arfi nao nizione.
 
HATUHITAJI CV YA MTU TUNAHITAJI UCHAPAKAZI WAKE, baba yako anaCV nzuri amefanyia nini taifa??? Tuandikie tuone CV yake na kazi kafanya kwa taifa hapo tunaweza jadili, vinginevyo huna cha maana, kazi ni kwako

uh....uh....uh.....tuanze na CV ya William Vangimembe Lukuvi
 
Ritz
Sijaelewa hapo kwenye PUBLICATIONS,
Naomba unifafanulie kidogo...
Nimecheka sana,lol..
Ila unauzungumziaje uchapakazi wake??huko jimboni kwake mambo safi,si unaona juzi kashinda kata zote nne udiwani??
H a ha ha ha....
 
Last edited by a moderator:
Kha ha ha ha haaaa!

Mijinga kama wewe Ponera ni kwamba tuna hasara sana jamvini


hivi hicho chama bila kuhusisha biblia bado hujakuwa kundini? mara mchungaji nani mbunge wa ..... mwingine mbunge...... padri mgombea ura... ntafatlia cv ya zito na arfi nao nizione.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom