Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Harafu ukiiona ndio itakuongezea ugali?

Watu wenye little IQ mna shida sana yaana yaani mnaamini Sana makaratasi yenu hayo.
 
Hizi ni hadithi.

Una CV ya Samia?
 
Winston Churchhill alikuwa karani wa Benki kabla hajachguliwa kuwa waziri mkuu wa Uingereza, alitokea kuwa kiongozi bora na anekumbukwa na kuenziwa katika historia ya taifa hilo.
Dogo, usikurupuke Winston Churchill ni kiongozi wa level ya Benito Mussollini, Adolf Hitler, Emperor Hirohito, Joseph Stalin, Franklin Roosevelt et al. Samia linganisha na Polepole aliyekuwa meneja pale NGO YMCA akaiba laki sita akafukuzwa.
 
Mtoto hachagui mzazi.

Wa kumlalamikia ni yule aliyekuwa na aleji ya wanawake weupe

Cv yake anayo mwenyewe, kiherehere kiwaishe.

..weee Mamndenyi are you crazy
 
Dogo, usikurupuke Winston Churchill ni kiongozi wa level ya Benito Mussollini, Adolf Hitler, Emperor Hirohito, Joseph Stalin, Franklin Roosevelt et al. Samia linganisha na Polepole aliyekuwa meneja pale NGO YMCA akaiba laki sita akafukuzwa.
Hahaha.

Aiseee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…