myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Uzi wa uchonganishi huu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sitaki hadithi.Ulisikia CV kubwa ndio kufanya vizuri. Wenye CV za kutisha wengi wamebakia kuharibu tu...
Alimpora nafasi ipi?Samia si alimpora Asha Rose nafasi. Na kamfukilia mbali asije kuonekana popote
Mkuu kwani mbunge wa hapa yuko wapiNa wala hakuwahi kuwa na University Degree
mbowe alikua DjMkuu mbona Mbowe aliishia form 4 na bado 2005 Chadema walitaka tumchague awe raisi wetu?
Harafu ukiiona ndio itakuongezea ugali?Nilikuwa napekua makabrasha nikakumbana na kijihabari kwamba Samia alikuwa sekretari wa NGO.
Kiukweli nilifadhaika. Sikutarajia kama angeweza kuwa na kisomo cha hadhi ya NGO.
Na hapa sitaki kubeza. Wala sina lengo la kutweza. Nataka kuondosha mashaka yangu.
Binafsi sijawahi kuona CV ya samia. Nimefukua kila mahali lakini sijaipata.
Naamini baadhi yenu mna CV yake humu. Lakini sijui kwanini mmeificha?
Kuna wanawake wa shoka wako CCM wana CV zina ujazo kweli kweli — Kama Asha Rose Migiro.
Ukizisoma mpaka unatoka udenda wa hamasa.
Lakini hii CV ya samia sijui wameifukia kwenye shimo gani. Hata uitafute vipi huipati.
Hivi ni kweli alikuwa sekretari wa NGO?
Hizi ni hadithi.Dictator Robert Gabriel Mugabe alikua na zaidi ya 7degree za kusomea, angalia alichokifanya ndani ya nchi yake, Zimbabwe [emoji1269] imeoza na imetapakaza economic illegal immigrants sadc nzima, President Rawling wa Ghana alikua na elimu ya kawaida na akaiwekea msingi mzuri nchi yake, Leo Ghana ni shining example ndani ya Afrika, President Madiba pia bila hekima zake SA ilikua inaingia in civil war hasa baada ya kuuliwa Chris Hani, President Samia so far so good, slowly but sure nchi inaanza kurudisha heshima yake,kisiasa na kuichumi welldone
Dogo, usikurupuke Winston Churchill ni kiongozi wa level ya Benito Mussollini, Adolf Hitler, Emperor Hirohito, Joseph Stalin, Franklin Roosevelt et al. Samia linganisha na Polepole aliyekuwa meneja pale NGO YMCA akaiba laki sita akafukuzwa.Winston Churchhill alikuwa karani wa Benki kabla hajachguliwa kuwa waziri mkuu wa Uingereza, alitokea kuwa kiongozi bora na anekumbukwa na kuenziwa katika historia ya taifa hilo.
=Halafu.Harafu ukiiona ndio itakuongezea ugali?
Lahaulaah!mbowe alikua Dj
Dj vs Secretary 2025
Form 5 ya wapi?! Magufuli baada ya "O" level Lake alichaguliwa kwenda kidato cha 5 Mkwawa; moja ya shule bora za serikali kipindi hicho.Labda anamaanisha kuwa hakupata qualifications za moja kwa moja za kuweza kuingia Form 5, ili kuingia moja kwa moja university.
Itasaidia nini....Mimi sitaki hadithi.
Nataka kupatiwa CV ya samia.
Unayo?
🤣🤣🤣🤣🤣Ni kweli alisoma lakini kuna wakati alibadilika na kuwa kama mganga wa kienyeji
Tafuta CV ya Rais wa nchi jirani anaemaliza muda wake linganisha na utendaji wake utapata majibu mazuri ya maswali yako.(indipendence)Mbowe huyu DJ?
Kwamba walitaka awe Rais wa nchi?
Narudia kule kule watu wajinga na wenye IQ ndogo mnaamini Sana kukariri walikobuni wenye IQ Kubwa harafu mnakuja kujisifia.=Halafu.
Sio Harafu.
Hata kuandika ni mgogoro sana kwako.
Unaonekana ulitoroka vidato wewe.
Hahaha.Dogo, usikurupuke Winston Churchill ni kiongozi wa level ya Benito Mussollini, Adolf Hitler, Emperor Hirohito, Joseph Stalin, Franklin Roosevelt et al. Samia linganisha na Polepole aliyekuwa meneja pale NGO YMCA akaiba laki sita akafukuzwa.
Itasaidia kuondoa utata wa elimu yake.Itasaidia nini....
Ndo huyo huyo ila bahati nzuri watanzania walishtuka.Mbowe huyu DJ?
Kwamba walitaka awe Rais wa nchi?
Ndo huyo huyo ila bahati nzuri watanzania walishtuka.Mbowe huyu DJ?
Kwamba walitaka awe Rais wa nchi?