Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Anyway tufanye Samia ana CV mbovu km unavyotaka, hiyo haimuondolei yeye kuwa ndio Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu.
Hizo CV kazikwe nazo pale Chettle
Hayo yote ya nini, kama unayo CV ya huyo mtu iweke hapa. Usihangaike na mipasho isiyokuwa na maana.
 
Lumumba haijawahi kuitwa Ng'ambo.
 
Hebu acha kutuletea Bhangi hapa, Hao viongozi wenye visomo wameifikisha wapi africa tangu 1960! Ni bora mara 100 ya Abeid Aman Karume darasa la saba, kuliko PHD ya Mugabe au Bokkasa na wengine wengi mno! Kisomo ni takataka tu mbele ya utawala! Utawala ni hekima.. Ndo maana tuna historia ya kiongozi Bora Suleiman ambae silaha yake ilikuwa ni hekima sio kisomo.
 
cv ya samia ipo wazi kabisa na yeye ashaielezea waziwazi,hana chochote alichoghushi,kasoma kwa kuungaunga ba kupambana sana
 
Ndugu Huwa naona unacopy na kupaste data mbalimbali kujibu Hoja.

Hebu mjibu huyu Uchwara asijechukua point 3.

Bt at least watu wanaongea Awamu hii maana thread kama hii ingeshafutika mapemaaaa.
Nimeshajibu..au wewe unataka jibu gani?
 
Ukiacha CV yeye mwenyewe akihojiwa na Zuhura Yunus akaeleza cv yake sasa Mimi nikutafutie mahojiano wakati wewe mwenye shida unafanya nini?

Unaweza kufanya Kazi na NGO ya Kimataifa kama huna shule? Tena alianza kuwa Mbunge kirahisi Sana huko kwao kutokana na wajibu wake kwenye jamii yake wakati anatekeleza majukumu ya NGO.
 
Asante, Mama Samia CV nzuri mno.
 
Mnauliza CV ya Mkuu wa Nchi, lengo lenu lipi hasa? Mnataka kuipindua nchi? Kwani Royo Tuwa hamjaiona? Watalii wamejaa Serengeti mpaka tumeamua kuwaondoa Wamaasai ili kuzipisha pesa ziingie hazinani. Alaaa!
Mkuu
We huoni
Wamasai wanahamishwa Ngoro Ngoro KWA sababu za ikolojia wakati ikolojia ilishakuwepo kitambo Sana!!?na wanyama hawakudhurika na Hao wamasai!!?Lazima wahoji kuona kwamba kama kozi ya ecology aliwahi kuisoma angalau Topic ya form two!!! Ili tujue anaelewa hicho anachokifanya huko mbugani!!!?
 
Sheria inaruhusu karani wa wizara kuajiriwa akiwa under eighteen?
Hili alilizungumza yeye mwenyewe alirudishwa nyumbani mpaka alipofik8sha 18 ndipo akaendelea na kazi. Acheni nongwa.
 
Institute,Institute,Institute? Kuna shule kweli hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…