Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Great point bro! Huyu mama siju alitokea wapi hadi akawa mgombea mwenza 2015, maana hakuna aliyekuwa anamjua kabla ya hapo. It's about time people question her real (family) background, as it remains a mystery to many Tanzanians to date.
[emoji15][emoji15][emoji15]

Yaani hujishughulishi kujua vitu vidogo hivyo ?!!!

Unauliza kwa "emotion" kana kwamba uulizalo ni jambo lenye kificho kikubwa?!!!

Mh.SSH ni maarufu toka akiwa mkurugenzi wa NGO's Zanzibar....akaja kuwa mbunge....akaja kuwa waziri Zanzibar.....akaja kuwa waziri wa muungano wa JMT....akaja kuwa makamu wa Rais....amepitia chekeche haswa kuwa mjumbe wa kamati kuu ya CCM zaidi ya miaka 20....leo ni chifu mkuu wa machifu Tanzania.....[emoji2956][emoji2956]

#Aishi Milele Chifu Hangaya ,amen[emoji120]
 
Kwanini mnamficha Baba wa Rais , mbona Wajomba zake wa Oman tulionyeshwa ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Bado sio hoja hata kama babake, ankali zake ni wakutoka huko unapotaka kutuaminisha kipumbafu bado yeye ana uhalali kwa kuwa ni raia wa Tanzania! Kumbafu zako Huna exposure wewe na ndugu zako wote mpo bongo umebakia kupika majungu Jf. Shenzi Kabisa nyaulino wewe!
 
Kwanini mnamficha Baba wa Rais , mbona Wajomba zake wa Oman tulionyeshwa ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Unamaanisha nini kusema wajomba wa Oman?!!!

Wamakunduchi hawana uhusiano na waomani.... wamakunduchi ni wahadimu....wahadimu wametokea pwani ya bara.....

Ila Omani hata ndugu zako wanaweza kuwa wamekwenda kama ilivyo kwa kaka zako akina Tuntufye wa Chicago....
 
Anaitwa Gida budhai
 
Magufuli ndio kitu gani labda?
 
Duuh ila watu jamani khaaah
Kila mwaka Kuna sherehe za jadi huitwa Mwaka Kogwa....wakienda Kizimkazi wataoneshwa maswahiba wa mwalimu Suluhu Hassan....akina mzee Ameir ,mzee Kidigwa na wahadimu wengine....
 
Mkuu Kiranga , nimeisoma post yako nikaguswa na kujisikia shame on Tanzanian media!. Look at the good work BBC wamefanya!. Samia ni rais wetu, sisi local media zetu tupo, kumjua rais wetu ni mpaka media itoke all the way from London!. Shame!, shame!, shame! all Tanzania local media, Pascal Mayalla inclusive!.
Halafu tukiambiwa local media ya Tanzania ni ovyo, tunajifanya kukasirika kuwa tunaonewa!.
P
 
Mkuu kamarada PM ,hivi alikuwa ni Fareed Zakaria wa CNN aliyesifiwa na hayati Rais Mkapa kwa kuuliza maswali "credible" na kufanya upembuzi yakinifu kabla ya maswali yake ambacho ni kinyume na aliowaita "makanjanja" wa hapa nyumbani ?!!![emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…