Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Nimekusoma kwa makini na heshima kubwa.
Ngoja niishie hapo kwa sasa.
Niseme tu kwamba hizo sifa ulizoweka hapo zinajadilika, na siyo kigezo tosha cha kuwa hapo alipo sasa.
 
Siyo mimi, nilijazia tu kinachowezekana kufanywa kwa uelewa nilionao juu ya hayo mliyojibishana wenyewe.
Hakuna mtu anayeweza kwenda kuchimbua hilo kaburi kwa sababu hiyo, labda tuongee kwa kufurahisha baraza kidhahania tu hapa.
 
Hakuna mtu anayeweza kwenda kuchimbua hilo kaburi kwa sababu hiyo, labda tuongee kwa kufurahisha baraza kidhahania tu hapa.
Binafsi hayo siyajui mkuu 'Kiranga', mchango wangu uliishia kwenye hiyo DNA kama wenyewe wakitaka kufanya hivyo.
 
BBC ndiyo watupe uasili wa Rais wetu wa Tanzania aibu hizi.
 
Nimekusoma kwa makini na heshima kubwa.
Ngoja niishie hapo kwa sasa.
Niseme tu kwamba hizo sifa ulizoweka hapo zinajadilika, na siyo kigezo tosha cha kuwa hapo alipo sasa.
Niko bize na matayarisho ya fainali ili kuhakikisha kuwa Tanzania siyo "kichwa cha mwendawazimu tena", nitarudi baada ya fainali.
 
Niko bize na matayarisho ya fainali ili kuhakikisha kuwa Tanzania siyo "kichwa cha mwendawazimu tena", nitarudi baada ya fainali.
Mbona utakuwa umechelewa mkuu! AU nimesoma visivyo? Mtayarishaji ni lazima uwepo wakati wa "fainali" kuhakikisha kila kilichotayarishwa kinakwenda kama kilivyokusudiwa.

Nchi hii tumewahi kuwa na mipango mizuri sana, lakini tumekuwa mafundi wa kupindisha, ndiyo maana tunakwenda zigzag namna hii kwa sasa.
 
.......unataka tukawafukue makaburini muwahoji?!!!
hatuwezi kufukua makaburi, yeye mwenyewe asimame ahesabiwe, unless ukweli hata yeye haujui

niliomba kuhuisha passport mwaka juzi, nikatoa kadi ya NIDA ikawa haitoshi, nikaingizwa kwenye chumba cha maofisa wa uhamiaji ofisi ya Wilaya, nikahojiwa chimbuko langu, kabila, ubini, mila na desturi, nikaitiwa jamaa anaelijua kabila langu na vijiji vyetu kunihakiki, akaridhika

mimi ni raia namba milioni 58 nukta 7822, chimbuko langu na uraia wangu umehojiwa mbele ya vyombo vya umma. Kwa nini raia namba moja chimbuko lake na uraia uwe kitendawili mbele za umma?
 
Problem ya Tanzania iko kwenye katiba hasa huko CCM kuhusu utaratibu wa kumpata mgombea mwenza ambaye hupangwa na kamati ya CCM baada mgombe a kufuzu. Mgombea Mweza hupat free ride bila kuchujwa na wananchi. Kwa mfano ukiwa na Mgombea ambey ni 80% halafu akapatikana mgombea mwenza ambaye ni 15% basi tiketi hiyo itapita, sasa tatizo ni pale yule 80% mgombea akifariki basi huyu 15% ndiye anshika madarak. Very tricky!

Nitajibu kwa makini baada ya fainali; niko bize na fainali za CAF.
 
Siri gani na wazee wako makaburini?!!! Wakafukuliwe wahojiwe?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Kwani wapi uliona siri ya serikali ikahojiwa kwa nini imekuwa siri na ndo waliomficha babu yetu mzazi wa namba moja wetu nao hawataki tuwahoji ...,..mpaka Leo hii hakuna sehemu wameandikwa wala kuonyeshwa Baba wala Baba wadogo wala akina Baba wakubwa wa namba moja wetu,yaani ni km vile kizazi choote cha babu yetu kilikumbwa na gharika au kuzama majini na kufutika choote
 
Naona mods wameamua kuunganisha Uzi na mwingine ilhali haifanani hata maudhui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…