Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Wasifu wa Rais Samia Suluhu Hassan

Kipindi hicho elimu ilikuwa haitiliwi mkazo sana hasa kwa watoto wa kike, kwa hiyo akishakuwa mwali tu mabaharia wanajibebea.......kwa hiyo kuna uwezekano aliendelea kusoma akiwa ameolewa.
 
🤣🤣🤣🤣Kwa situation hyo tunakubali Sasa he hapo yesu ni mwana wa mungu au mungu
Hata yeye alitamka ni mwana wa mamlaka yote alipewa. Ko ameketi na baba yake sa hivi kukujadili
 
Huyu inaonekana hata secondly hajasoma,sisi tuliosoma zamani kidogo kuanzia miaka ya 90 kushuka chini Mtu ulikuwa unamaliza shule na miaka 18-19,Sasa Samia kaolewa akiwa na miaka 19,hiyo secondly kasoma lini? kumbe ndio maana anatetea vyeti feki nae ana feki ndio maana mweupe kichwani.
Hiyo ni kwa Tanganyika, Zanzibar hali imekuwa tofauti tangu siku nyingi sana. Kumbuka wakoloni wakija Dark continent, kwa upande wa east africa entry point yao ni Zanzibar. Ilikuwa wanaenda ubalozi wa uingereza kupewa michongo ya ku-explore Tanganyika. Infact, kwa muda mrefu kulikuwa na usafiri wa meli ya moja kwa moja kutoka Zanzibar hadi US ambapo meli hii ilisitisha safari zake katika robo ya kwanza ya karne ya 19 (1820s). So Zanzibar iliamka siku nyingi sana kiasi hakukuwa na shida ya kuanza shule kwa kuchelewa.
 
Huyu inaonekana hata secondly hajasoma,sisi tuliosoma zamani kidogo kuanzia miaka ya 90 kushuka chini Mtu ulikuwa unamaliza shule na miaka 18-19,Sasa Samia kaolewa akiwa na miaka 19,hiyo secondly kasoma lini? kumbe ndio maana anatetea vyeti feki nae ana feki ndio maana mweupe kichwani.
Dadeki 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom