Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

Tundu alikufanyia kitu gani ....akili ndogo sana hii
 
Kwahiyo papa alivyotoa maelekezo ya kubariki ndoa za mashoga yuko sawa au hayuko sawa?
 
Afrika ni utamaduni wetu kukataa kwa mara ya kwanza vitu tunavyopewa na wazungu. Saivi hapa watu wanauongelea mchele kana kwamba ndo msaada pekee tunaoletea na wazungu, mbona hawajaji vingine kama madawa na chanjo za watoto clinic
 

Tanzania tulilishwa na marekani wakati wa njaa ya siasa za ujamaa, kabla ya hapo shule zote zilipewa maziwa ya unga, mafuta ya kula na burga toka marekani na hatukuwahi kuwa mashoga.
Waarabu wanatuletea msaada wa tende! Xikifika tunarushana kwa uroho na uchoyo.
 
Wafanyabiashara wetu hawa aminiki kabisa unaweza kuta huo mchele tumesha kula. Hii ni hatari kubwa sana. Tujifunze kuwa na ukomo wa kupokea hivi vizawadi.
 
Mi wanigawie huo mchele nije niwapikie nguruwe wangu na mabata bila kusahau makuku yangu bandani
 
Ata Sasa hivi mbona Kuna tatizo la umeme? We acha kumshabikia yule shetwain. Hana maana yoyote yule. Kalazimisha mitambo iendelee mpaka imechoka, angekuwepo nchi ingekuwa gizani, na ukiongea unatekwa. Afie zake huko.
Unaongea mihemko.
Tatizo la kuwa gizani sasa hivi ni uzembe wa serikali ya sasa.
Walianza na sababu ya shughuli za kibinadamu,wakaja sababu za ukame,wakaja sababu za kubadili nguzo,wakaja sababu za mitambo kuchakaa haisha isha wakaja na sababu za NGUZO ZA UMEME KUIBIWA.
Hivi kwa akili timamu hizi ni sababu za kujitosheleza!?
 
Huo mchele na maharage upo wapi mbona watoto wanakufa kwa utapiamlo kila kukicha? Acha kurahisisha mambo na kubonga kimipasho bila kutumia chembe ya akili.
Mi wanigawie huo mchele nije niwapikie nguruwe wangu na mabata bila kusahau makuku yangu bandani
Acha dharau mkuu. Chakula chenye virutubishi ulishie wanyama?
 
Upande wa pili wanalizungumziaje suala la msaada wa mchele! Si ndio wengi wao wanawakumbatia wamagharibi pamoja na taifa teule!
 
Ngano inayolimwa Ukraine haiwezi kuuzwa europe kwa tatizo hilo hilo na ndo imejaa Africa. Nyie tulieni tu maana hamtaki kulima .
 
Watoto wanakufa huko Gaza,wamekataa kusitisha mapigono Ili kuwanusuru watoto wadogo wanao kufa ,eti Leo wanatuonea huruma sisi ngozi nyeusi, Kwa lipi
 
Watoto wanakufa huko Gaza,wamekataa kusitisha mapigono Ili kuwanusuru watoto wadogo wanao kufa ,eti Leo wanatuonea huruma sisi ngozi nyeusi, Kwa lipi
Kwa hiyo sisi hatuhitaji msaada wowote mkuu? Roho mbaya hiyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…