Ni taharuki tu haiwezekani tuna shirika la viwango alafu mchele upenye mpaka ufike kwa wagogo huko ndo waje wasema hauwataki..Swali langu lilikuwa kama kiwakilishi kwa waziri kuwa je na tende wanazotupa zimepimwa!?
Au ndo wanaamua kutilisha matango pori tu kisa vita ya kibiashara ya wauzaji wa mchele kutupa taharuki kiasi hicho.
Tumeamua kuuza nje...hzo ndo sera za inji yakoChakula hicho tulicho nacho mbona hatuwapi wanafunzi wanakufaa njaa na kuathiriwa na utapiamlo
Hapo kuna hoja. Hoja iko hivi: 1. Kama Taratibu za kutoa Tenda hazikuzingatiwa basi utoaji wa bandari kwa mwekezaji mmoja zilikuwa biased.HIvi kwenye yale mambo ya bandari kuna maswali ya wananchi yalijibiwa badala ya kukamata na kuweka ndani? Wakili Mwabukusi na Dr Slaa ni wahanga! Bado unaona ni vyema bandari zote apewe mwekezaji mmoja! Umeuona ule mkataba!?? IGA etc. Kuna mambo yanaendelea hapa nchini! Kila wakati Wananchi wakiamua kupigia kelele kuhofia raslimali au maslahi yao utaona lihoja likija hasa UDINI!
Hebu ona sakata la bandari lilivyotaka kuuliwa kwa UDINI. Tuwape waarabu kwa vile ni waislamu wenzetu/Tusiwape waarabu kwa sababu ni waislamu.
Sualo la Mchele kutoka marekani! HIvyo hivyo
Narudia ni lazima kuna mbwa wa TISS wanaovuruga mijadala ya kijamii hapa!!
Labda waameamua kupiga kimya.Hizo tende na unga wanazogaiwa nazo zimetangazwa zina virutunisho vimewekwa?
Sio kirutubisho tuu mkuu, bali ni lazima kuwekwe kihifadhio(Preservatives)Hakuna kitu kitapita kiwandani kisiwekwe kirutubisho mkuu..
Mwe,mwe mwee! Kaka, futa kauli yako mkuu - huenda ikakugharimu.Yale Yale Samia anasafirisha wahuni kwenda Dubai Kwa fedha yangu halafu anashindwa fedha za UGALI stupid
kwanni mbona hajatukanaMwe,mwe mwee! Kaka, futa kauli yako mkuu - huenda ikakugharimu.
Labda nimesoma vibaya au ki-inglishi changu nnakijua mwenyewe, ila nimeona hapo kamtaja mama wa inji hii kuhusu vitendo vyake halafu akamalizia na neno stupid.kwanni mbona hajatukana
Haha tupate katiba mpya bhana kiongozi sio mungu ..Labda nimesoma vibaya au ki-inglishi changu nnakijua mwenyewe, ila nimeona hapo kamtaja mama wa inji hii kuhusu vitendo vyake halafu akamalizia na neno stupid.
Ujinga sio tusiLabda nimesoma vibaya au ki-inglishi changu nnakijua mwenyewe, ila nimeona hapo kamtaja mama wa inji hii kuhusu vitendo vyake halafu akamalizia na neno stupid.
Stupid= Pumbavu (hili ni tusi)Ujinga sio tusi
Lakini anayo maamuzi juu ya mustakabali wa maisha yako.Haha tupate katiba mpya bhana kiongozi sio mungu ..
Shindwa..!!! ibilisi mmoja wewe 😂😂Wazee wakobazi wanaongea tu, hawnajipya hapo wakikuta huo mchele umetolewa pilau nyama wata ufinya kama hawana akili nzuri
Ubaguzi uko wapi hapo, kusema hawataki mchele huo ndio wewe unaita ubaguzi?ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa
Yote ya yote adhabu ya kumtukana mtu haizidi kifungo cha miezi sita faini labda laki mbili au tatuStupid= Pumbavu (hili ni tusi)
Foolish=Mjinga (Hili sio tusi).
Haya kazi kwako
Hapana atashtakiwa na atahukumiwa kulingana na sheria ambayo inafanya kazi sawa kwa kila mtanzania bila kuangalia pesa alizonazo au cheo au ukubwaLakini anayo maamuzi juu ya mustakabali wa maisha yako.