Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

Swali langu lilikuwa kama kiwakilishi kwa waziri kuwa je na tende wanazotupa zimepimwa!?
Au ndo wanaamua kutilisha matango pori tu kisa vita ya kibiashara ya wauzaji wa mchele kutupa taharuki kiasi hicho.
Ni taharuki tu haiwezekani tuna shirika la viwango alafu mchele upenye mpaka ufike kwa wagogo huko ndo waje wasema hauwataki..
 
HIvi kwenye yale mambo ya bandari kuna maswali ya wananchi yalijibiwa badala ya kukamata na kuweka ndani? Wakili Mwabukusi na Dr Slaa ni wahanga! Bado unaona ni vyema bandari zote apewe mwekezaji mmoja! Umeuona ule mkataba!?? IGA etc. Kuna mambo yanaendelea hapa nchini! Kila wakati Wananchi wakiamua kupigia kelele kuhofia raslimali au maslahi yao utaona lihoja likija hasa UDINI!
Hebu ona sakata la bandari lilivyotaka kuuliwa kwa UDINI. Tuwape waarabu kwa vile ni waislamu wenzetu/Tusiwape waarabu kwa sababu ni waislamu.

Sualo la Mchele kutoka marekani! HIvyo hivyo
Narudia ni lazima kuna mbwa wa TISS wanaovuruga mijadala ya kijamii hapa!!
Hapo kuna hoja. Hoja iko hivi: 1. Kama Taratibu za kutoa Tenda hazikuzingatiwa basi utoaji wa bandari kwa mwekezaji mmoja zilikuwa biased.
2. Kama kila maamuzi yanayofanywa wapo watu wanatanguliza maslahi ya Udini basi hii nchi haitakaa ikatulia kutokana na baadhi ya watu kuwa na hulka ya kuzusha na kukuza mambo bila kuwa na uhakika na kile wanacholalamikia.
 
kwanni mbona hajatukana
Labda nimesoma vibaya au ki-inglishi changu nnakijua mwenyewe, ila nimeona hapo kamtaja mama wa inji hii kuhusu vitendo vyake halafu akamalizia na neno stupid.
 
Bashe na sakata la sukari, bashe na msaada wa mchele toka marekani, kauli zake zinabeba udiniudini tu ndio maana watu wa dini yake wamerukia mtazamo wake huo hasi. Watu wa dini yake nao ni wapuuzi wasiojua kupembua mambo kwa kina na kuja na majibu sahihi kwa ndugu zao
 
Back
Top Bottom