Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

Wasikilizaji wa Radio Imani: Ole wake atakayewalisha watoto wetu mchele wa msaada wenye virutubisho

Kwani sahvi hamna masboga
Media zenu zenyewe,Imejaa wsng kibao
Mitaani huko sehemu za starehe ndy msiseme...pita sinza huko uone walivyojaa wsng alafu mnajifanya mnapinga ushg

Ova
Mtaani wanaweza kuwepo mashoga wenye majina ya kiislam lakini katika uislam ushoga ni haram na hauruhusiwi yeyote anaefanya ni madhambi na ni kinyume na uislam

Hali ni tofauti na huko upande wa wakristo ushoga siyo kitu cha ajabu hadi Papa karuhusu wapewe baraka ndani ya makanisa, na marekani pia kaanzisha kampeni za kuutetea.

Hapo ndo ilipo tofauti
 
UHAKIKI.

Kufaulu:
Mwandishi anasisitiza umoja, na kupinga ubaguzi na kulitaka taifa lidumu katika umoja, kwa kutumia mifano halisi.

Kutokufaulu:
Mwandishi hajatoa suluhisho kuhusu mchele, je ukataliwe au ukubaliwe au nini kifanyike.


Walimu wa kiswahili mnisamehe kama kuna makosa ni mda mrefu toka nilisoma hayo.
Suluhisho litatolewa na wasomaji mkuu
 
Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.

Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.

MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.

Nawasilisha.
Hoja yako ingekuwa na maana kama ungeondoa udini.
 
Yani Mchele wa marekani ndiyo utugawe kati ya wakristo na waislamu wa Tanzania!!?

Akili za wapi hizi?
Aliyepokea msaada wa mchele badala ya sukari au computer ndiyo anatugawa.
Zawadi zingine ni za kudhalilishana.
Hatuna njaa wala uhaba wa nafaka kwanini wasipeleke Kenya, Sudan, na kwingineko kwenye uhaba wa chakula?
Hawawezi kusema "Asante lakini hapana hatuhitaji mchele"?
 
Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.

Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.

MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.

Nawasilisha.
Hii tabia ya kufuata mikumbo ni mbaya sana.

Hao waliotoa hilo tamko kwani wamelazimishwa kula au kuwapikia watoto wao?

Wakati mwingine wafuasi wa dini zetu wanatutia aibu mbele ya jamii.
 
Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.

Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.

MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.

Nawasilisha.
Shida ni Elimu tu. Unadhani tatizo ni kubwa sana? Ni ukosefu wa Elimu. Kule Gaza wanaopokea msaada wanakubali kutoka nchi hizi za Kikafir na wanakula wanaendelea mbele. Nchi zenye imani moja nasi hazitoi msaada.
 
R.I.P Magufuli

Sasa tunaletewa vitu vya kijinga badala ya kuletewa vitu vya maendeleo kwa nchi yetu.

Ni wamarekani hawahawa kwa kumtumia mamluki Tundu Lisu wanayemsomeshea watoto wake walipinga ujenzi wa bwawa la umeme alafu wanajifanya wanatupenda sana kutuletea mchele!!
Ashakufa tayari
 
Yani Mchele wa marekani ndiyo utugawe kati ya wakristo na waislamu wa Tanzania!!?

Akili za wapi hizi?
Ajabu sana

Ni uhakika Waislam watakuwa wa kwanza kula huo mchele. Hao wanaopiga kelele huko Imaan si wamevimbiwa. Subiri wale wenzao wasio na uhakika wa kula wapate huo mchele uone watakavyo uchangamkia
 
Back
Top Bottom