Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Misaada haijaombwa wanaleta tu bila kuombwa ndo waislamu wakasema basi walete ndege na magari na ambulance bila kuombwa hivyo hivyo.Kama ilivyo aibu kuletewa vyakula, hata hayo magari, ndege iwe aibu kuomba na kupewa kama msaada huku tuna kila rasilimali ya kununua hivyo.
Tende hazijarutubishwa shekheeNa tende
Mtaani wanaweza kuwepo mashoga wenye majina ya kiislam lakini katika uislam ushoga ni haram na hauruhusiwi yeyote anaefanya ni madhambi na ni kinyume na uislamKwani sahvi hamna masboga
Media zenu zenyewe,Imejaa wsng kibao
Mitaani huko sehemu za starehe ndy msiseme...pita sinza huko uone walivyojaa wsng alafu mnajifanya mnapinga ushg
Ova
Achani wakatae, tena wanakataa kwa hoja. Wakristo kama mliletewa miujiza ya kitapeli na ushoga mnapokea itakuwa mchele?Yani Mchele wa marekani ndiyo utugawe kati ya wakristo na waislamu wa Tanzania!!?
Akili za wapi hizi?
Tende vipi?Waislamu hoyeee. Waletewe msaada wa vitu wasivyokua navyo kama ndege , magari n.k . Hii nimeipenda sanaa.
Suluhisho litatolewa na wasomaji mkuuUHAKIKI.
Kufaulu:
Mwandishi anasisitiza umoja, na kupinga ubaguzi na kulitaka taifa lidumu katika umoja, kwa kutumia mifano halisi.
Kutokufaulu:
Mwandishi hajatoa suluhisho kuhusu mchele, je ukataliwe au ukubaliwe au nini kifanyike.
Walimu wa kiswahili mnisamehe kama kuna makosa ni mda mrefu toka nilisoma hayo.
Hoja yako ingekuwa na maana kama ungeondoa udini.Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.
Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.
MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.
Nawasilisha.
Tende hazijarutubishwa shekhe [emoji1787]Tende vipi?
Alhaj Dr Hussein BasheMbwembwe tu maana waagiza mchele na wao dini moja
Aliyepokea msaada wa mchele badala ya sukari au computer ndiyo anatugawa.Yani Mchele wa marekani ndiyo utugawe kati ya wakristo na waislamu wa Tanzania!!?
Akili za wapi hizi?
Hii tabia ya kufuata mikumbo ni mbaya sana.Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.
Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.
MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.
Nawasilisha.
Hakuna watu wanafiki kama wao haoWazee wa mikwaju,no kona kona[emoji3][emoji3][emoji3]
Shida ni Elimu tu. Unadhani tatizo ni kubwa sana? Ni ukosefu wa Elimu. Kule Gaza wanaopokea msaada wanakubali kutoka nchi hizi za Kikafir na wanakula wanaendelea mbele. Nchi zenye imani moja nasi hazitoi msaada.Sakata la mchele wenye virutubisho kutoka Marekani limeendelea kuchukua sura mpya baada ya waislamu kuukataa bila kumumunya maneno. Wakiongea kupitia redio ya kiislamu ya Imaan FM inayounguruma kutokea mkoa wa Morogoro, wamesema hawautaki mchele huo na wametoa tahadhari kwa mtu yeyote atakayewalisha watoto wao. Wamesema chakula wanacho cha kutosha hapa nchini na kushauri waletewe vitu wasivyokuwa navyo kama vile ndege, magari na ambulance.
Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. Hebu wasikilize wewe mwenyewe kupitia klipu hiyo hapo chini.
MAONI YANGU
Huu mchele sasa naona umeanza kutugawa kiitikadi. Wakristo nao wakitoka hadharani na kuweka msimamo wao, hapatatosha. Ifike mahali ubaguzi wa kijinga kama huu ukemewe kwani unaweza kuligawa taifa na kuhatarisha umoja na mshikamano tulio nao hapa nchini. Tusiruhusu kikundi kidogo cha watu kitugawe kwa sababu yoyote ile.
Nawasilisha.
Ashakufa tayariR.I.P Magufuli
Sasa tunaletewa vitu vya kijinga badala ya kuletewa vitu vya maendeleo kwa nchi yetu.
Ni wamarekani hawahawa kwa kumtumia mamluki Tundu Lisu wanayemsomeshea watoto wake walipinga ujenzi wa bwawa la umeme alafu wanajifanya wanatupenda sana kutuletea mchele!!
Famasihara niniπ€£Ili kuonyesha kuwa hawatanii katika hili, hata watangazaji waliokuwa wakiendesha kipindi walionekana kushabikia kitendo hicho. Mtu yeyote aliyepiga simu kwenye kipindi akionyesha kwenda kinyume na msimamo wao, walimkatia simu mara moja. πππππ
Ajabu sanaYani Mchele wa marekani ndiyo utugawe kati ya wakristo na waislamu wa Tanzania!!?
Akili za wapi hizi?
Hilo ni zaidi ya kopo au zwazwaBila kumtaja Tundu Lissu naona siku nzima unajiharishia.
Unafiki tu ndiyo umewajaaWazee wakobazi wanaongea tu, hawnajipya hapo wakikuta huo mchele umetolewa pilau nyama wata ufinya kama hawana akili nzuri