Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Msimamiz wa mirathi wa kina mengi ni ukoo wa kina mengi. Nimeuliza watoto wa mpakanjia wamezurimiwa na ukoo wa mpakanjia ama wa ukoo wa chifupa ama ukoo wa nani ?
Wamezulumiwa na aliyekuwa rafiki na business partner wa baba yao, ameuza kampuni na kufungua nyingine, yake peke yake
 
Mzee Mengi alikua anampa over 50Million kwa mwezi hata kwa kwenda kukopa bank , ukiacha biashara alizomfungulia na school fees za watoto weka pembeni holiday first class return ticket kokote duniani hayo maisha ya kuchezea hela anatakiwa kukubali hayawezekani tena

Hawawezi kukubali Kukaa na madeni kumfurahisha mchepuko wa baba watafanya vya muhimu meals , accommodation, Education, Holiday Mara mbili kwa mwaka sio zile za kila week alikua anasafiri for shopping
Duh! We utakuwa na phd ya uongo
 
Ndio Ndio sio nyumba tu Bali ni Luxury apartment kamanda yaani hapo Kodi bei ya chini ni laki nane hivi Kwa mwezi mapka million Moja na kuendelea
Angewekeza angekua analialia?
😁😁😁
okay, kwa hiyo hela ya kujenga apartment building alikuwa nayo, halafu hakujenga, akaifanyia nini ???
 
Akawa anakulia Bata Zenj na Dubei!
😁😁😁
hivi Zanzibar kuna bata gani wa kutumbua, urojo wa viazi ? sijui kwa nini Watanganyika wanakipaisha sana kisiwa ambacho hata umeme wake hakina

anyhow, angejenga apartment akaweka jina lake wakati Mengi yupo bado tungesema anamwibia Mzee....
 
hivi Zanzibar kuna bata gani wa kutumbulia hela ya kujenga apartment, urojo wa viazi ? sijui kwa nini Watanganyika wanakipaisha sana kisiwa ambacho hata umeme wake hakina

anyhow, angejenga apartment akaweka jina lake wakati Mengi yupo bado tungesema anamwibia Mzee....
Umefika Zanzibar kwenye hotel za kitalii mpaka upachukulie easy?
Kwahiyo kukosekana Kwa umeme Ndio kusiwe na Luxuries Hotels
Namma Gani bwana😁😁😁🔥
 
Utajiri una mambo sana huu usikute ni maagano kuwa apatecutajiri ila kizazi kisiendelee,motie alikufa akiwa kijana,hawa wengine dah unakufa na mihela hata mjukui huna
Hivi hao wengine hawajaoa na kuolewa?
 
Labda alikuwa anahitaji mapesa mengi wao wanampa kidogo, maana hukumu ya mwisho ilitoka wakaahidi mbele ya mahakama kwamba wataendelea kuwahudumia watoto
 
Mzee Mengi alikua anampa over 50Million kwa mwezi hata kwa kwenda kukopa bank , ukiacha biashara alizomfungulia na school fees za watoto weka pembeni holiday first class return ticket kokote duniani hayo maisha ya kuchezea hela anatakiwa kukubali hayawezekani tena

Hawawezi kukubali Kukaa na madeni kumfurahisha mchepuko wa baba watafanya vya muhimu meals , accommodation, Education, Holiday Mara mbili kwa mwaka sio zile za kila week alikua anasafiri for shopping
Duh
 
Back
Top Bottom