Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Tatizo anataka huduma ya grade gani ndo wanapogombana. AtulieWatoto wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo anataka huduma ya grade gani ndo wanapogombana. AtulieWatoto wake
Wamezulumiwa na aliyekuwa rafiki na business partner wa baba yao, ameuza kampuni na kufungua nyingine, yake peke yakeMsimamiz wa mirathi wa kina mengi ni ukoo wa kina mengi. Nimeuliza watoto wa mpakanjia wamezurimiwa na ukoo wa mpakanjia ama wa ukoo wa chifupa ama ukoo wa nani ?
Nyumba yenye injiniReal Estate ni nini, nyumba ya kupangisha ?
Umerogwa wewe!Umesikia wapi mi nampenda huyo mtu?intake radhiHao watoto ni shahawa za Mengi unayempenda lakini watoto huwapendi
Umerogwa wewe!Umesikia wapi mi nampenda huyo mtu?intake radhi
Haki naamini maneno yako,maana simwelewi anaropokwa tu.Unabishana na Jack mwenyewe mkuu.Kajianzishia uzi na kujitetea mwanzo mwisho
Duh! We utakuwa na phd ya uongoMzee Mengi alikua anampa over 50Million kwa mwezi hata kwa kwenda kukopa bank , ukiacha biashara alizomfungulia na school fees za watoto weka pembeni holiday first class return ticket kokote duniani hayo maisha ya kuchezea hela anatakiwa kukubali hayawezekani tena
Hawawezi kukubali Kukaa na madeni kumfurahisha mchepuko wa baba watafanya vya muhimu meals , accommodation, Education, Holiday Mara mbili kwa mwaka sio zile za kila week alikua anasafiri for shopping
Jack hebu jitulize.. si tunasikia una bonge la danga la kizungu?vipi mbona unapaparika tena?Mbona hawapewei hela ya matunzo sasa?
okay, kwa hiyo hela ya kujenga apartment building alikuwa nayo, halafu hakujenga, akaifanyia nini ???Ndio Ndio sio nyumba tu Bali ni Luxury apartment kamanda yaani hapo Kodi bei ya chini ni laki nane hivi Kwa mwezi mapka million Moja na kuendelea
Angewekeza angekua analialia?
😁😁😁
Na alisema watoto wa kubwa wapewe bukuubaya ailuanza mama wa hao watoto kutaka kumiliki kila kitu
Akawa anakulia Bata Zenj na Dubei!okay, kwa hiyo hela ya kujenga apartment building alikuwa nayo, halafu hakujenga, akaifanyia nini ???
hivi Zanzibar kuna bata gani wa kutumbua, urojo wa viazi ? sijui kwa nini Watanganyika wanakipaisha sana kisiwa ambacho hata umeme wake hakinaAkawa anakulia Bata Zenj na Dubei!
😁😁😁
Umefika Zanzibar kwenye hotel za kitalii mpaka upachukulie easy?hivi Zanzibar kuna bata gani wa kutumbulia hela ya kujenga apartment, urojo wa viazi ? sijui kwa nini Watanganyika wanakipaisha sana kisiwa ambacho hata umeme wake hakina
anyhow, angejenga apartment akaweka jina lake wakati Mengi yupo bado tungesema anamwibia Mzee....
hizo hoteli bongo hazipo?Umefika Zanzibar kwenye hotel za kitalii mpaka upachukulie easy?
Kwahiyo kukosekana Kwa umeme Ndio kusiwe na Luxuries Hotels
Namma Gani bwana😁😁😁🔥
so kama bongo zipo Ndio itazuia Nini watu kwenda Zanzibar mbona swali lako la ajabu arifu!hizo hoteli bongo hazipo?
Very trueMtoto wa mpakanjia na Amina chifupa(muislamu)analilia mali za urithi wa baba yake. Msimamizi ni muislamu pia rafiki wa baba yake.
Kuleta udini kwenye kila mada ni upuuzi
Kivipi?Kweli kabisa
Hivi hao wengine hawajaoa na kuolewa?Utajiri una mambo sana huu usikute ni maagano kuwa apatecutajiri ila kizazi kisiendelee,motie alikufa akiwa kijana,hawa wengine dah unakufa na mihela hata mjukui huna
DuhMzee Mengi alikua anampa over 50Million kwa mwezi hata kwa kwenda kukopa bank , ukiacha biashara alizomfungulia na school fees za watoto weka pembeni holiday first class return ticket kokote duniani hayo maisha ya kuchezea hela anatakiwa kukubali hayawezekani tena
Hawawezi kukubali Kukaa na madeni kumfurahisha mchepuko wa baba watafanya vya muhimu meals , accommodation, Education, Holiday Mara mbili kwa mwaka sio zile za kila week alikua anasafiri for shopping