Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
[emoji23][emoji23]Mwenyewe akaishia kumfungua duka la furniture ofisi chair moja inauzwa 1.2…..Sijiu hata alikuwa anawa nini huyu dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Mwenyewe akaishia kumfungua duka la furniture ofisi chair moja inauzwa 1.2…..Sijiu hata alikuwa anawa nini huyu dada
Watu wanachanganya imani zao, sheria za ndoa zinavyosema, na pia wanachanganya na wivu binafsi kwa wanufaika wa hizo mali za marehemu.
Ukiwauliza Sheria gani ya ndoa inamkataa k lyn kama sio mke halali wa mengi? Wanakuwa wakali bila majibu
Kumbe kahama?[emoji848]Anawasumbua tu anaona raha kuwapa kero , kama mwanamke kweli angebaki Tanzania hasingekimbilia Dubai
Khaaa kweli hana akili!Nimekujibu mkuu, huyo dem fala kweli kawatoa watoto Internationsl School Of Tanganyika kawapeleka Dubai kwa Mwanaume wake Mpya na hile familia bado inalipa schoolfees huko dubai anataka audumiwe yeye na mzungu wake , umeona wapi [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hakuna lolote,hasa wivu wa nn Kwa jaq?Wanawake hawapendani wanaoneana wivu. Ukisoma comment za kumtetea jack ni wanaume ndio wanaomtetea.
Na ukisoma comment za kumponda jack ni wanawake ndio wanamponda na kutaka asipewe mali za mumewe.
Wanawake wanamuita jacky ni mchepuko wa mengi wakati jack alifunga ndoa na marehemu na picha tumeziona za harusi humu
Halafu mtu anakuja Hapa kusema tunamuonea wivu jaq?? Like serious!Sijabahatika kuona mahali mengi aliwapa watoto wakubwa mirathi unayosema hapa.
Mengi aligawana Na mke wa kwanza wakati hawako pamoja na Mke wa mengi hakuwa na chaguo katika kutoa mirathi yake zaidi kuwapatia wanawe.
Sasa hapo ndo watu huchanganga kuwa mbona walishapewa wakati ni watoto washapewa haki yao kutoka kwa mama .
Bado mirathi ya baba ndo hapo pakaja swali inakuwaje watoto ambao pia alikuwa amewapa hadi usimamizi kwenye baadhi ha kazi zake wasiweko kwenye Mirathi kabisa , aje apewa mtu hajafikisha hata miaka kumi na Mengi apewe vyote?
Alafu tena yeye anae takiwa pewa mirathi ndo awe na hilo hati ya ugawanyi mirathi , wakati haipaswi kukaa na yoyote mwenye kunufaika na mirathi yenyewe.
Pia Huyo dada mbona kuna vyanzo alivyopewa vya kumuendeshea Maisha vya kwakwe peke yake . Ana apertemnt Makongo juu kaachiwa kubwa tuu.
Tatizo matumizi ya mtu asie jua ugumu wa kuipata hela ni tofauti na mtafutaji mwenyewe.
Khaaa kweli hana akili!
Hasa huyo mwanaume mpya km kweli mwanaume si ampe maisha aliyokua alipewa na Mengi?anahangaika nn?
Hizo hela anazochezea Dubai atazikumbuka ni suala la muda tu
Aiseee hata Mimi nilishangaa kama wewe AiseeeMwenyewe akaishia kumfungua duka la furniture ofisi chair moja inauzwa 1.2…..Sijiu hata alikuwa anawa nini huyu dada
Aiseee hata Mimi nilishangaa kama wewe AiseeeMwenyewe akaishia kumfungua duka la furniture ofisi chair moja inauzwa 1.2…..Sijiu hata alikuwa anawa nini huyu dada
Mental capacity ya Marehemu mbona huiongelei, maana Marehemu aliweka mpaka Mali ambazo sio zake ktk huo wosia, huoni hapo Marehemu "alikuwa" anamchezesha sherani sahihi wosia unaweza kweli kupigwa kama kuna hoja za msingi na zenye ushahidi thabiti....hapo wosia unaweza batilishwa lkn ktk mazingira ya Mirthi ya marehemu Mengi wosi wake ulibatilishwa kwa sababu zisizo na mashiko......ulibatilishwa kwa hoja za kudhania na kufikirika!!.....lkn pia kwa msukumo na ushawishi wa ndugu za marehemu....
kama kuna suala la kufoji...lipelekwe kwa wataalamu wabaini kama kweli saini ya marehemu ili fojiwa sio kudhania tu!!!
suala la kuenguliwa watoto wengine ktk wosia huo lipo wazi kabisa, ni kwa sababu tayari Marehemu alisha wapa sehemu yao na kilicho baki sasa walipewa hao watoto wadogo wa mjane.
sasa kilichopo hapo ni tamaaa ya upande mwengine, Wosi hauna matatizo hata kidogo.
Ohoooo hapa pagumu.Case ipo wazi hela ya nini watoe? Mbona yeye kyln katoa sana rushwa ya papuchi kwa baadhi ya viongozi including Makonda wamsaidie kushinda na Mbona hawakuweza kupindua meza ?vitu viko wazi na Ndoa yake na Mengi ni Batili alifunga mke mkubwa akiwa hajapewa talaka na ndio maana hawakufunga ndoa Tanzania
50 mMzee Mengi alikua anampa over 50Million kwa mwezi , ukiacha biashara alizomfungulia na school fees za watoto weka pembeni holiday first class return ticket kokote duniani hayo maisha ya kuchezea hela anatakiwa kukubali hayawezekani tena
Hawawezi kukubali Kukaa na madeni kumfurahisha mchepuko wa baba watafanya vya muhimu meals , accommodation, Education, Holiday Mara mbili kwa mwaka sio zile za kila week alikua anasafiri for shopping
50 m
Akaishia kununua gucci versace na trip za paris
Dadeki
Kwenye miti zero wajenzi
Yakumfuata mama akienda kudangaWatoto wana haki yao
Alijua kuonga pia wadada wa mjini
Kylin ni bisexual anapenda kusagana , mademu zake ni Hellen Kiwia na Nancy Sumari kwa hiyo hela zake hao ndio wamekula
Mbona hawapewei hela ya matunzo sasa?
Huyu huyu Shilole alikuwa akicheza utupu ubelgiji na kagame?Bongo movie mwenye akili ni shilole pekee wengine akili ufanana.
Kuna mmoja aliwadharau wasio na gari akishangaa unapandaje daladala enzi zile analipa
HahahaHuyu huyu Shilole alikuwa akicheza utupu ubelgiji na kagame?View attachment 2110664
Proved mrangi Victoire Sky Eclat Jestkilla zitto junior King Kong III
Mkaldayo banaNi watoto na wamekuwa kwenye sehemu ya umiliki kwa miaka mingi! Iweje leo uwanyang’anye kizembe yani? K lynn kakosa adabu wacha nao wamkosee adabu tu.
Mama wa kambo tena yanki kutaka kuwapanda kichwani watoto ambao ni age mates wako ni ukichaa kuliko tafsiri yenyewe. Wangemaliza msiba vyema na kuzungumza kwa busara tu kuwa tunafanyaje jamani. Ya Mungu yametimia wadogo zenu ndio hawa hapa.
Hamna mtu ambaye hana uelewa ukimu approach kwa busara. Ila ukijifanya much know hata mie nakunyoosha😅