Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Na bado!Huyu mwanamke si alishakata rufaa juu ya usimamizi wa mirathi wa hao uliofanywa na Mahakama Kuu? Rufaa haijasikilizwa tena anapandishia kesi nyingine? Ameanza kupoteana mapema sana
Hili liwe fundisho kwa wadangaji wote