Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Mali walizalisha wazazi wao. Wakakua wakasoma wakarudi nchini kuziendeleza Imara kabisa. Wana uchungu nazo. Hawa siyo Gold Digger Bali ni Gold Miners. Waheshimiwe na pesa zao. Huyo Jack awe na Adabu.
Gold miners vs Gold digger
Hv hawa wanatofauti eeh maana wote naona kama wachimba dhahabu 😃😃😃
 
Hapana hao wasimamizi wanapaswa watenguliwe usimamizi mara moja.
aliye stahili kuwa msimamizi ni mjane wa marehemu akisaidiwa na ndugu mwengine.


Lengo la hao wasimamizi naa ndugu ni kumdhulumu mjane na watoto wake.

wanawake mko wapi? mjane huyu Jaquline ananyanyaswa kiasi hiki wakati ana haki!!

Vyama vya kutetea Haki za wanawake mko wapi? taasisi na NGO mbalimbali mko wapi kinacho fanyika ktk sakata hili ni unyanyasaji wa kijinsia.
mfumo dume unakandamiza haki za mjane.
Peleka ujinga kule

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Duh kazi kweli waende Kayumba, nadhani huenda Jack anataka watoto walipiwe ada ya IST ambayo no tshs 45m per year mwanafunzi
 
Kwani huyo kyasaka - Jackline - mali alizoachiwa personal zimeshaliwa na wajanja wa mujini?
Kama zimeliwa, hata akipewa hazina ya nchi italiwa tu.
Upumbavu ni mzigo.
 
Doooh! Mwanamke mwenzio unamkandamiza hivyo?

Wanawake hawapendani wanaoneana wivu. Ukisoma comment za kumtetea jack ni wanaume ndio wanaomtetea.

Na ukisoma comment za kumponda jack ni wanawake ndio wanamponda na kutaka asipewe mali za mumewe.

Wanawake wanamuita jacky ni mchepuko wa mengi wakati jack alifunga ndoa na marehemu na picha tumeziona za harusi humu
 
Hizo mali ni za watoto hao mapacha wa marehemu.
Mashemeji na wapambe acheni kudhulumu haki za hao watoto wadogo....mtakuja kujutia mbele ya safari kwa kuuchezea na kuukejeli Wosia wa Marehemu Mzee Mengi.
R.I.P
Wewe ndio mahakama, mbona hawazipati basi kama zao. Kuna taratibu na busara ambayo mama yao hana na wasimamizi ndio wanazitumia
 
Wanawake hawapendani wanaoneana wivu. Ukisoma comment za kumtetea jack ni wanaume ndio wanaomtetea.

Na ukisoma comment za kumponda jack ni wanawake ndio wanamponda na kutaka asipewe mali za mumewe.

Wanawake wanamuita jacky ni mchepuko wa mengi wakati jack alifunga ndoa na marehemu na picha tumeziona za harusi humu
Aisee nimeamini
 
wacha kumtusi Mrehmu Mzee wetu Mengi (r.i.p), marehemu alikuwa ni mtu makini kuliko wewe na hata ndugu zake wengine, ndio maana aliweza kuuendeleza utajiri wake hadi mwisho wa uhai wake hajawahi kuyumba.
aliishi kwa furaha na amani na huyo mjane, sasa ukidai leo eti ni mdangaji ni sawa na kumtusi na kumdhalalisha marehemu jambo ambalo sio sahihi kabisa.
kinacho takiwa hapa ni Haki ya mjane kwa niaba ya watoto wake ipatikane haraka bila kucheleweshwa na wajanja.
Wosia wa Marehemu lazima uheshimiwe, kamwe usipuuzwe kwa hoja za wenye nia ya kuwadhulumu hao watoto wadogo.
Una hakika gani kama wosia ulikuwa halisia
 
Una hakika gani kama wosia ulikuwa halisia
kwa sababu hakuna ushahidi ulio thibitisha kuwa hiyo saini inayo daiwa ilifojiwa.....zaidi ya maneno ya kijiweni.
Hakuna wataalamu wa mwandiko aliye thibitisha kuwa huo mwandiko wa saini uliopo kwenye wosia sio wa Mengi.....zaidi ya uzushi wa mashemeji.
nitasimama na Mjane hadi dak ya mwisho.
 
Kwani show room yake haiingizi pesa tena au mbao za kutengenezea samani hazipatikani? Kama imekufa basi biashara nyingi za wanawake ni za mchongo
Mara nyingi sana biashara ya mwanamke utegemea Sana sponsor, mume akishaachwa na hao watu wawili biashara uangukia pua, hata mkeo mpe mtaji kama siyo hulka yake ya biashara na akili ataanguka tu.
 
Huyo dada anashindwaje yeye kuwalea watoto wake...Yeye si amebaki na mikono, miguu, macho na ule uzuri wake aendelee tu kulea watoto vizuri kama alivyokuwepo baba yao, Huo ndio utakuwa upendo otherwise hata kwa baba yao alifuata mali tu..
We nae unaandika km vile umekatwa kichwa .....nawashangaa hta hai waliokupa like watakuwa na matatizo ya akili km wewe
 
Back
Top Bottom