lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,479
Mahakaka gani inagawa Mali kwa taratibu za msahafuni na sio The law of marriage ActHao ndugu wa Mengi wanazingua. Watoto wa jacky na Mengi ni ndugu zao pia.
Why utata uwe mkubwa hivi.
Hapo ndipo napoipendea dini ya kiislam. Mahakama isingepata shida kugawa mali ingesoma taratibu za kwenye msaafu tu.