Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Huyu Gold Digger naona anapambana kila upande ili apate pesa. Afahamu tu kuwa kifo cha Mzee Mengi ni utata na familia imeamua kukaa kimya Ila moyoni Wana maumivu. Pili mchagga ukishamburuza Mahakamani kukaa tena mezani pamoja ni ngumu mno. Alianza kuwafungulia kesi kwa wosia wa kugushi ni ngumu Sana aaminike na kukubalika kwenye hiyo familia. Pole Sana Gold-digger na hii utaangukia tena pua.

Pia sidhani kama akina Abdiel na Regina hawezi kukataa kuwatunza wadogo zao Ila inaelekea mwanamke huyo gold digger ni too demanding. Awaache familia wasomeshe wenyewe na watasoma shule nzuri Tu za Kishua. Anataka hemea Child Support ya kukomoana. Pole zake

Alikula vya hali ya juu akijipanga kufilisi Mali zilizochumwa decades ago akifikiri atawaweza. Hana akili maana angekuwa nazo angejifungulia biashara zake mwenyewe na asingekuwa sasa anafungua kesi za Ulaji. Shane on you Killer.
 
Haki inaanzia hapo. Yani mama na baba yangu wachume mali halafu from no where mchepuko uzae na baba (na ile ndoa yao fake) halafu watoto wa mchepuko wafaidi kama sisi?? Hapo hata kuloga watalogana. Arudishe watoto Tanzania angalau afikiriwe. Huko dubai asomeshe mwenyewe

Yani kama ni mke wa ndoa atapewa na anayo haki ya kupata mgao...sio mpaka aende kutengeneza soda kokakola ndio awe amechangia kuchuma mali bali hata kumpikia na kumfulia Mengi basi alichangia kwenye kuchuma mali na anayo haki ya kupata mgao!
Tafsiri ya kisheria kwenye kuchuma mali ni tofauti kabisa na hii ya mtaani
 
huyo dada anashindwaje yeye kuwalea watoto wake...Yeye si amebaki na mikono, miguu, macho na ule uzuri wake aendelee tu kulea watoto vizuri kama alivyokuwepo baba yao, Huo ndio utakuwa upendo otherwise hata kwa baba yao alifuata mali tu..
Hata kama alifuata mali , maadamu walifunga ndoa huyo ni mke halali wale watoto nao wana haki na hiyo mali,,
Conclusion yangu watoto wakubwa wa mengi watakua wanatandaza milungula kama hawana akili nzuri,,,
Hii ni open and shut case,,,
Mpaka watu waanze kupelekeana mbinguni kwa ajili ya uroho wa mali ndipo watu wazinduke,
Huyo jack apewe haki yake
 
huyo dada anashindwaje yeye kuwalea watoto wake...Yeye si amebaki na mikono, miguu, macho na ule uzuri wake aendelee tu kulea watoto vizuri kama alivyokuwepo baba yao, Huo ndio utakuwa upendo otherwise hata kwa baba yao alifuata mali tu..
Yule alikua gold digger....kwa pesa za mengi angeweza funguliwa bonge la biashara ...angeendesha maisha bila stress

Sema akili hamna alichojua yeye ni kuvaa na anasa na rfk zake....

Funzo kwa wadada...nyapu zinalipa sponsa akiwa hai..akifa na we kwisha....
Fanyeni kaziiiiiii
 
Ndio akili za mwanamke mjinga,kipindi kile anaspend kwenye mahotel luxury Dubei pesa angaitumia kuiwekeza kwenye
real Estate Leo asingebaki analialia,

Wanawake wa bongo fleva na bongo movie wanapenda Sana show of wanazidiwa maarifa,ujanja na Shilole std 7 igunga primary school?
Ndo maana wanaaemaga wanawake warembo wengi wao akili hamna
 
She is an idiot!
Utakuta kaandika Ka Mrs Dre matumizi Kwa mwezi milioni10,
Kucha milioni, wigi milioni, Kuku tokea Japan, na nyama from Brazil n.k
Kanyimwa anasema mumewe alikuwa anampa!

Wachagga wanampeleka vile atakavyo, asubirie maamuzi ya mahakama!
Kaweka pingamizi shauri halijaisha, kafungua kesi. Kwakawaida hakuna kitakachofanyika mpaka nashauri yaliyo mahakamani yapewe uamuzi!
 
Back
Top Bottom