Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Mirathi ya marehemu Dkt Mengi imezua balaa baada wasimamizi wake kuburuzwa mahakamani kwa tuhuma za kukataa kuwahudumia watoto wa Mengi aliozaa na Jacqueline Ntuyabaliwe.

Kesi hii imefunguliwa ikiwa mke huyo mdogo wa Mengi akiwa amezuiwa kukanyaga Kilimanjaro hata kwenda kusafisha kaburi la marehemu mme wake.

Kuna kila dalili hao watoto mapacha wa billionea Mengi wakaishi maisha ya dhiki na umasikini uliotopea ili hali baba yao amewaachia mali nyingi sana ikiwemo kampuni ya IPP Media, yote hayo yatasababishwa na tamaa za mali za ndugu na watoto wa mke mkubwa wa Dkt Mengi.

Source. Gazeti la mwananchi.

=====

Wasiamamizi wa mirathi ya aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini Reginald Mengi wameburuzwa mahakamani wakidaiwa kukataa kuwahudumia watoto wa mfanyabiashara huyo aliowazaa na mkewe Jacqueline Ntuyabaliwe
Kesi hiyo imefunguliwa na Jacqueline katika Mahakama ya Watoto iliyoko katika eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam

Wasimamizi wa mirathi hiyo wanaokabiliwa na kesi ni mtoto wa marehemu, Benjamini Mengi.

Habari zambazo Mwananchilimezipata ni na kuthibitishwa na wakili wa mjane huyo, Audax Kahendaguza, kwa ridhaa ya mteja wake, katika shauri hilo la madai namba 50 la mwaka 202, Jacqueline anadai matunzo ya watoto hao ikiwamo ada ya shule.

Anadai kuwa watoto hao walikuwa wakigharamiwa ada na baba yao pamoja na huduma nyingine zote walizostahili kutokana na kipato alichokuwa anakipata kwenye shughuli zake za kibiashara, ambazo kwa sasa zipo chini ya wasimamizi hao wa mirathi.

Anadai kuwa hata baada ya kifo cha baba yao, awali wasimamizi hao walikuwa wakwalipia ada na huduma nyingine japo mara mojamoja; kwamba sasa wameacha kabisa kuwalipia ada ya shule pamoja na huduma nyingine licha ya kuwaomba mara kadhaa.

Mawakili wa wadaiwa walieleza kuwa hawajaandaa majibu ya madai hayo kwa kuwa wateja wao wako mikoani huku mahakama ikiwataka kuwasilisha majibu yao Februari 17, mwaka huu siku ambayo pia kesi hiyo itatajwa tena.

Kesi hii iekuja wakati bado kuna mgogoro wa mirathi ya marehemu Mengi kati ya pande hizo mbili, kwani bado kuna shauri la mirathi linasubiri uamuzi.

Chanzo: Mwananchi

View attachment 2108732View attachment 2108733
Wanakosoma watoto ni makubaliano na sponsor au uamuzi wa Mama yao
 
Mali na pesa ni shida sana sana duniani. Labda wanaume tuwekeze kwenye elimu za watoto sana. Yawezekana kweli hawahudumiwi. Ila huyu dada alitumia hela vibaya sana kabla mume hajafa. Angewekeza asingekimbilia mahakamani kihivi. Fundisho kwa kina dada.
Ila watoto hawana hatia. Wapewe stahiki zao.
Kuna maswali mengi ya kujiuliza. Je biz za Mengi ziko vizuri kama alipokuwepo hai?
Hii kesi trust us itakwisha watoto hao wakiwa wazee!
 
Huyu Gold Digger naona anapambana kila upande ili apate pesa. Afahamu tu kuwa kifo cha Mzee Mengi ni utata na familia imeamua kukaa kimya Ila moyoni Wana maumivu. Pili mchagga ukishamburuza Mahakamani kukaa tena mezani pamoja ni ngumu mno. Alianza kuwafungulia kesi kwa wosia wa kugushi ni ngumu Sana aaminike na kukubalika kwenye hiyo familia. Pole Sana Gold-digger na hii utaangukia tena pua.
Pia sidhani kama akina Abdiel na Regina hawezi kukataa kuwatunza wadogo zao Ila inaelekea mwanamke huyo gold digger ni too demanding. Awaache familia wasomeshe wenyewe na watasoma shule nzuri Tu za Kishua. Anataka hemea Child Support ya kukomoana. Pole zake

Alikula vya hali ya juu akijipanga kufilisi Mali zilizochumwa decades ago akifikiri atawaweza. Hana akili maana angekuwa nazo angejifungulia biashara zake mwenyewe na asingekuwa sasa anafungua kesi za Ulaji. Shane on you Killer.
Demu ana akili za kijiko kweli😅 yani ni sawa na mtu upewe bahari halafu ufe njaa licha ya samaki na vitoweo vilivyojazana baharini. Ikumbukwe mazingira ya kupata vifaa vya uvuvi alikuwa nayo enzi za mzee.

Ni nani angekataa kukata Bima kwao? Nani angekataa kununua dawa kwenye pharmacy yao kubwa? Nani angekataa kupanga kwenye apartments zao? Nani angekataa kutibiwa kwenye health centre yao? Nani angekataa kusoma kwenye shule yao? Licha ya kifo cha mzee ila hizo investment zingeendelea kuwepo tu ni investment endelevu ile biashara ya fenicha ni sawa na mke wa bhakresa kuomba kufunguliwa kaduka ka Mangi shop.

Utagundua K Lyn ni mwanamke ambaye akili alikuwa hana hata kidogo 😅😅😅
 
Kumbe ishu ni strategy, mama wawili hakuwa na strategy! Mara kumi angefungua kampuni ya bima tu😅 angeendelea kumenya tu now
Wadada wa mjini wanataka kufungua biashara ambayo haitamchafua, atakaa ofisini akiwa smart na lipstick, handbag na kiatu cha mchuchumio.

Wakati hata Jeff Bezos wa Amazon alianza kufunga mabox ya kupeleka kwa wateja.
 
Wadada wa mjini wanataka kufungua biashara ambayo haitamchafua, atakaa ofisini akiwa smart na lipstick, handbag na kiatu cha mchuchumio.

Wakati hata Jeff Bezos wa Amazon alianza kufunga mabox ya kupeleka kwa wateja.
Hahahahahah wanataka biashara za kuuzia sura zile. Aonekane kajipost ofisi kali ila kimsingi income generation hamna.

Biashara ilikuwa hamna mle ila sifa tu😅 na watu walinunua kwa heshima y mzee Mengi tu
 
Yule alikua gold digger....kwa pesa za mengi angeweza funguliwa bonge la biashara ...angeendesha maisha bila stress

Sema akili hamna alichojua yeye ni kuvaa na anasa na rfk zake....

Funzo kwa wadada...nyapu zinalipa sponsa akiwa hai..akifa na we kwisha....
Fanyeni kaziiiiiii
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
 
Yule alikua gold digger....kwa pesa za mengi angeweza funguliwa bonge la biashara ...angeendesha maisha bila stress

Sema akili hamna alichojua yeye ni kuvaa na anasa na rfk zake....

Funzo kwa wadada...nyapu zinalipa sponsa akiwa hai..akifa na we kwisha....
Fanyeni kaziiiiiii
Hela ya sponsa huwa mnaitapanya na mashostito na kuonekana wewe ndio cheerleader ila wanawake hampendani, sidhani kama kwenye misala hii faraja na nancy wanashiriki kumpooza shoga yao!

Ukute wamekaa wanamnanga huko kwenye vilinge na wamemtenga sababu kishaumana😅😅😅
 
Ulishawahi ilw biashara ya furniture zake ikiboom...alifumgua kuzugia tu..mzee kapoteza mtaji bure pqle
Biashara ni mikakati mrembo! Usione biashara za watu zinaenda na kukua mpaka watu wananunua ma VX V8 na kujenga majumba na apartments ukadhani ni rahisi😅

Biashara lazma uipange kiakili na uiwekee mifumo thabiti ili ijiendeshe. Kinachouma kwa Klyn hilo lilikuwa linawezekana in a blink of an eye tu. Sema akili hana. Maskini tunaua biashara sababu ya njaa ni kali unawekeza 2M matatizo yanakuandama mpaka unaanz kudokoa mtaji biashara inasua sua hadi kufa.
 
Demu ana akili za kijiko kweli😅 yani ni sawa na mtu upewe bahari halafu ufe njaa licha ya samaki na vitoweo vilivyojazana baharini. Ikumbukwe mazingira ya kupata vifaa vya uvuvi alikuwa nayo enzi za mzee.

Ni nani angekataa kukata Bima kwao? Nani angekataa kununua dawa kwenye pharmacy yao kubwa? Nani angekataa kupanga kwenye apartments zao? Nani angekataa kutibiwa kwenye health centre yao? Nani angekataa kusoma kwenye shule yao? Licha ya kifo cha mzee ila hizo investment zingeendelea kuwepo tu ni investment endelevu ile biashara ya fenicha ni sawa na mke wa bhakresa kuomba kufunguliwa kaduka ka Mangi shop.

Utagundua K Lyn ni mwanamke ambaye akili alikuwa hana hata kidogo 😅😅😅
Tako pia nasikia Hana! Hasara tupu!
 
Hata hao wanaong'ang'ania mali za Mengi nao ni watoto tu kama hawa watoto wa klyn
Ni watoto na wamekuwa kwenye sehemu ya umiliki kwa miaka mingi! Iweje leo uwanyang’anye kizembe yani? K lynn kakosa adabu wacha nao wamkosee adabu tu.

Mama wa kambo tena yanki kutaka kuwapanda kichwani watoto ambao ni age mates wako ni ukichaa kuliko tafsiri yenyewe. Wangemaliza msiba vyema na kuzungumza kwa busara tu kuwa tunafanyaje jamani. Ya Mungu yametimia wadogo zenu ndio hawa hapa.

Hamna mtu ambaye hana uelewa ukimu approach kwa busara. Ila ukijifanya much know hata mie nakunyoosha😅
 
Back
Top Bottom