Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Wasimamizi wa mirathi ya Mengi wagoma kuhudumia watoto, waburuzwa mahakamani

Mfumo dume au utapeli Jike. Lolote linawezekana. Janja janja hakuna, mahakama itampa haki yake.
Hizo mali ni za watoto hao mapacha wa marehemu.
Mashemeji na wapambe acheni kudhulumu haki za hao watoto wadogo....mtakuja kujutia mbele ya safari kwa kuuchezea na kuukejeli Wosia wa Marehemu Mzee Mengi.
R.I.P
 
Hizo mali ni za watoto hao mapacha wa marehemu.
Mashemeji na wapambe acheni kudhulumu haki za hao watoto wadogo....mtakuja kujutia mbele ya safari kwa kuuchezea na kuukejeli Wosia wa Marehemu Mzee Mengi.
R.I.P
Haki ya mtu haipotei. Mahakama si ipo? Janja janja No.
 
Tatizo mjane alipika wosia aisee na anajulikana ni mdangaji[emoji28] haki haiwezi kuwa sensitive kwa mdangaji kuliko wanafamilia wenyewe.
wacha kumtusi Mrehmu Mzee wetu Mengi (r.i.p), marehemu alikuwa ni mtu makini kuliko wewe na hata ndugu zake wengine, ndio maana aliweza kuuendeleza utajiri wake hadi mwisho wa uhai wake hajawahi kuyumba.
aliishi kwa furaha na amani na huyo mjane, sasa ukidai leo eti ni mdangaji ni sawa na kumtusi na kumdhalalisha marehemu jambo ambalo sio sahihi kabisa.
kinacho takiwa hapa ni Haki ya mjane kwa niaba ya watoto wake ipatikane haraka bila kucheleweshwa na wajanja.
Wosia wa Marehemu lazima uheshimiwe, kamwe usipuuzwe kwa hoja za wenye nia ya kuwadhulumu hao watoto wadogo.
 
Mahakaka gani inagawa Mali kwa taratibu za msahafuni na sio The law of marriage Act
Kwanza kabisa kwa mujibu wa sheria za mirathi..Mahakama haina jukumu wala uwezo wa kugawa mali za marehemu. Mahakama ina uwezo na mamlaka ya kumchagua msimamizi wa mirathi kwa kumpa mamlaka hayo kwa mujibu wa sheria.

Msimamizi wa mirathi ya marehemu ndiye mwenye jukumu la kugawa mali za marehemu kwa warithi, kulipa madeni yoyote ya marehemu, yaani kwa kufupi ndiye anaruhusiwa kufanya chochote halali kwa manufaa ya warithi.

Mali ya marehemu inaweza kugawiwa kwa kufata miongozo mingi kulingana na marehemu alìkuwa mtu wa dini gani?, mtindo wake wa maisha ulikuwaje? Tamaduni za alikoishi zikoje..?

Kama marehemu alikuwa muislamu na aliishi kulingana na dini hiyo basi akifariki mali zake zitagawiwa kwa mujibu wa Quran tukufu. Quran imeweka viwango vya ugawaji wa mirathi ya marehemu...imetaja warithi na viwango wanavyostahili kupata.

Ndiyo maana hata kama muislamu akiandika wosia hauzidi ⅓ ya mali zake, ⅔ itagawiwa kwa mujibu wa Quran tukufu. Hivyo msimamizi wa mirathi ya marehemu aliyekuwa muislamu, lazima agawe mali kwa mujibu wa Quran.

Hivyo kwanza kwa mujibu wa andiko lako, si sheria ya ndoa inayotumika kwenye mambo ya ugawaji wa mirathi. Kuna sheria mahususi za mirathi nchi hii kama, Probate & Administration of Estates Act na kanuni zake, Magistrates Court Act na kanuni zake, Indian Succession Act, Local customary declaration Order, Mohammedan Law, etc. Pili, mahakama haina mamlaka ya kugawa mali za marehemu bali ni msimamizi wa mirathi tu ndiye mwenye hayo mamlaka.
 
wacha kumtusi Mrehmu Mzee wetu Mengi (r.i.p), marehemu alikuwa ni mtu makini kuliko wewe na hata ndugu zake wengine, ndio maana aliweza kuuendeleza utajiri wake hadi mwisho wa uhai wake hajawahi kuyumba.
aliishi kwa furaha na amani na huyo mjane, sasa ukidai leo eti ni mdangaji ni sawa na kumtusi na kumdhalalisha marehemu jambo ambalo sio sahihi kabisa.
kinacho takiwa hapa ni Haki ya mjane kwa niaba ya watoto wake ipatikane haraka bila kucheleweshwa na wajanja.
Wosia wa Marehemu lazima uheshimiwe, kamwe usipuuzwe kwa hoja za wenye nia ya kuwadhulumu hao watoto wadogo.
Sheria za mirathi zinaruhusu kupinga wosia wa marehemu kama kuna sababu za msingi..na unaweza kutenguliwa huo wosia kama itathibitika ulikuwa na dosari za kisheria.

Ni kweli wishes za marehemu ni muhimu kuheshimiwa..lakini hizo wishes lazima ziwe ndani ya taratibu za sheria za nchi. Mfano hauwezi kuwanyima warithi wako mirathi bila sababu ya msingi..au sometimes wosia unaweza kuwa forged...je kwa mazingira hayo tuuheshimu hata kama kuna watu wameghushi na kutaka interest zao zipite?
 
Sheria za mirathi zinaruhusu kupinga wosia wa marehemu kama kuna sababu za msingi..na unaweza kutenguliwa huo wosia kama itathibitika ulikuwa na dosari za kisheria.

Ni kweli wishes za marehemu ni muhimu kuheshimiwa..lakini hizo wishes lazima ziwe ndani ya taratibu za sheria za nchi. Mfano hauwezi kuwanyima warithi wako mirathi bila sababu ya msingi..au sometimes wosia unaweza kuwa forged...je kwa mazingira hayo tuuheshimu hata kama kuna watu wameghushi na kutaka interest zao zipite?
ni sahihi wosia unaweza kweli kupigwa kama kuna hoja za msingi na zenye ushahidi thabiti....hapo wosia unaweza batilishwa lkn ktk mazingira ya Mirthi ya marehemu Mengi wosi wake ulibatilishwa kwa sababu zisizo na mashiko......ulibatilishwa kwa hoja za kudhania na kufikirika!!.....lkn pia kwa msukumo na ushawishi wa ndugu za marehemu....
kama kuna suala la kufoji...lipelekwe kwa wataalamu wabaini kama kweli saini ya marehemu ili fojiwa sio kudhania tu!!!

suala la kuenguliwa watoto wengine ktk wosia huo lipo wazi kabisa, ni kwa sababu tayari Marehemu alisha wapa sehemu yao na kilicho baki sasa walipewa hao watoto wadogo wa mjane.
sasa kilichopo hapo ni tamaaa ya upande mwengine, Wosi hauna matatizo hata kidogo.
 
ni sahihi wosia unaweza kweli kupigwa kama kuna hoja za msingi na zenye ushahidi thabiti....hapo wosia unaweza batilishwa lkn ktk mazingira ya Mirthi ya marehemu Mengi wosi wake ulibatilishwa kwa sababu zisizo na mashiko......ulibatilishwa kwa hoja za kudhania na kufikirika!!.....lkn pia kwa msukumo na ushawishi wa ndugu za marehemu....
kama kuna suala la kufoji...lipelekwe kwa wataalamu wabaini kama kweli saini ya marehemu ili fojiwa sio kudhania tu!!!

suala la kuenguliwa watoto wengine ktk wosia huo lipo wazi kabisa, ni kwa sababu tayari Marehemu alisha wapa sehemu yao na kilicho baki sasa walipewa hao watoto wadogo wa mjane.
sasa kilichopo hapo ni tamaaa ya upande mwengine, Wosi hauna matatizo hata kidogo.

Sijabahatika kuona mahali mengi aliwapa watoto wakubwa mirathi unayosema hapa.
Mengi aligawana Na mke wa kwanza wakati hawako pamoja na Mke wa mengi hakuwa na chaguo katika kutoa mirathi yake zaidi kuwapatia wanawe.

Sasa hapo ndo watu huchanganga kuwa mbona walishapewa wakati ni watoto washapewa haki yao kutoka kwa mama .
Bado mirathi ya baba ndo hapo pakaja swali inakuwaje watoto ambao pia alikuwa amewapa hadi usimamizi kwenye baadhi ha kazi zake wasiweko kwenye Mirathi kabisa , aje apewa mtu hajafikisha hata miaka kumi na Mengi apewe vyote?

Alafu tena yeye anae takiwa pewa mirathi ndo awe na hilo hati ya ugawanyi mirathi , wakati haipaswi kukaa na yoyote mwenye kunufaika na mirathi yenyewe.

Pia Huyo dada mbona kuna vyanzo alivyopewa vya kumuendeshea Maisha vya kwakwe peke yake . Ana apertemnt Makongo juu kaachiwa kubwa tuu.

Tatizo matumizi ya mtu asie jua ugumu wa kuipata hela ni tofauti na mtafutaji mwenyewe.
 
ni sahihi wosia unaweza kweli kupigwa kama kuna hoja za msingi na zenye ushahidi thabiti....hapo wosia unaweza batilishwa lkn ktk mazingira ya Mirthi ya marehemu Mengi wosi wake ulibatilishwa kwa sababu zisizo na mashiko......ulibatilishwa kwa hoja za kudhania na kufikirika!!.....lkn pia kwa msukumo na ushawishi wa ndugu za marehemu....
kama kuna suala la kufoji...lipelekwe kwa wataalamu wabaini kama kweli saini ya marehemu ili fojiwa sio kudhania tu!!!

suala la kuenguliwa watoto wengine ktk wosia huo lipo wazi kabisa, ni kwa sababu tayari Marehemu alisha wapa sehemu yao na kilicho baki sasa walipewa hao watoto wadogo wa mjane.
sasa kilichopo hapo ni tamaaa ya upande mwengine, Wosi hauna matatizo hata kidogo.
Ambapo sikubaliani na wewe na hapo unaposema kuwa hao watoto wa Mengi wakubwa alikuwa ameshawapa sehemu yao na alichobakiza ilikuwa ni kwa watoto wake wadogo..!

Unao ushahidi kuwa Mengi aliwapa sehemu yao akiwa hai? Hata kama kweli aliwapa asilimia fulani ya mali zake akiwa hai...bado hao watoto wana haki ya kurithi hizo asilimia alizobakiza Mengi kwani hiyo ni mirathi ya baba yao mzazi.

Kama aliamua kuwanyima mirathi basi kuwe na sababu solid zinazokubalika kisheria. Mengi hakuwa na tatizo na wanawe, inawezekanaje ghafa tu awanyime wanae urithi..na kuwa wakidai basi wapewe buku?

Yaani baba kwa vile amenipa zawadi ya mali fulani akiwa hai..hivyo siruhusiwi kurithi mali zake nyingine pindi afarikipo? Hiyo ni sheria ya wapi?

Hata kama Mengi aliwapa hao wanawe wakubwa asilimia fulani ya mali zake...hizo asilimia zinazobakia bado pia hao watoto wakubwa na hao wadogo wana haki ya kuzirithi, maana ni za baba yao.

Utata unakuja pale ambapo unataka kuwazuia watoto wakubwa wasirithi mali za baba yao kwa kigezo cha kuwa walishapewa za mama yao. This is their father na wana haki zote za kurithi mali zake.
 
Haki inaanzia hapo. Yani mama na baba yangu wachume mali halafu from no where mchepuko uzae na baba (na ile ndoa yao fake) halafu watoto wa mchepuko wafaidi kama sisi?? Hapo hata kuloga watalogana. Arudishe watoto Tanzania angalau afikiriwe. Huko dubai asomeshe mwenyewe
Zile hela alizokuwa ananunua designer handbags, shoes, clothes, sunglasses etc etc angeziweka kwenye call account tu angekuwa mbali...

Halafu badalabya kuhangaika na kampuni ya kuchonga mbao angemshurutisha babu fedha ampe awekeze kwenye real estates saa hii angekuwa anakula kodi tu

Kweli kwenye miti hakuna wajenzi!!!!!!


Ukishaolewa mke wa pili...(haswa kama ndoa yenyewe unajua ya magumashi) ambapo umekuta mali..... unatakiwa ujae kwa akili!!!!
 
Huyu jack akomi tu, ye ndie aliyelikoroga kwa tamaa zake za kutaka apate mali yote.
Angejituliza wasingemtupa.
Every action has equal results.
Alidhani angeweza wazidi ujanja kina mangi kwenye pesa kwa wosia wa kubumba.
 
Zile hela alizokuwa ananunua designer handbags, shoes, clothes, sunglasses etc etc angeziweka kwenye call account tu angekuwa mbali...

Halafu badalabya kuhangaika na kampuni ya kuchonga mbao angemshurutisha babu fedha ampe awekeze kwenye real estates saa hii angekuwa anakula kodi tu

Kweli kwenye miti hakuna wajenzi!!!!!!


Ukishaolewa mke wa pili...(haswa kama ndoa yenyewe unajua ya magumashi) ambapo umekuta mali..... unatakiwa ujae kwa akili!!!!
Kwenye dhuluma akili huwa haipo
 
Funzo kwa wasichana wa siku hizi wakome kudandia Ndoa za watu wenye ukwasi wao.

Huyo Ntuyabaliwe mwenyewe kapuyanga na wengi mno.

Isisahaulike kuwa alikuwa na kashfa ya kuhusishwa na mwarabu aliekuwa master mind wake akusafiri nae sambamba na Marehemu kwa siri.

Ukimuuliza hata historia kamili ya Marehemu haijui zaidi ya kukariri akaunti zake tu.

Mleta topic umeandika kimaslahi binafsi.
Yule mwarabu kamtosa baada ya mission impossible
 
Ni mjinga sana huyu dada, alitakiwa kabla mumewe hajafariki awe ameshamtengenezea empire yake binafsi, hizo mali nyingine kama IPP an the like ingekuwa tu kama atapata poa asipopata sawa maana tayari anayo empire yake binafsi ya kumtosha,

Hakuwa mjanja, alijua tu starehe
Bongo movie mwenye akili ni shilole pekee wengine akili ufanana.
Kuna mmoja aliwadharau wasio na gari akishangaa unapandaje daladala enzi zile analipa
 
Hapana hao wasimamizi wanapaswa watenguliwe usimamizi mara moja.
aliye stahili kuwa msimamizi ni mjane wa marehemu akisaidiwa na ndugu mwengine.


Lengo la hao wasimamizi naa ndugu ni kumdhulumu mjane na watoto wake.

wanawake mko wapi? mjane huyu Jaquline ananyanyaswa kiasi hiki wakati ana haki!!

Vyama vya kutetea Haki za wanawake mko wapi? taasisi na NGO mbalimbali mko wapi kinacho fanyika ktk sakata hili ni unyanyasaji wa kijinsia.
mfumo dume unakandamiza haki za mjane.
Ndugu tofautisha mjane na mdangaji
 
ndiye aliye kuwa anampa furaha marehemu.
hivyo anayo haki utake usitake.
Ndugu wa Marehemu wanataka kupora na kudhulumu Haki ya Mjane kwa kutumia mfumo dume kandamizi.
Mwambie jambazi la kibailojia wachaga pesa yao hailiki hovyo.
 
Back
Top Bottom