Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Biashara nyingi za wanawake ni za show-off tu 😅😅😅 daily utatakiwa umboost maana mambo hayaendi yani!!!Mara nyingi sana biashara ya mwanamke utegemea Sana sponsor, mume akishaachwa na hao watu wawili biashara uangukia pua, hata mkeo mpe mtaji kama siyo hulka yake ya biashara na akili ataanguka tu.